Video na picha za kinachoendelea maandamano Ufaransa

Video na picha za kinachoendelea maandamano Ufaransa

Na Kwa taarifa yenu protests ni civil rights ya muhimu huko Ulaya na north America, protests hazijaanza France Tu, Holland maandamano yamefanyika kwa miezi miwili mfululizo mwaka jana, Belgium, UK maandamano na migomo mpaka sasa vinaendelea kwa wafanyakazi wa umma na vyama vyao.

Canada kulikuwa na truckers protests na migomo ya kupinga covid restrictions mwaka jana, Marekani mwaka juzi maandamano nadhani yalikuwa mengi na wote alishuhudia, so maandamano si suala la kushangaa nchi hizo za wenzetu ni haki ya wananchi ,mnapaswa mshangae nchi zenu ambazo zinawanuima wananchi haki ya kuandamana na kuprotest madai yao na mambo yanayowagusa.

Germany kuna maandamano na migomo ya wananchi na wafanyakazi yamefanyika na kesho yanaanza tena.

Hizo ni haki za wananchi na ni haki kuandamana na kufanya migomo, suala la kujiuliza ni je ingefanyika hivyo shithole countries kama Russia, china, Iran, north Korea na Afrika tusingeshuhudia massacre?



 
Venezuela , Syria , Afghanstan , Moldova , Georgia , Ukraine etc kote huko Urusi alijipeleka ila kipi kilikuwa kina muhusu ?
Unapozungumzia suala la Russia kujihusisha huko unatakiwa ujiulize mbona USA alianza kujihusisha kabla!?
Ni mgogoro gani hapa DUNIANI USA na allies wake hawajajihusisha!?
Russia kujihusisha huko no kutafuta balance of power hayo ni mataifa makubwa nadhani unajua ushindani wao geopolitically upoje.
 
umesikia wakiongea lolote juu ya kenya , SA na Tunisia?
Embu acha kudhihirisha ujinga wako Kaka.

Kipindi cha Uhuru Kenyatta 2007 kwa matatizo yalitokea Kenya kisiasa ICC ilimkamata Kenyatta.
Syria USA imesaidia makundi ya kiasi kumpindua Assad.

Ila France raia wanapigwa kwa haki yao ya kuandamana umesikia USA au chombo chochote Cha haki za kibinadamu kikilalamika juu ya France?

Dunia nzima na jumuiya za kimataifa zinakemea illegal settlement expansion huko Palestina inayofanywa na Israel je, ulisikia Netanyahu akionywa na chombo chochote kile ama na USA!?

USA na vyombo vyake vinafanya kazi kwa wanyonge ila kwa wao hazifanyi kazi.
 
kwahiyo kisa Tz ni ulimwengu wa tatu bas mataifa mengine hayawez kuwa kundi hilo? ndan ya Iran kuna watu hata nguo hawabadili mpk mwaka unaisha , endelea kudanganywa na clips za tehran
USA inaongoza kuwa na watu walala nje.

Kama sijakosea 2016/2017 ilitoka ripoti USA wananchi wengi ni wakosa makazi na wafa kwa baridi.

Je nayo USA tuiite 3rd world country!?

Tofautisha kati ya richest nations and nations with great economy ndipo utaelewa kwanini Iran ni nchi ya ulimwengu wa kati.
 
nimekwambia leta kifungu chochote cha sheria kinacho kataza maandamano kwenye sheria za Iran.

kama polisi wa ufaransa wana haki ya kuzuia waandamanaji kuharibu mali basi na polisi wa Iran wana haki ya kulinda mali zisiharibiwe.

Alafu unacho takiwa kujua ni kuwa polisi huwa wanakabiliana na maandamano kutokana na jinsi yalivyo ,mkija wa baridi watatumia nguvu ndogo mkija wa moto na wao wanakuwa wa moto vile vile maandamano ya Iran waandamanaji walikuwa wanawashambulia polisi kwa silaha na kuwauwa kwa hiyo ulitegemea polisi wawacgekee?.
sheria kuwepo haimaanishi haiwezi vunjwa.
moto mkubwa wanaokujanao waandamanaji humaanisha kile kilicho ndani yao, ni kwa namna gani serikali zao haziwajibiki kuwatatulia matatizo yao. Sasa wewe unapowaua ni haki?? Umesikia vifo huko ufaransa?

Acha ushabiki wa kipumbavu , huwezi fananisha treatment ya hawa wafaransa na wairan .
 
Njaa kali.. ufaransa anafurushwa Africa kila mahali. Wagner Group anaingizwa kuwadhibiti. Wamezoea kuiba Africa ili kutuliza njaa kwao. Sasa mwisho
 
pitia videos nilizotuma humu ,pumbav ninyi , kama bbc ,cnn ,Dw hawareport ukweli hizo media takataka zenu za TBC ndio wanareport ukweli unafikiri taarifa wanazitoa wapi ,wapuuz ninyi ?

We ,huoni police waliweka barrier hapo na hao waandamanaji wameivuka hiyo barrier ?
Tanzania Ina watu Wajinga wasio Jitambua

Hiyo ulio Iita Barrier Kwanini Iwekwe? Wanahaki ya Kuandamana kwanini iwekwe? Hao walibeba Silaha?

Angalia Video hii huyu Yupo chini Hao polisi unao watetea Hawana utu ndio kwanza Wanapita wanamkanyaga juu Hawajari kaumia au la, Wanamkanyaga tu hawana Habari!!

Pengine katika watu kama nyie Mlio vipofu wamacho kuona Uhalisia na Wajinga wa Akili kushindwa Kujua Au Kuchuja Ubaya wa hawa na mataifa yao


 
sheria kuwepo haimaanishi haiwezi vunjwa.
moto mkubwa wanaokujanao waandamanaji humaanisha kile kilicho ndani yao, ni kwa namna gani serikali zao haziwajibiki kuwatatulia matatizo yao. Sasa wewe unapowaua ni haki?? Umesikia vifo huko ufaransa?

Acha ushabiki wa kipumbavu , huwezi fananisha treatment ya hawa wafaransa na wairan .
Una uhakika gani Kama vifo hakuna!?
Je Kama Kuna vilivyofichwa?
 
habari imefinywa na umejua?
Kuna utofauti Kati ya kufinywa na kufichwa .
Alichomaanisha jamaa kuwa USA na washirika wake wamemezea mate na kukaa kimya kuhusu mambo wanayofanya Ufaransa kuhusu waandamanaji.
Ila ingekua Tehran au Beijing USA wangeshainua midomo na kubwata.
 
Yaani anaekula miilo mitatu anaandamana kudai vingi zaidi kwa serikali yao lakini anakunywa maji machafu na mifugo hawaoni sababu ya kudai maji masafi kwa serikali.

Mungu atusaidie sisi
 
Hii ni Washington post.. Mleta mada kajiunga kwenye magroup ya whatsapp zaidi ya 10 ila uku akiupa mgongo ulimwengu wa habari ndiyo maaana anasema vyombo vya magharibi havilipoti.
 

Attachments

  • Screenshot_20230328-104237_Twitter.jpg
    Screenshot_20230328-104237_Twitter.jpg
    196.2 KB · Views: 3
Una uhakika gani Kama vifo hakuna!?
Je Kama Kuna vilivyofichwa?
Mie nauhakika Vifo Vipo tena Vingi tu Nivile Tunafichwa kwavile Niwao
Angalia Video kama hii Huwezi Kuta BBC,CNN na Vyombo vyao vyote vyakipuuzi wakionyesha haya

Ukiangalia Hii video Kuna wazee Kibao hawana Silaha Yeyote
Hawarushi mawe wala nini Ila Walicho Kifanya Polisi Inasikitisha sana.

Wapo Wajinga wanaona Niwatu Bora na kuwapa Umungu mtu!
Yaani Hata wafanye Baya lipi Kwao sawa ila Kwingineko No
na wengi Wao ndio hao wanao sumbua Na Ushoga Kwenye nchi zetu
Maana Shoga hawezi Ipinga Marekani,Ufaransa,Ujerumani Nk

 
Paris Inawaka Moto

 
Kama wanaenda Vitani Kumbe Kupiga Waandamanaji

 
Two million French in Paris to oust Macron who deploys 15,000 police officers to repress protests.
 
sheria kuwepo haimaanishi haiwezi vunjwa.
moto mkubwa wanaokujanao waandamanaji humaanisha kile kilicho ndani yao, ni kwa namna gani serikali zao haziwajibiki kuwatatulia matatizo yao. Sasa wewe unapowaua ni haki?? Umesikia vifo huko ufaransa?

Acha ushabiki wa kipumbavu , huwezi fananisha treatment ya hawa wafaransa na wairan .
Suala la vifo kwenye maandamano huwa inaamuliwa na jinsi gani waandamanaji wanaandamanaje.

Maandamano ya Ufaransa hakujatokea vifo kwasababu maandamano haya kufika kiwango cha kusababisha vifo kwa sababu waandamanaji wa Ufaransa hawajawashambulia polisi kwa visu na bastora kama Iran, wala hawajachoma majengo ya taasisi za kiserikali kama Iran, hawajavunja mabenki kama Iran.

Mpaka maandamano ya Iran yanaisha zaidi ya polisi 60 waliuawa na waandamanaji sasa hayo yalikuwa ni maandamano au vita?

Ww ndo mwenye ushabiki wa kipumbavu kwa sababu huangalii uhalisia.
 
Suala la vifo kwenye maandamano huwa inaamuliwa na jinsi gani waandamanaji wanaandamanaje.

Maandamano ya Ufaransa hakujatokea vifo kwasababu maandamano haya kufika kiwango cha kusababisha vifo kwa sababu waandamanaji wa Ufaransa hawajawashambulia polisi kwa visu na bastora kama Iran, wala hawajachoma majengo ya taasisi za kiserikali kama Iran, hawajavunja mabenki kama Iran.

Mpaka maandamano ya Iran yanaisha zaidi ya polisi 60 waliuawa na waandamanaji sasa hayo yalikuwa ni maandamano au vita?

Ww ndo mwenye ushabiki wa kipumbavu kwa sababu huangalii uhalisia.
Huyo Hana Alijualo
 
  • Thanks
Reactions: ITR
Chief, uzi wako unalenga kundi la watu fulani wenye mihemko zaidi na si watu wanaotazama mambo kwa uhalisia wake.
Unataka jumuia ya kimataifa isema nini kuhusu ufaransa?.
Zaidi ya watu Mia 5 wameuawa uko Iran wakati wa maandamano hiyo Jumuia ya kimataifa haijasema chochote juu ya ilo.. ila unataka Jumuia hiyo hiyo iseme kitu juu ya ufaransa ambako hakuna hata kifo Cha mtu mmoja ila "iseme kitu" kwasababu kuna mzee kaburuzwa na mwingine kachaniwa koti lake wakati wa maandamano,really?.
Alafu kwanini antiwest wengi mna kitu common sana katika kufikiri kwenu, hii ni coincidence tu ama kuna kitu kinawajenga[emoji1787][emoji1787]? .

Ndiyo, west wana Mabaya yao ila kwa mashitaka haya mnayoyatoa antiwest mtaendelea kuonekana kama watu mliochanganyikiwa.
Ndyo maana wengi tunaonekana tumbili tu unajua watu 500 au akili umeziacha chooni unaisi ufaransa hakuna vifo taarifa nyingi zimefichwa kuusu kinachoendelea pale ufaransa na yote ni sababu nchi nyingi za ulaya zinahofu kuwa kama maandamano hayo yatakuwa yanarushwa live basi kuna hatihati yakasambaa ulaya nzima ndyo maana hawayapi airtime kama yaliyokuwa yanatokea Russia au nchi nyingine za kiarabu. Na mwshirika yote ya kutetea haki za binaadamu huyasikii yakikemea maana watu wanapigwaa lkn kimya ila ingekuwa kwingine sasa kama yaliyotokea pale Georgia waliyashadadia ila ya ufaransa kimyaa alafu unajitoa ufahamu
 
Back
Top Bottom