Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina

Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina

Kwa mujibu wa sheria yetu ya mwaka 1997 juu ya suala la kuuza eneo/ardhi hairuhusu kumuuzia mgeni ardhi bali inaruhusu kuwapa eneo kwaajili ya uwekezaji…

Ikiwa wanaingiza mapato kwa taifa sio mbaya ila ni mbaya kama hawatunafaishi.

Kama raia tunapaswa kubana uongozi kwa kujua mapato na matumizi kama yanaenda inavyopaswa ndo maana tunapaswa kuwa na viongozi wenye weledi na wazalendo.

Mgeni anakaribishwa lakini anapaswa kupukuchuliwa vilivyo ili achague kama anakaa au anabaki na si kumfukuza kwa kuwa wapo wengi.

Issue ni kwamba nchi yetu ina makandokando mengi sana ndo sababu hata ongezeko lao linatia wasiwasi ni kama kuna sehemu kuna pengo linalofanya pawe kama shamba la bibi ambapo shida hapo sio wao maana wao wanaangali palipo na fursa mkiwapa mwanya hawauchezei.

Nadhani umeiweka vizuri mkuu hasa kwenye paragraph ya mwisho.

Hatuna viongozi we weledi.
 
Chuki za kijinga punguza wachina hawaji kuongeza umasikini wenu

Mimi niwachukie watu ambao wako Bilioni 1 lakini wanatawaliwa na watu 200 tu?

Nachukiaje magoigoi ambao hawatulii kwenye nchi zao wanaenda kuanzisha vijiwe kwenye nchi nyingine in the name of "Chinatowns" na wewe ulivyozoba unawatetea.

Wachina sio watu wa kuwachukia ni watu wa kuwaogopa.

As i said kuliko kujaza uzi matusi baada ya kuishiwa argument ni bora uende kupumzika
 
Umejibu kama kijana wa UVCCM.

Ni watanzania wangapi wanamiliki supermarket, hoteli, na restaurants huko Guangzhou?

Una akili timamu?
Mkuu unasema CHADEMA tutaenda kuwafukuza wachina kama sera yetu.

Sishangai, kwasababu hata Mh. Mbowe katika moja ya mihadhara yake aligusia wingi wa wachina nchini pamoja na ukamataji wao wa maeneo ya uchumi nchini, na alifika mbali tu na kuonyesha takwimu.

Kinachonishangaza ni uwepo wa watu wa Ulaya katika maeneo hayo hayo uliyoyataja.

Kwanini iwe wachina tu?
 
Mimi niwachukie watu ambao wako Bilioni 1 lakini wanatawaliwa na watu 200 tu?

Nachukiaje magoigoi ambao hawatulii kwenye nchi zao wanaenda kuanzisha vijiwe kwenye nchi nyingine in the name of "Chinatowns" na wewe ulivyozoba unawatetea.

Wachina sio watu wa kuwachukia ni watu wa kuwaogopa.

As i said kuliko kujaza uzi matusi baada ya kuishiwa argument ni bora uende kupumzika
Wataje hao watu 200 uone ulivyo mjinga mwenye confidence ?
 
Mimi niwachukie watu ambao wako Bilioni 1 lakini wanatawaliwa na watu 200 tu?

Nachukiaje magoigoi ambao hawatulii kwenye nchi zao wanaenda kuanzisha vijiwe kwenye nchi nyingine in the name of "Chinatowns" na wewe ulivyozoba unawatetea.

Wachina sio watu wa kuwachukia ni watu wa kuwaogopa.

As i said kuliko kujaza uzi matusi baada ya kuishiwa argument ni bora uende kupumzika
Wapi umetukanwa acha kuplay victim kwa ujinga wako.

Hivi wakisema watajwe watu magoigoi kati yako wewe na jamii yako na wachina unaona kabisa watatajwa wachina utaachwa wewe na jamii yako

Upo serious wewe
 
Wakuu,

Kama umepita mitaa ya Mikocheni hivi karibuni utagundua kuna wachina wengi sana.

Pale Ursino Street, wana hospitali kabisa ya wachina, supermarket na restaurant kubwa sana special kwa ajili yao.

Kuna hoteli moja pale Mikocheni ilikuwa inaitwa Regency Park wameichukua wameifanya kuwa ya kwao na pale makao makuu ya zamani ya Bolt there is a whole hotel ambayo bado haijaisha wameichukua. Hata pake Palm Village kuna a restaurant ya kichina.

Huko Masaki , mbele ya Warehouse kuelekea International School of Tanganyika kuna restaurants na sehemu kama 4 kwa ajili ya Wachina tu. Homecity 2 zote ya Mikocheni na Mlimani City ni za kwao


Yaani kuna mtaa wa pale juu karibu na Morocco Square kote kumejaa Wachina tu

Pale kwenye nyumba za TBS, wamechukua nyumba nyingi wameweka garage na indoor small industries.

Ndani ya miaka 5 Masaki na Mikocheni inaenda kuwa ni mji wa kichina. Hata wapiga kura wanaenda kuwa wachina
Tafuta hela wewe na kama inakuuma kuoana wananunua maghorofa nenda ukayanunue wewe! Usikute hapo umekula zako kiporo cha makande ukajilaza kwenye kigodoro getoni
 
Wako wengi sana huko na it raises a lot of questions.

Wale jamaa soon tutaanza kuwaona wanagombea udiwani na Uenyekiti wa vitongoji
Nafanya kazi na wachina we mostly go to those places na kuna suprises nyingi nimepata huko Masaki. Wachina wamejiweka kwenye prime areas nyingi almost whole block kuanzia Morroco Square kuja mpaka Kairuki imetawaliwa na wachina.

Ukienda Masaki napo kuna sehemu wapo wameteka eneo kubwa kuna hotel kabisa ya kichina. Mikocheni wana hospitali mtaa wa nyuma ya Shoppers Supermarket.
 
Ni watanzania wangapi wanamiliki supermarket, hoteli, na restaurants huko Guangzhou?
Sidhani kama wapo.

Je, Watanzania wangapi wanamiliki vitu kama hivyo kokote tu, kamavile Ulaya na Marekani?

Kuna uwiano wowote ule wa kueleweka? Sababu?
 
Ninachoomba tu serikali iwe makini na hao jamaa, kama kuna loopholes zozote kwenye suala la umiliki ardhi na serikali need to monitor all their movement na nini wanafanya, maana "viongozi wetu" wakiona hela mezani wanasahau kulinda nchi yao. Narudia wakijaa hao ni balaa hata kama wanalipa kodi na kutoa pesa kwa upangaji wao. Hao waliopo maporini huko serikali isikae mbali nao ila ninachosikitika miaka ijayo tujiandae matukio na biashara zisizijulikana.

Haijalishi watanzania hawaoni fursa nchini kwao ama la, wala sina chuki nao, bali tu serikali ijue inapofungua mipaka kwa wageni na wao kama viongozi wafungue mipaka ya akili na jinsi ya kuwakabili pindi mambo yakibadilika.

Wenzetu ukiwa kwao hawacheki na wewe na sisi tuwe hivyo tusisimame kwenye uwekezaji tu wanaokuja nao tukumbuke KULINDA NCHI YETU PIA.
 
Haya mambo unayakuta Tanzania
Exposure ni mhimu sana. Unfortunately WaTanzania wengi tumekosa hiyo kitu. Binafsi Mimi sioni maajabu wachina kuwepo hapo. Ukienda Canada Kuna mitaa ya wahindi Waingereza nk. Ukienda USA Kuna mitaa ya wachina ya wahindi nk.

So ajabu ni ipi hapo au ushamba tu unatusumbua, tutafute exposure siyo kila kitu ni kupinga tu.
 
Back
Top Bottom