Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemuona mjomba wangu!Aisee rangi zao nzuri weusi mng'ao wakuteleza
Au hata wangekupa wewe!Ila huyo mtoto wasingemzamisha kwenye maji jamani, wangemuacha tu aishi
Bonge la swali.Huo mtumbwi na wanawake walikuwemo
Ndio tunasema mambo ya elimu inawezekana huyo mtoto ni matokeo ya genetics tu huko nyuma damu hiyo chotara ilipita na sio kuwa kuna mtu mweupe alitembea na huyo bint.Ila huyo mtoto wasingemzamisha kwenye maji jamani, wangemuacha tu aishi
Aborigines hao watafutieni kwao basi haya mambo ya histori ya kuungaunga hapo ndio utakapo fahamu kuna nguvu kuu inayo tawala ulimwengu na kila jambo lina sababu yake. Ndio maana tafiti na gunduzi mbalimbali zinafanyika na kukosoa zilizopita.View attachment 429925 View attachment 429926 View attachment 429927 Hawa ni watu asilia wa australia.
Da yan taifa kubwa kama India wameshindwa kuwapelekea ustaharabu hawa watu wamewaacha tu watembee uchi.Dah!Nimeumia sana,najua in dhambibya ubaguzi mwisho wa Sikh wakajikuta wanatembea tu pekeyao wakashindwa kufanya adaptation
Haya mambo yalikuwepo toka kitambo watoto waliokuwa na albinisim waliuwawa huko huko ndani wale wakunga walimaliza mambo ndo maana hawakuwa wengi kuna history ya selif keita nae familia yake ilimfukuza na pia kijiji kilimkataa kwani ilikuwa ni mkosi kuwa na mlemavu wa ngozi penye familia nadhani hao jamaa nao ni muendelezo huo.Ila huyo mtoto wasingemzamisha kwenye maji jamani, wangemuacha tu aishi