Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina

Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina

Tafuta hela wewe na kama inakuuma kuoana wananunua maghorofa nenda ukayanunue wewe! Usikute hapo umekula zako kiporo cha makande ukajilaza kwenye kigodoro getoni

Sijui jinsia yako lakini hii mambo ya "tafuta hela" ni talking points za watoto wa kike.

Ume-dislike weee umechoka nikadhani utakuja na points zito ila umeandika kama unaumwa verbal diarrhea.

Avatar yenyewe ya tumbili. Jinga kabisa!
 
Sijui jinsia yako lakini hii mambo ya "tafuta hela" ni talking points za watoto wa kike.

Ume-dislike weee umechoka nikadhani utakuja na points zito ila umeandika kama unaumwa verbal diarrhea.

Avatar yenyewe ya tumbili. Jinga kabisa!
Sawa mrembo naona baada ya kujishobokesha kwa mchina akakutema umekuja kufungua uzi kwa kuwakandamiza nakushauri tu endelea kukitembeza hicho kisimi chako kwa wabongo wenzako
 
Wewe si ndie unajua watu Bilion 1.4 wanatawaliwa vipi, sasa taja hao watu 200 wanaowatawala

Yaani nianze kutaja hapa watu 200?

Umetoka kwenye maujinga yako ya China Town sasa unataka nianze kukutajia viongozi wote wa CCP kwenye thread moja as if unanilipa.

Unanipotezea muda.
 
Exposure ni mhimu sana. Unfortunately WaTanzania wengi tumekosa hiyo kitu. Binafsi Mimi sioni maajabu wachina kuwepo hapo. Ukienda Canada Kuna mitaa ya wahindi Waingereza nk. Ukienda USA Kuna mitaa ya wachina ya wahindi nk.

So ajabu ni ipi hapo au ushamba tu unatusumbua, tutafute exposure siyo kila kitu ni kupinga tu.

We nae watu tulishatoka huko kwenye mambo ya China Town ndo unakuja ku-comment sasa hivi.

Rudia kusoma tena.
 
Sawa mrembo naona baada ya kujishobokesha kwa mchina akakutema umekuja kufungua uzi kwa kuwakandamiza nakushauri tu endelea kukitembeza hicho kisimi chako kwa wabongo wenzako

Sawasawa tumbili wa mjini
 
Nafanya kazi na wachina we mostly go to those places na kuna suprises nyingi nimepata huko Masaki. Wachina wamejiweka kwenye prime areas nyingi almost whole block kuanzia Morroco Square kuja mpaka Kairuki imetawaliwa na wachina.

Ukienda Masaki napo kuna sehemu wapo wameteka eneo kubwa kuna hotel kabisa ya kichina. Mikocheni wana hospitali mtaa wa nyuma ya Shoppers Supermarket.

Mkuu

Kwa maoni yako, unadhani ina afya for these people kukaa kwenye suxh prime areas?
 
Wanakwambia ni mambo ya kawaida sana hayo mkuu.

Lakini kwa akili ya kawaida ni kwamba kama ulivyosema hapo by 2030 speed ya Wachina ikiwa hivi, kuna mitaa watu weusi hawatakanyaga.
si kitu cha kawaida
Hakuna wawekezaji wabaya kama wachina
wao wanachofanya ni kufanya damping

Hata hao TRA ukute hizo risiti si og
 
Alikukataa kwa uchafu wako mrembo kama vipi njoo getoni nikupinguzie hasira

Man seriously huu uzi nimebishana na watu wengi and to be honest you're the dumbest person ambaye nime-argue nae kwenye hii thread.

By dumb namaanisha mjinga.

Yaani huna points za kunifanya niandike paragraphs kama nilivyofanya kwa Mi mi au wachangiaji wengine waliokuwa na nondo za maana ndo maana ulivyoanza kutukana nikaona nikuunge tu because i know you're dumb.

So save your time. I'll be ignoring you from now.
 
Man seriously huu uzi nimebishana na watu wengi and to be honest you're the dumbest person ambaye nime-argue nae kwenye hii thread.

By dumb namaanisha mjinga.

Yaani huna points za kunifanya niandike paragraphs kama nilivyofanya kwa Mi mi au wachangiaji wengine waliokuwa na nondo za maana ndo maana ulivyoanza kutukana nikaona nikuunge tu because i know you're dumb.

So save your time. I'll be ignoring you from now.
Dump ni familia yako yote ilioshindwa kujikwamua kiuchumi ikafanya mtoto wa kike kama wewe kujililisha kwa wachina ili ukawatambie mashosti zako huko kwenu buza na bahati mbaya hawakuwa na shobo na wewe
 
Exposure ni mhimu sana. Unfortunately WaTanzania wengi tumekosa hiyo kitu. Binafsi Mimi sioni maajabu wachina kuwepo hapo. Ukienda Canada Kuna mitaa ya wahindi Waingereza nk. Ukienda USA Kuna mitaa ya wachina ya wahindi nk.

So ajabu ni ipi hapo au ushamba tu unatusumbua, tutafute exposure siyo kila kitu ni kupinga tu.

Nenda katafute Wachina Bel Air Marekani kama utawakuta.
 
Yaani umetoka nje ya mada kabisa.

Ungekuwa ni mtihani wa history essay ningekata na mstari mwekundu then kwa herufi kubwa ningeandika neno OP yaani Out Of Point.
Umeongelea China huwezi kupewa Ardhi nimekuuliza hata huku ardhi ni mali ya mtu au unapewa lease
Swali: Unadhani zile car wash zipo kwa ajili ya waswahili au Wachina?
Kwamba ukienda kuosha gari lako wanaangalia ngozi yako ? Kama ndio basi hawafai hii nchi imejengwa kwa assimilation na hatu entertain ubaguzi..., na kama ndivyo usingesema wachina wamezidi bali ungesema wachina wanabagua waswahili na kuleta apartheid na kwa hilo ningeshirikiana nawe kuwakemea
 
Katika kitu nataka Tanzania kifanyike ni kuchanganya damu hasa na jamii za hivyo ikiwemo wachina ninaona kuna kitu kitaondoka vichwani mwa Watanzania
Katika kitu race yoyote inakosea ni kuchanganya damu na wabongo angalia wahindi na waarabu waliochangabya damu wanavyobaguliwa
 
Kama kuna kitu cha kujifunza kwa wachina ni uchapakazi.
Wachina wanafanya kazi kama mchwaaaa. Ndio maana kokote wanakoenda lazima watoboe iwe Us, Ulaya au Africa lazima washine mwenye nguvu mpishe
 
Mkuu unasema CHADEMA tutaenda kuwafukuza wachina kama sera yetu.

Sishangai, kwasababu hata Mh. Mbowe katika moja ya mihadhara yake aligusia wingi wa wachina nchini pamoja na ukamataji wao wa maeneo ya uchumi nchini, na alifika mbali tu na kuonyesha takwimu.

Kinachonishangaza ni uwepo wa watu wa Ulaya katika maeneo hayo hayo uliyoyataja.

Kwanini iwe wachina tu?

Sawa sasa

Nitajie ni sehemu gani unayoijua wewe hapa Bongo ambayo kuna Warusi tu, then hao Warusi wana hospitali yao, wameanzisha supermarket ya Kirusi, Car Wash na vitega uchumi vingine ikiwemo hospitali?

And why is it okay for Chinese nationals kukaa na ku-own hotels na kukodisha apartments hapa Tanzania while kwao it's illegal kwa Mtanzania kufanya hivyo.
 
Dump ni familia yako yote ilioshindwa kujikwamua kiuchumi ikafanya mtoto wa kike kama wewe kujililisha kwa wachina ili ukawatambie mashosti zako huko kwenu buza na bahati mbaya hawakuwa na shobo na wewe

Dump ndo nini sasa?

Mkuu em usini-quote tena
 
Back
Top Bottom