The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kila aliye kimataifa ni shoga?Bora kukaa madongo kuinama na marinda yangu kuliko kukaa huko ulipo huku ukipiga chafya ushuzi na kimba vinakutoka. Inakuwa kama unapiga screenshot😂😂😂😂
Chawa haipo ktk sekta ya sanaa
Kwa hiyo kila aliye kimataifa ni shoga?
Unajua ukapuku unakusumbua sana.
Watu hawajui kutofautisha,wao kila mtu maarufu wanamuita Msanii.Chawa haipo ktk sekta ya sanaa
Unajua waafrika hasa watanzania wanasumbuliwa na ufukara ndio maana wakiona mtu anakula raha kimataifa inawauma na kuwachoma.Mbona hakuna kitu amefanya cha kuaibisha nchi
Matusi hayasadii chochote.
Waafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele.Sasa hivi anaitwa shoga coz wabongo wengi kwa muda huu ndio wamekariri hilo neno,ingekua zamani wangesema Freemasons au muuza ngada,
Watu wana ushamba uliopitiliza,kuvua shati sio dalili ya ushoga ni swaga zake Miji mikubwa Duniani sio ajabu kuona watu wanatembea bila mashati,tembeeni mjionee,
Kwahiyo wasanii wanapovua mashati Jukwaani na chupi kuonekana ni mashoga? Mbona hua hamuwajadili hao wasanii? Iweje Mwijaku ndio iwe ajabu? Wasanii wangapi wanaenda US na nchi zingine kisha hua wanavua mashati?
C'mon wakuu,kumtuhumu mtu ushoga bila kua na vivid evidence sio sawa.
Sina nafasi ku host machafuchafu mimi.Kiranga ndiye amem host au Nyani Ngabu??😅
Huyu sio rais,wala waziri hana cheo serikalini yupo busy naraha zakeOya semenya wa ukaldayo jikite kwenye mada na upanue wigo mpana.
Sauh'waah?
Inakuwaje wanajamvi.
Hii sasa ni too much.
Mhamasishaji, mchekeshaji, mtangazaji, msomi na chawa mkuu maarufu nchini DC Mwijaku the national disgrace katoa mpya huko mitaani New York.
Mwijaku ambaye hana mshipa wa aibu na ambaye yuko ziarani Marekani akiambatana na mke wake kafanya vioja vya aina yake kwenye mitaa maarufu Jijini New York akijirekodi na kuposti kwenye ukurasa wake wa FB huku akiwa kifua wazi na boksa kuonekana.
Wadau wengi wamekasirishwa sana na kitendo hiki na hii tabia yake ya kukera na kuiomba Serikali ingilie kati kumkanya na kumkataza kwa tabia hii kwasababu ana aibisha taifa na anatuabisha.
Wadau wengine wamecomment mbona baba Levo, joti Doto Magari na Mpoki hawako hivo?
Mwengine kakasirika na kudai mwijaku anaaibisha imani yake na familia yake.
Hata hivyo kuna wengine wamemuunga mkono Mwijaku kwenye huo utopolo wake na kumpongeza eti kila mtu ana uhuru wa kufanya na kuishi maisha yake anavyopenda ilmrad havunji sheria za nchi.
Video hapo chini.
View attachment 3085944
mrangi Accumen Mo dronedrake King Kong III
Yaniii eti anatembea tumbo waziUnajua waafrika hasa watanzania wanasumbuliwa na ufukara ndio maana wakiona mtu anakula raha kimataifa inawauma na kuwachoma.
Kuna mijitu ni mafukara maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi, Hata passport hayana.
Kwa hiyo wakiona mtu yupo internationally anakula maisha, Mioyo inawapasuka paaaaaah!!!
Mpokeeni bhana mtz mwenzenu huyoSina nafasi ku host machafuchafu mimi.
Hicho si kigezo.Mpokeeni bhana mtz mwenzenu huyo
ha ha haaaaSina nafasi ku host machafuchafu mimi.
Kwani mnavyo mpokeaga Hangaya anakuwa ana shida na sehemu ya kufikia kiongoziHicho si kigezo.
Na yeye wala hajasema ana shida ya pa kufikia.