Mkuu,Kwani mnavyo mpokeaga Hangaya anakuwa ana shida na sehemu ya kufikia kiongozi
KiongoziMkuu,
Mimi nilijuwa naalikwa na balozi kwenda kukaa na rais karibu, nyumbani kwa balozi.
Na kila mara nilikuwa natoa udhuru, siendi.
Naona kama unanichukulia poa sana.
Kwenye porn inaitwa Missionary style maamae
CCM waingilie katiInakuwaje wanajamvi.
Hii sasa ni too much.
Mhamasishaji, mchekeshaji, mtangazaji, msomi na chawa mkuu maarufu nchini DC Mwijaku the national disgrace katoa mpya huko mitaani New York.
Mwijaku ambaye hana mshipa wa aibu na ambaye yuko ziarani Marekani akiambatana na mke wake kafanya vioja vya aina yake kwenye mitaa maarufu Jijini New York akijirekodi na kuposti kwenye ukurasa wake wa FB huku akiwa kifua wazi na boksa kuonekana.
Wadau wengi wamekasirishwa sana na kitendo hiki na hii tabia yake ya kukera na kuiomba Serikali ingilie kati kumkanya na kumkataza kwa tabia hii kwasababu ana aibisha taifa na anatuabisha.
Wadau wengine wamecomment mbona baba Levo, joti Doto Magari na Mpoki hawako hivo?
Mwengine kakasirika na kudai mwijaku anaaibisha imani yake na familia yake.
Hata hivyo kuna wengine wamemuunga mkono Mwijaku kwenye huo utopolo wake na kumpongeza eti kila mtu ana uhuru wa kufanya na kuishi maisha yake anavyopenda ilmrad havunji sheria za nchi.
Video hapo chini.
View attachment 3085944
mrangi Accumen Mo dronedrake King Kong III
Hujaweka alama ya kuuliza.Kiongozi
Ni katika kuuliza tuu
Na tumbo lake hilo kama fuko la samadiInakuwaje wanajamvi.
Hii sasa ni too much.
Mhamasishaji, mchekeshaji, mtangazaji, msomi na chawa mkuu maarufu nchini DC Mwijaku the national disgrace katoa mpya huko mitaani New York.
Mwijaku ambaye hana mshipa wa aibu na ambaye yuko ziarani Marekani akiambatana na mke wake kafanya vioja vya aina yake kwenye mitaa maarufu Jijini New York akijirekodi na kuposti kwenye ukurasa wake wa FB huku akiwa kifua wazi na boksa kuonekana.
Wadau wengi wamekasirishwa sana na kitendo hiki na hii tabia yake ya kukera na kuiomba Serikali ingilie kati kumkanya na kumkataza kwa tabia hii kwasababu ana aibisha taifa na anatuabisha.
Wadau wengine wamecomment mbona baba Levo, joti Doto Magari na Mpoki hawako hivo?
Mwengine kakasirika na kudai mwijaku anaaibisha imani yake na familia yake.
Hata hivyo kuna wengine wamemuunga mkono Mwijaku kwenye huo utopolo wake na kumpongeza eti kila mtu ana uhuru wa kufanya na kuishi maisha yake anavyopenda ilmrad havunji sheria za nchi.
Video hapo chini.
View attachment 3085944
mrangi Accumen Mo dronedrake King Kong III
HahahaNa tumbo lake hilo kama fuko la samadi
Mkewe wa migombani ndio anamfundisha hivyo ili apate pesa.Inakuwaje wanajamvi.
Hii sasa ni too much.
Mhamasishaji, mchekeshaji, mtangazaji, msomi na chawa mkuu maarufu nchini DC Mwijaku the national disgrace katoa mpya huko mitaani New York.
Mwijaku ambaye hana mshipa wa aibu na ambaye yuko ziarani Marekani akiambatana na mke wake kafanya vioja vya aina yake kwenye mitaa maarufu Jijini New York akijirekodi na kuposti kwenye ukurasa wake wa FB huku akiwa kifua wazi na boksa kuonekana.
Wadau wengi wamekasirishwa sana na kitendo hiki na hii tabia yake ya kukera na kuiomba Serikali ingilie kati kumkanya na kumkataza kwa tabia hii kwasababu ana aibisha taifa na anatuabisha.
Wadau wengine wamecomment mbona baba Levo, joti Doto Magari na Mpoki hawako hivo?
Mwengine kakasirika na kudai mwijaku anaaibisha imani yake na familia yake.
Hata hivyo kuna wengine wamemuunga mkono Mwijaku kwenye huo utopolo wake na kumpongeza eti kila mtu ana uhuru wa kufanya na kuishi maisha yake anavyopenda ilmrad havunji sheria za nchi.
Video hapo chini.
View attachment 3085944
mrangi Accumen Mo dronedrake King Kong III
Oyaaa jikite kwenye mada iliyopo jamvinMkewe wa migombani ndio anamfundisha hivyo ili apate pesa.
π π π πMke anataka pesa tu hana anachojua .Oyaaa jikite kwenye mada iliyopo jamvin
Yani hata humpongezi kasilimuπ π π πMke anataka pesa tu hana anachojua .
Juu lake hilo , mke ndio mshauri wa mwisho kama mume anafanya mambo ya aibu kabisa .Yani hata humpongezi kasilimu
Inakuwaje wanajamvi.
Hii sasa ni too much.
Mhamasishaji, mchekeshaji, mtangazaji, msomi na chawa mkuu maarufu nchini DC Mwijaku the national disgrace katoa mpya huko mitaani New York.
Mwijaku ambaye hana mshipa wa aibu na ambaye yuko ziarani Marekani akiambatana na mke wake kafanya vioja vya aina yake kwenye mitaa maarufu Jijini New York akijirekodi na kuposti kwenye ukurasa wake wa FB huku akiwa kifua wazi na boksa kuonekana.
Wadau wengi wamekasirishwa sana na kitendo hiki na hii tabia yake ya kukera na kuiomba Serikali ingilie kati kumkanya na kumkataza kwa tabia hii kwasababu ana aibisha taifa na anatuabisha.
Wadau wengine wamecomment mbona baba Levo, joti Doto Magari na Mpoki hawako hivo?
Mwengine kakasirika na kudai mwijaku anaaibisha imani yake na familia yake.
Hata hivyo kuna wengine wamemuunga mkono Mwijaku kwenye huo utopolo wake na kumpongeza eti kila mtu ana uhuru wa kufanya na kuishi maisha yake anavyopenda ilmrad havunji sheria za nchi.
Video hapo chini.
View attachment 3085944
mrangi Accumen Mo dronedrake King Kong III