Video na picha: Waafrika weusi tii walioishi India miaka elfu 60

Video na picha: Waafrika weusi tii walioishi India miaka elfu 60

Hii inaonesha jinsi watanzania na waafrika kwa ujumla tusivyopenda kusoma.
 
Nimesikia kuna wengine wako china, hawajui hata walifikaje na nilini
Angalau andiko hili linasena walikwenda, na comment yako inasema wale waliopo China hawajui walifikaje lakini angalau inaonyesha kuna sehemu walikuwepo hapo kabla.
Kuna wale wanaharakati wa kiafrika wanaoandika historia yao mpya wanayoijua wao, kama wangezijua habari za makundi wangedai India na China nazo zilikua ni nchi za kiafrika, na waafrika ndiyo walikua wakitawala Kule.
 
Andamans na San people (Saan au Bushmen) lile kabila la South Africa/Namibia wanashabiana sana. Ni jamii za watu ambao hawana contact na watu wengine, primitive kweli kweli na DNA zao zina information nyingi kuhusu binadamu.

Kama ilivyo kwa Andamans hawapigi watoto, wana upendo, wanapenda kukumbatiana wao kwa wao na kwa sababu hawana contact na watu wengine wakiona wageni wanashangaa au kuwafukuza kabisa ndiyo San people walivyo pia. Kuna uncontacted society kwenye misitu ya Amazon Brazil pia.

Hizi jamii zilindwe na zisiingiliwe katu, hata kwenda kutengeneza documentary kuhusu maisha yao tayari tunaharibu mfumo wao.


New photos emerge of isolated Amazon tribe
 
44926340.cms
 
--SIJAPENDA KUWATENGA KAMA WANYAMA./ WAWAPE CHANJO MAISHA YASONGEBELE...
 
Nachukia ukoloni na katu siwezi kuonea ufahari ujaji wa Wakoloni barani Afrika! Hata hivyo, hiyo hainiachi kuwaza kwamba je; huenda kama si ujaji wa Wakoloni Afrika; hivi sasa si ajabu bado tungekuwa kwenye primitive life kama hao?! Tungekuwa tumepiga hatua kiasi gani?

Anyway, sijasoma history... ngoja weekend hii nitumie muda kidogo kujisomea yale ambayo niliyasikia nikiwa Form I & II... Zama za Kale za Mawe; Ugunduzi wa Moto n.k! Ningependa kufahamu wakati Mswahili anaweza kuchonga jiwe kwa kutumia mawe; makabila mengine (non Africans; white in particular) walikuwa wapi!

Nikirudi kwenye mada; interest yangu sio "Waafrika" hao kwenda India... bali ni nini kiliwafanya ku-risk maisha yao kiasi cha kuingia kwenye mitumbwi hadi India! Let's wanatoka Tanga... walipokuwa wanaishi pakakumbwa na disease outbreak na hivyo kuwa si salama tena kuishi!! Kwanini wali-opt kuelekea Eastwards hadi baharini na kuanza kukata maji bila kufahamu wanaenda wapi.... huku nikiamini hawakuwa na mitumbwi ya kuweza kuhifadhi idadi kubwa ya chakula na maji... by the way; wangehifadhi kwa kutumia vifaa gani?! Why instead moving eastwards, hawakuelekea north/west/southwards ambako wangeweza kulikimbia eneo hatarishi bila ku-risk maisha yao tena wakiwa na uhakika wa kupata chakula kwavile wangekuwa wanasafiri pori kwa pori!!!!

Hebu nikumbusheni wataalamu wa historia! Wale Wangoni wa Kusini mwa Tanzania ni moja ya sehemu ya Wazulu ambao kusafiri kwao northward to Tanzania ilitokana na civil wars kule kwao?!

Mkuu Copenhagen DN, kwa hii ID yako naweza ku-assume upo Denmark! Kama ndiyo, kuna motivation factor iliyokufanya ku-move northward to Denmark! Kutafuta elimu, maisha na mambo mengine kama hayo! Nini inaweza kuwa motivation factor ya hao watu?!
Umeuliza kwanini walielekea North East? Jibu lako ni hili katika dunia yetu kuna pepo ambazo huvuma na huvuma kuelekea mashariki tu, ndio maana ilikuwa rahisi wao kuelekea huko, angalia hata Safari za ndege hupita mashariki ili kurahisisha Safari uKijaribu kupita magharibi utatumia muda mrefu na mafuta mengi
 
Nachukia ukoloni na katu siwezi kuonea ufahari ujaji wa Wakoloni barani Afrika! Hata hivyo, hiyo hainiachi kuwaza kwamba je; huenda kama si ujaji wa Wakoloni Afrika; hivi sasa si ajabu bado tungekuwa kwenye primitive life kama hao?! Tungekuwa tumepiga hatua kiasi gani?

Anyway, sijasoma history... ngoja weekend hii nitumie muda kidogo kujisomea yale ambayo niliyasikia nikiwa Form I & II... Zama za Kale za Mawe; Ugunduzi wa Moto n.k! Ningependa kufahamu wakati Mswahili anaweza kuchonga jiwe kwa kutumia mawe; makabila mengine (non Africans; white in particular) walikuwa wapi!

Nikirudi kwenye mada; interest yangu sio "Waafrika" hao kwenda India... bali ni nini kiliwafanya ku-risk maisha yao kiasi cha kuingia kwenye mitumbwi hadi India! Let's wanatoka Tanga... walipokuwa wanaishi pakakumbwa na disease outbreak na hivyo kuwa si salama tena kuishi!! Kwanini wali-opt kuelekea Eastwards hadi baharini na kuanza kukata maji bila kufahamu wanaenda wapi.... huku nikiamini hawakuwa na mitumbwi ya kuweza kuhifadhi idadi kubwa ya chakula na maji... by the way; wangehifadhi kwa kutumia vifaa gani?! Why instead moving eastwards, hawakuelekea north/west/southwards ambako wangeweza kulikimbia eneo hatarishi bila ku-risk maisha yao tena wakiwa na uhakika wa kupata chakula kwavile wangekuwa wanasafiri pori kwa pori!!!!

Hebu nikumbusheni wataalamu wa historia! Wale Wangoni wa Kusini mwa Tanzania ni moja ya sehemu ya Wazulu ambao kusafiri kwao northward to Tanzania ilitokana na civil wars kule kwao?!

Mkuu Copenhagen DN, kwa hii ID yako naweza ku-assume upo Denmark! Kama ndiyo, kuna motivation factor iliyokufanya ku-move northward to Denmark! Kutafuta elimu, maisha na mambo mengine kama hayo! Nini inaweza kuwa motivation factor ya hao watu?!
Kabla ya karne ya 15 tulikuwa sawa kimaendeleo na ulaya kwa vigezo vya Utawala yaani himaya, kuwa na viwanda, elimu ya kiafrika, ustaarabu wa mwafrika, utamaduni, na kilimo wamekuja hao intruders wakatubadili tukawa chini yao
 
60 thousand years utumwa ulikuwa bado na mzungu kafika afrika kalne ya kumi na nne kabla ya hapo ni uongo. Hawa watu walifika huko kama migration nyingine zote. Mimi ninachopenda tujifunze hapa ni kuwa mila ya mwafrika ndiyo hiyo ya kutembea uchi siyo kila siku tuambiwe watu wanatembea uchi wanaiga mila za wazungu. Hao ni wazungu na je wamevaa vimini? Kama wanataka mila za kiafrika basi watu wote tuanze kuchojoa tutembee kama wao.
Ukoloni ulianzia karne ya 19 baada ya ubepari kukua yaani imperialism au monopoly capitalism
 
Come on now, historia darasa la tano.

Mtumbwi ulikuwa unavua samaki Africa ukapotea baharini kuibukia India. Hawakuhitaji navigation system.

The greatest of far-out discoverers in history, Bathlomeo Diaz, Henry the Navigator, Vasco Da Gama, Marco Polo, Christopher Columbus they all made their greatest discoveries by chance and stumbling, far from geoscience precision.

Red Indians wa Marekani wanaitwa Indians leo kwa sababu Christopher Columbus alidhani kafika India. Kumbe bana wale sio wahindi.

Vasco Da Gama aliingia chaka akielekea India kutafuta black pepper, akajikuta yuko Kariakoo.

You did not need navigation technology to conquer world frontiers.
Huo mtumbwi na wanawake walikuwemo
 
Umeuliza kwanini walielekea North East? Jibu lako ni hili katika dunia yetu kuna pepo ambazo huvuma na huvuma kuelekea mashariki tu,
Miaka 60,000 inasemekana bahari nyekundu ilikuwa ni lakes ndogo ndogo kama ilivyo leo kwenye bonde la ufa,inawezekana walitembea fukweni huku wakipata kila kitu kutoka baharini
 
Na ni nini hasa kinachopunguza idadi yao?? Umesema Wamebakia 450 tu! Je kabla ya hapo walikuwa wangapi? Na nini sababu ya mfumo wao wa kinga kuwa dhaifu zaidi ya jamii nyingine? Kama hutajali naomba majibu
 
Ukoloni ulianzia karne ya 19 baada ya ubepari kukua yaani imperialism au monopoly capitalism
Historia gani unaongelea? Ya Berlin conference? Umeenda Zanzibar kuona boma ya wareno? Unajua vilijengwa lini? Bagamoyo yale makaburi ya waarabu ya lini? Burma, India, Singapore, South Africa. Ukoloni umetapakaa East Africa kabla hata ya kalne ya 13. Nenda Kilwa utajifunza zaidi. England ilikuwa koloni la warumi 900 AD. Usifikiri ukoloni ulikuwa Africa tu. Ulaya nao walitawaliwa na wazungu wenzao tena brutality kubwa saa nyingine kuliko kwetu. Utumwa ulikuwepo kati yao vile vile. Hivyo soma vizuri history.
 
Back
Top Bottom