Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina

Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina

Kwakweli labda it's a globalist in you mkuu.

But in real sense. Wachina ni an existential threat.

Huko Kariakoo wamekuwa Mawinga wanauza hadi soksi na ndo maana hata Rais Samia alimuagiza Jafo aunde tume ya "kuchunguza" influx ya hao wachina pale Kariakoo.

Wachina wangebaki kuwa investors hamna mtu angesumbuana nao. Boomplay, Tekno, Itel, Startiimes zote zao hamna mtu analalamika.

Lakini hao jamaa wako wengi sana na ukiongea na wafanyabiashara watakwambia wanavyo-operate kihuni
Tena mimi ingewezekana ningesema tuwaachie hizo kazi za machinga na mawinga na za vibarua sisi tuhakikishe watu wetu tunawapa kazi za kwenda kusimamia huko Migodini, kwenye mbuga za wanyama kuwa ma administrator kwenye bandari zetu, investors wa mali zetu n.k.

Na sio kulalamika eti wanatunyanganya kazi zetu ukiuliza nini (unaambiwa kutembeza mitumba na kuwa chinga ) as if uchinga ndio kazi pekee tunayoweza; hatulalamiki creme de la creme zinafanywa na wengine
 
Wabongo wanakatazwa kwenda China? Waafrika wangapi wapo China?

Kama wanatoa hela nzuri kununua au kuwekeza hayo maeneo, nyie chukueni mjenge maeneno mengine mazuri kuliko hapo. Ndo foreign investment zinavyofanya kazi na nchi kupiga hatua. Wasipowekeza Mikocheni nyie wamatumbi mnaweza? Wangapi wanaweza kulipa rent za Mikocheni au Masaki? Regency hotel ilishajifia unataka owners wakatae kupangisha wageni kisa ni wachina? Hayo maeneo yanakuuma sababu unaona ni prime areas ila kwa standard za kimataifa ni maeneno ya hovyo tu. Chukueni hela mkajenge subdividions za maana kuliko hapo.

Kuna kasumba ya wabongo kuogopa wageni, kuogopa kwenda nje plus kutokujua lugha sijui ni athari za ujamaa au nini ila inarudisha nchi nyuma kuliko kawaida. So long as wanafuata sheria hakuna tatizo.
 
Wabongo wanakatazwa kwenda China? Waafrika wangapi wapo China?

Kama wanatoa hela nzuri kununua au kuwekeza hayo maeneo, nyie chukueni mjenge maeneno mengine mazuri kuliko hapo. Ndo foreign investment zinavyofanya kazi na nchi kupiga hatua. Wasipowekeza Mikocheni nyie wamatumbi mnaweza? Wangapi wanaweza kulipa rent za Mikocheni au Masaki? Regency hotel ilishajifia unataka owners wakatae kupangisha wageni kisa ni wachina? Hayo maeneo yanakuuma sababu unaona ni prime areas ila kwa standard za kimataifa ni maeneno ya hovyo tu. Chukueni hela mkajenge subdividions za maana kuliko hapo.

Kuna kasumba ya wabongo kuogopa wageni, kuogopa kwenda nje plus kutokujua lugha sijui ni athari za ujamaa au nini ila inarudisha nchi nyuma kuliko kawaida. So long as wanafuata sheria hakuna tatizo.

China ni nchi ya pili kwa kuwa na GDP kubwa zaidi duniani.

Wana GDP ya 17 Trillion USD, maana yake ni kwamba Xi Jinping akiamua kutumia 0.0299% ya bajeti ya China which is 5 Billion anaweza kujaza Oysterbay, Masaki na Mikocheni, nyumba zote zikawa za Wachina na restaurants za kichina.

Kwa hoja yako ya kwamba kwa kuwa wana hela nzuri, maana yake Wachina at any point in time wanaweza wakaijaza Oysterbay just because wana hela.

Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kukubali ujinga huo. Lazima kuwe na regulations kwa sababu Wachina wana hela na population ya kujaza hayo maeneo wanayo wakiamua.
 
Tena mimi ingewezekana ningesema tuwaachie hizo kazi za machinga na mawinga na za vibarua sisi tuhakikishe watu wetu tunawapa kazi za kwenda kusimamia huko Migodini, kwenye mbuga za wanyama kuwa ma administrator kwenye bandari zetu, investors wa mali zetu n.k.

Na sio kulalamika eti wanatunyanganya kazi zetu ukiuliza nini (unaambiwa kutembeza mitumba na kuwa chinga ) as if uchinga ndio kazi pekee tunayoweza; hatulalamiki creme de la creme zinafanywa na wengine

Unaongea kwa sababu wewe sio mfanyabiashara na ndo maana mawazo yako ni abstract tu. Very idealistic and Utopian.

Ukishakuwa na frame Kariakoo, utakumbuka maneno yangu
 
Nenda katafute Wachina Bel Air Marekani kama utawakuta.
Huko kote kufanya nini wachina wamejaa New York city - Manhattan& flushing chinatowns
Los Angeles Wana mtaa wao unaitwa San Gabriel Valley
Ukienda Californi ndiyo usiseme.

Na Wahindi pia Wana mitaa yao kule maarufu kama Jersey City.

Hamna maajabu hapo Kigumu serikari iangalie ni namna gani ya kuwatumia kwa manufaa ya Taifa hasa katka swala Zima la creative and innovative kama wenzetu wamerakani wanavyo fanya
 
Najua kabisa na hasa kwa nchi kama yetu ambayo serikali haijui maana ya kuwa-protect raia wake. Tanzania mchina anaweza kuwa na haki polisi kuliko mzawa wakati sehemu kama China ni tofauti. Tatizo ni kuwa raia wetu wamelala na hwataki kuamka.
Raia wamelala au Serikali ndio haitekelezi wajibu wake kwa haki!?
 
Mkuu usiawachukie wageni ikiwa wameona fursa acha wafanye kwani nyie waswahili hamna restaurant China na Carwash? Au na nyie waswahili mliopo china mfukuzwe

You have asked a WRONG question.

The real question is, Mtanzania ukiwa China mnaruhusiwa kuwa na "Swahili Town" ambako mtakuwa na kamji kenu mnafungua migahawa, car wash na spa za kibongo na ku-own apartments na nyumba amnazo mnazibadilisha kuwa viwanda baadae?

Hilo ndo swali ulilotakiwa kuuliza!
 
Huko kote kufanya nini wachina wamejaa New York city - Manhattan& flushing chinatowns
Los Angeles Wana mtaa wao unaitwa San Gabriel Valley
Ukienda Californi ndiyo usiseme.

Na Wahindi pia Wana mitaa yao kule maarufu kama Jersey City.

Hamna maajabu hapo Kigumu serikari iangalie ni namna gani ya kuwatumia kwa manufaa ya Taifa hasa katka swala Zima la creative and innovative kama wenzetu wamerakani wanavyo fanya

Duuuuh sawa
 
Huko South Africa ni wabongo wangapi unaowajua wanamiliki supermarkets na mahoteli na kuyabadilisha kuwa kama sehemu zao.

Yaani unawachukua waganga njaa wanaoenda South Africa, unawafananisha na Wachina ambao wanashiriki mpaka kwenye mikutano ya ndani ya CCM?
Kwani hizo sehu wameiba?
Kuna sheria wamevunja katika kumiliki hizo sehemu?
Achana na mawazo mgando.
 
You have asked a WRONG question.

The real question is, Mtanzania ukiwa China mnaruhusiwa kuwa na "Swahili Town" ambako mtakuwa na kamji kenu mnafungua migahawa, car wash na spa za kibongo na ku-own apartments na nyumba amnazo mnazibadilisha kuwa viwanda baadae?

Hilo ndo swali ulilotakiwa kuuliza!
Wamejenga viwanda mahali pasipo ruhusiwa?
Vibali amewapa nani?
Kama wana permit zote waache watafute pesa pia waongeze ajira ili watanzania wapate ajira.
 
Unaongea kwa sababu wewe sio mfanyabiashara na ndo maana mawazo yako ni abstract tu. Very idealistic and Utopian.

Ukishakuwa na frame Kariakoo, utakumbuka maneno yangu
Unaridhika na mediocrity ndio maana; Taifa zima hili kuanzia Serikali Kuu mpaka mtu wa chini wote ni wachuuzi na madalali tu wa bidhaa za mchina..., sasa badala ya kuangalia ni vipi kunakuwa na Sera za Raia kuweza kufaidi rasilimali zake kwa ubora mnaanza kulalamika Mchina anatunyanganya kazi zetu za uwinga na udalali...

Mediocrity at its best..., settling for less; If you want to aim, try aiming for the Moon at least if you miss you will hit the stars..., ila ndio hayo hayo tu ya kugombania makombo...; Wewe unawaza Kariakoo na frame yako mimi nawaza Taifa zima lenye kila aina ya rasilimali and yet tunaongelea kazi zetu ni uchuuzi na zile za Bandarini na kubwa kubwa zote ni kwamba hatuwezi wengine ndio wakafanye...
 
Hilo halikwepeki kwa dunia ya sasa unachotakiwa na wewe upambane ukatumie fursa za kwao. Namshangaa mtoa mada sijui lengo lake ni nini wakati hao wameingia nchini kihalali, anatuletea mentalility za miaka 1960's kama alivyofanya Mugabe kuwafukuza wazungu zimbabwe.
WaTanzania wengi hatuna exposure, vitu vidogo kama hivi mtu anajiropokea tu pasipo kutafakari kwa kina.
Naungana na wewe kwa Dunia ya Sasa huwezi kukwepa kitu kama hivyo. USA ile tunayo iona Leo imejengwa na wageni, tumeshuhudia mtu ambaye siyo mzaliwa wa Marekani akawa Rais ndiyo ujiulize ni Kwa namna gani wenzetu wanawatazama wahamiaji kama fursa.

Kigumu hapa Serikari iwatumie hawa wageni kama fursa hasa kwenye swala Zima la Creative and Innovative.
 
WaTanzania wengi hatuna exposure, vitu vidogo kama hivi mtu anajiropokea tu pasipo kutafakari kwa kina.
Naungana na wewe kwa Dunia ya Sasa huwezi kukwepa kitu kama hivyo. USA ile tunayo iona Leo imejengwa na wageni, tumeshuhudia mtu ambaye siyo mzaliwa wa Marekani akawa Rais ndiyo ujiulize ni Kwa namna gani wenzetu wanawatazama wahamiaji kama fursa.

Kigumu hapa Serikari iwatumie hawa wageni kama fursa hasa kwenye swala Zima la Creative and Innovative.
Kuna mambo mengi sana hujui
 
Back
Top Bottom