Video: Mwijaku kavuka mpaka Serikali ingilieni kati tunaaibika

Video: Mwijaku kavuka mpaka Serikali ingilieni kati tunaaibika

Mkuu,

Mimi nilijuwa naalikwa na balozi kwenda kukaa na rais karibu, nyumbani kwa balozi.

Na kila mara nilikuwa natoa udhuru, siendi.

Naona kama unanichukulia poa sana.
Kiongozi
Ni katika kuuliza tuu
 
hapo kwenye usomi ndio kitendawili, sema alihudhuria darasani tu. maarifa hakupata kabisa. Ngengemtoni huyo
 
Inakuwaje wanajamvi.

Hii sasa ni too much.

Mhamasishaji, mchekeshaji, mtangazaji, msomi na chawa mkuu maarufu nchini DC Mwijaku the national disgrace katoa mpya huko mitaani New York.

Mwijaku ambaye hana mshipa wa aibu na ambaye yuko ziarani Marekani akiambatana na mke wake kafanya vioja vya aina yake kwenye mitaa maarufu Jijini New York akijirekodi na kuposti kwenye ukurasa wake wa FB huku akiwa kifua wazi na boksa kuonekana.

Wadau wengi wamekasirishwa sana na kitendo hiki na hii tabia yake ya kukera na kuiomba Serikali ingilie kati kumkanya na kumkataza kwa tabia hii kwasababu ana aibisha taifa na anatuabisha.

Wadau wengine wamecomment mbona baba Levo, joti Doto Magari na Mpoki hawako hivo?

Mwengine kakasirika na kudai mwijaku anaaibisha imani yake na familia yake.

Hata hivyo kuna wengine wamemuunga mkono Mwijaku kwenye huo utopolo wake na kumpongeza eti kila mtu ana uhuru wa kufanya na kuishi maisha yake anavyopenda ilmrad havunji sheria za nchi.

Video hapo chini.
View attachment 3085944

mrangi Accumen Mo dronedrake King Kong III
CCM waingilie kati
 
Inakuwaje wanajamvi.

Hii sasa ni too much.

Mhamasishaji, mchekeshaji, mtangazaji, msomi na chawa mkuu maarufu nchini DC Mwijaku the national disgrace katoa mpya huko mitaani New York.

Mwijaku ambaye hana mshipa wa aibu na ambaye yuko ziarani Marekani akiambatana na mke wake kafanya vioja vya aina yake kwenye mitaa maarufu Jijini New York akijirekodi na kuposti kwenye ukurasa wake wa FB huku akiwa kifua wazi na boksa kuonekana.

Wadau wengi wamekasirishwa sana na kitendo hiki na hii tabia yake ya kukera na kuiomba Serikali ingilie kati kumkanya na kumkataza kwa tabia hii kwasababu ana aibisha taifa na anatuabisha.

Wadau wengine wamecomment mbona baba Levo, joti Doto Magari na Mpoki hawako hivo?

Mwengine kakasirika na kudai mwijaku anaaibisha imani yake na familia yake.

Hata hivyo kuna wengine wamemuunga mkono Mwijaku kwenye huo utopolo wake na kumpongeza eti kila mtu ana uhuru wa kufanya na kuishi maisha yake anavyopenda ilmrad havunji sheria za nchi.

Video hapo chini.
View attachment 3085944

mrangi Accumen Mo dronedrake King Kong III
Na tumbo lake hilo kama fuko la samadi
 
Inakuwaje wanajamvi.

Hii sasa ni too much.

Mhamasishaji, mchekeshaji, mtangazaji, msomi na chawa mkuu maarufu nchini DC Mwijaku the national disgrace katoa mpya huko mitaani New York.

Mwijaku ambaye hana mshipa wa aibu na ambaye yuko ziarani Marekani akiambatana na mke wake kafanya vioja vya aina yake kwenye mitaa maarufu Jijini New York akijirekodi na kuposti kwenye ukurasa wake wa FB huku akiwa kifua wazi na boksa kuonekana.

Wadau wengi wamekasirishwa sana na kitendo hiki na hii tabia yake ya kukera na kuiomba Serikali ingilie kati kumkanya na kumkataza kwa tabia hii kwasababu ana aibisha taifa na anatuabisha.

Wadau wengine wamecomment mbona baba Levo, joti Doto Magari na Mpoki hawako hivo?

Mwengine kakasirika na kudai mwijaku anaaibisha imani yake na familia yake.

Hata hivyo kuna wengine wamemuunga mkono Mwijaku kwenye huo utopolo wake na kumpongeza eti kila mtu ana uhuru wa kufanya na kuishi maisha yake anavyopenda ilmrad havunji sheria za nchi.

Video hapo chini.
View attachment 3085944

mrangi Accumen Mo dronedrake King Kong III
Mkewe wa migombani ndio anamfundisha hivyo ili apate pesa.
 
Acha ujinga

Mwijaku yuko kazini.

Mwijaku anachofanya ndio taaluma yake aliyosomea chuo kikuu udsm
 
Inakuwaje wanajamvi.

Hii sasa ni too much.

Mhamasishaji, mchekeshaji, mtangazaji, msomi na chawa mkuu maarufu nchini DC Mwijaku the national disgrace katoa mpya huko mitaani New York.

Mwijaku ambaye hana mshipa wa aibu na ambaye yuko ziarani Marekani akiambatana na mke wake kafanya vioja vya aina yake kwenye mitaa maarufu Jijini New York akijirekodi na kuposti kwenye ukurasa wake wa FB huku akiwa kifua wazi na boksa kuonekana.

Wadau wengi wamekasirishwa sana na kitendo hiki na hii tabia yake ya kukera na kuiomba Serikali ingilie kati kumkanya na kumkataza kwa tabia hii kwasababu ana aibisha taifa na anatuabisha.

Wadau wengine wamecomment mbona baba Levo, joti Doto Magari na Mpoki hawako hivo?

Mwengine kakasirika na kudai mwijaku anaaibisha imani yake na familia yake.

Hata hivyo kuna wengine wamemuunga mkono Mwijaku kwenye huo utopolo wake na kumpongeza eti kila mtu ana uhuru wa kufanya na kuishi maisha yake anavyopenda ilmrad havunji sheria za nchi.

Video hapo chini.
View attachment 3085944

mrangi Accumen Mo dronedrake King Kong III

DC Mwijaku hawajui vizuri watoto wa Biden ,asirudie kufanya upuuzi huo tena atakuja kufumuliwa FUVU.
 
Back
Top Bottom