King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Knows na vunjabei Too Much Money wametajirika kwasababu ya kwenda china.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo kwaajili ya mtu yoyote, nunua gari peleka pale kuosha kama utakataliwaYaani umetoka nje ya mada kabisa.
Ungekuwa ni mtihani wa history essay ningekata na mstari mwekundu then kwa herufi kubwa ningeandika neno OP yaani Out Of Point.
Swali: Unadhani zile car wash zipo kwa ajili ya waswahili au Wachina?
Tanzania hapa pia ardhi ni mali ya serikali hata hapo kwa baba ako wakipataka wanawaamisha.Hivi unajua kwamba ukienda China huruhusiwi hata kumiliki ardhi?
Kwanini alie..? Why ulitaka upewe plot ya bure osterbay au masaki we jamaa mbona sikuelewi..? Unajua kwanini wabongo wanakimbilia south..? Nyie wazawa tangu 1980s mmeboresha nini kwenye hiyo mitaa..?Seriously man?
Yaani Nyerere angeona hii post angelia sana
Wewe una depression kwasababu ya umaskini wako najua unaumia kuona mchina anakaa prime areas, kesho utasema wanyakyusa wamejaa kule keko ni threat kwa wa wazawa wa dar, wiki ijayo utasema wakurya wamekuwa wengiMkuu
Kwa maoni yako, unadhani ina afya for these people kukaa kwenye suxh prime areas?
Sawa sawa. Nakuunga mkono.
Na ile tume ambayo aliunda Rais kwa ajili ya kudhibiti "wageni" Kariakoo pia nadhani aivunje haina umuhimu.
Kwa kuwa wachina ni rafiki zetu na wana hela, hata huko Kariakoo wenyewe ndo wapewe kipaumbele maana zita-"trikle down on the economy"
Kikubwa pesa mkuu. Maana si umeona hata kule Guangzhou Watanzania wanapewa kipaumbele kuliko Wachina.
Kikubwa ni pesa.
Wachina tangu lini wakawa wawekezaji wa maana Tanzania. Wachina ni Madalali tu kama madalali wengine.
Nitajie investment yoyote ya wachina yenye Capital Kama Dangote Cement, Barick Tanzania, TBL, N.k
Mindyou Pitia hapa upunguze ujingaSijui lakini hamna kitu kinaniuma kama kuanza kuwarekodi wachina na kusema wamevamia daaah. Hawa wamekuja na passport zao. Hawajazamia, na wote wanashughuli za kulipa kodi, hata sisi tukienda makwao, tunakua na eneo ambalo wengi wetu tunafikia. Why wao watengane. Roho imeniuma sana daaah.
kuna miji kama doha, Qatar, London-Uk, Minneapolis- marekani, kampala nairobi na mombasa, kitwe-zambia. Kuna watanzania wengi unaweza sema kkoo au pale nyegezi mwanza.
What the fck this is trending today.
Hawa wanakaa kwenye appartment uwezo wakununua hizo nyumba hawana.
Mnajua kuna wachina wangapi kiwanda cha dar ceramics, kepa ceramics mkuranga?
Ujinga huu wazee. Kausheni.
Hata mkipewa fursa ya kuanzisha hizo town mta meet requirements..? Leo hii ukiambiwa (mfano: eneo alililokua analitumia Mcdonald pale shanghai lipo vacant utaweza kwenda ku rent au kulinunua..? Kwanini basi Miji yao ina thamani.Sisi tunapoenda makwao tunaruhusiwa kuanzisha supermarkets na car wash na kuanzisha "Swahili Towns?"
We nawe tushike lipi la kukodi masaki au kuwa mawinga..?Wachina wangebaki kuwa investors hamna mtu angesumbuana nao. Boomplay, Tekno, Itel, Startiimes zote zao hamna mtu analalamika.
Lakini hao jamaa wako wengi sana na ukiongea na wafanyabiashara watakwambia wanavyo-operate kihuni
Kwahiyo umejiona jinsi ulivyokua mjinga sorry to say this " ulikosa maarifa kidogo tuuDuuuuh sawa
Halafu Songea kuna mchina anaitwa Mapunda....tulikunywa nae ulanzi ana watoto watatu lakini shughuli zake ni Dar....pale Songea kaamua pawe nyumbani.Wakuu,
Kama umepita mitaa ya Mikocheni hivi karibuni utagundua kuna wachina wengi sana.
Pale Ursino Street, wana hospitali kabisa ya wachina, supermarket na restaurant kubwa sana special kwa ajili yao.
Kuna hoteli moja pale Mikocheni ilikuwa inaitwa Regency Park wameichukua wameifanya kuwa ya kwao na pale makao makuu ya zamani ya Bolt there is a whole hotel ambayo bado haijaisha wameichukua. Hata pake Palm Village kuna a restaurant ya kichina.
Huko Masaki , mbele ya Warehouse kuelekea International School of Tanganyika kuna restaurants na sehemu kama 4 kwa ajili ya Wachina tu. Homecity 2 zote ya Mikocheni na Mlimani City ni za kwao
Yaani kuna mtaa wa pale juu karibu na Morocco Square kote kumejaa Wachina tu
Pale kwenye nyumba za TBS, wamechukua nyumba nyingi wameweka garage na indoor small industries.
Ndani ya miaka 5 Masaki na Mikocheni inaenda kuwa ni mji wa kichina. Hata wapiga kura wanaenda kuwa wachina
Naanza kupata mashaka na uelewa wako; nimekwambia kwa nchi yenye rasilimali kama hii kuanza kuhangaika na kulalamika kwamba kazi zenu uchuuzi zinachukuliwa ni uzezeta...; nikasema badala ya kuhangaika na uchuuzi tungehakikisha watu wetu wanakuwa kwenye administration huko bandarini na sio kuwapa watu ili nyie mkagombanie kuwa mawinga; by the unajua hata watu pia ni rasilimali ?Sasa si ungeanzisha uzi wako wa rasilimali na bandari
Hapa najipu hoja in hand and calling a spade a spade.., sasa kama wewe unaona the ultimatum ni kuchuuza hizo bidhaa za wachina huku na kulalamika kwamba wanachukua kazi zako huku za kuchuuza badala ya kulalamika kwanini hakuna sera za kupata ujira kwa kufanya kazi creme de la creme zilizopo nchini hio ndio definition ya mediocrityUnahangaika na uzi wangu wa uchuuzi na mediocrity wa nini?
Watu ni rasilimali na mimi ndio nimekwambia umeongelea Kariakoo na wachina mawinga.., sasa nikakujibu hizo kazi za kubangaiza ndio unazolalamikia wakati kuna kazi creme de la creme badala ya kushangaa nchi yenye rasilimali lukuki tunalalamika kwamba hizo ndio kazi zetu badala ya kutunga sera na kupata kazi za kuwapatia watu ujira na sio kuendeleza kuchuuza bidhaa hizo hizo za kutokea ChinaSehemu gani nimeandika mambo ya rasilimali kwenye uzi wangu?
Mkuu hata kusoma hujui nimekwambia badala ya kulalamikia uwinga Kariakoo tungelalamika kwanini watu wote hawana kazi za administration kule bandarini ni kwamba kazi za huko hatuwezi tufanyiwe na hizi za uchuuzi ndio zetu (mentality deformity)Nimechoka ulipo sema mwanzoni kuwa Wachina wapewa kuwa Adminiatrators wa bandari.
Natetea the whole notion ya kuwa homophobic.., ila ukileta hoja za kubaguana au kunyanyaswa au kutokuwa na fair game takujibu au taongelea merits na demerits zake au laumu watu kama wamejenga au kuchukua eneo kwa njia haramu na sio vinginevyo sababu ya rangi yao...Sina neno kubwa zaidi ya kukwambia hujui unachokitetea.
I take it as a compliment...,just aiming for the moon and when I miss it atleast I will fall in pragmatism..., until then I will continue to test the realms of possibilities and what ifs....Una absttact ideas nyingi sana. Wewe ni idealist.
Basilisheni huko uswekeni kuwe rich neighbourhood kwa kufanya kazi kwa bidii uone kama hawajaja kupanunua kwa bei mbaya na huko ndiko kukuza uchumiwaswahilo kaeni uswekeni
Huyu ni mpuuzi kama siyo mshamba hana uelewa wowote hofu imemjaahalafu mbona wabongo kwao wanaenda, unataka wachina nao watimue wabongo kwao, hiyo kariakoo si itakufa.
Umesema unahofu wanavyofungua viwanda, yani unawaogopa hutaki wafungue viwanda maana wewe muwekezaji wetu utakosa sehemu yakuwekezaUmetoka nje ya mada.
Wapi nimeseme wasizalishe piki piki na kujenga madaraja?
Hana akili kabisa huyowe hutaki waanzishe viwanda bongo? wasipokuja utaanzisha wewe, kwa pesa gani uliyo nayo
Kwa namna utawala wa sheria ulivyo weak hapa kwetu kuna kipindi kitafika hawa jamaa watakuwa ni untouchables. Mzawa utafanywa chochote in expense ya fedha zao.Mkuu
Kwa maoni yako, unadhani ina afya for these people kukaa kwenye suxh prime areas?
Kwangu mi naona ni kama kuanzisha nchi ndani ya nchiSawa sasa
Nitajie ni sehemu gani unayoijua wewe hapa Bongo ambayo kuna Warusi tu, then hao Warusi wana hospitali yao, wameanzisha supermarket ya Kirusi, Car Wash na vitega uchumi vingine ikiwemo hospitali?
And why is it okay for Chinese nationals kukaa na ku-own hotels na kukodisha apartments hapa Tanzania while kwao it's illegal kwa Mtanzania kufanya hivyo.
Sijui lakini hamna kitu kinaniuma kama kuanza kuwarekodi wachina na kusema wamevamia daaah. Hawa wamekuja na passport zao. Hawajazamia, na wote wanashughuli za kulipa kodi, hata sisi tukienda makwao, tunakua na eneo ambalo wengi wetu tunafikia. Why wao watengane. Roho imeniuma sana daaah.
kuna miji kama doha, Qatar, London-Uk, Minneapolis- marekani, kampala nairobi na mombasa, kitwe-zambia. Kuna watanzania wengi unaweza sema kkoo au pale nyegezi mwanza.
What the fck this is trending today.
Hawa wanakaa kwenye appartment uwezo wakununua hizo nyumba hawana.
Mnajua kuna wachina wangapi kiwanda cha dar ceramics, kepa ceramics mkuranga?
Ujinga huu wazee. Kausheni.