Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina

Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina

Ww umejuaje je kama ni raia wa Tz kama ww? Wasipewe haki yao kwa sababu ya asili yao?
Hoja yako ingekuwa na maana iwapo hao watu wangekuwa nchini kinyume cha sheria.

Haki gani unayoiongelea?
 
Mwaka 1800s China Town ya kwanza ilisimikwa U.S.A mpaka sasa ni miaka mingapi imepita ?

Mkuu jenga hoja. Ndo maana huko juu nikakwambia you're trying to play smart.

Mimi nimekuwa very direct kwenye hoja zangu. I'm not trying to set traps kwa kuuliza maswali ambayo unaweza kupata majibu kwa a simple google search.

Jenga hoja kwa kuzungumzia unayoyajua.

I'm not your student wala siko hapa kujibu maswali. Utafanya thread iwe ndefu bila sababu za msingi.

What are you trying to communicate?
 
Mkuu jenga hoja. Ndo maana huko juu nikakwambia you're trying to play smart.

Mimi nimekuwa very direct kwenye hoja zangu. I'm not trying to set traps kwa kuuliza maswali ambayo unaweza kupata majibu kwa a simple google search.

Jenga hoja kwa kuzungumzia unayoyajua.

I'm not your student wala siko hapa kujibu maswali. Utafanya thread iwe ndefu bila sababu za msingi.

What are you trying to communicate?
Hoja gani unayotaka wakati umekwisha onesha ujinga wako kuhusu dhana nzima ya China town
 
Walikuwepo ila wameenda wapi sasa? Nini sababu?

So you want me to start thinking for people ambao for their private reasons wameamua kutokuwepo masaki?

Seriously mkuu?

Em some nilichokiandika kwenye post ya kwanza unachojaribu kuuliza
 
kwa sasa tutaona ni jambo la kawaida ila 2030 ndo tutaelewa, tukishtuka tushachelewa na kuwatoa hatuwezi inabidi tuishi nao.
 
Hata vibao barabarani vya kuelekeza hizo hoteli na hospitali zao vimeandikwa kwa Kichina. Bora wangekuwa wanaweka na maandishi ya Kiswahili pia katika vibao hivyo.
Hili kwa kweli hata mimi sijaelewa! Inakuwaje bango linawekwa kicking, je mamlaka za serikali zinaelewa hizo lugha, tukisema haiwahusu watz kwa kuwa walengwa ni wao tu?🙄

Sina tatizo na uwekezaji wao ilimradi uwe na uhalali!
 
Hoja gani unayotaka wakati umekwisha onesha ujinga wako kuhusu dhana nzima ya China town

Sasa unapanic nini mkuu em relax. 😂😂
Sikukulipia nauli kuja kwenye uzi huu. Umekuja mwenyewe.

That being said: Wewe ndo umeleta hayo mambo ya China Town. Ukiangalia kwenye main post hamna neno China town

Nili-frame hoja yangu kwa context ya kibongo.

Wewe ndo umeleta mambo ya China town afu tena unaanza kuniuliza wewe wewe maswali kuhusu hiyo China town ilianza lini.

Mkuu kama uzi umekushinda unaweza kupumzika 😂
 
kwa sasa tutaona ni jambo la kawaida ila 2030 ndo tutaelewa, tukishtuka tushachelewa na kuwatoa hatuwezi inabidi tuishi nao.

Wanakwambia ni mambo ya kawaida sana hayo mkuu.

Lakini kwa akili ya kawaida ni kwamba kama ulivyosema hapo by 2030 speed ya Wachina ikiwa hivi, kuna mitaa watu weusi hawatakanyaga.
 
Msiwe na akili za ubaguzi au husda
Hapo inatakiwa ujiongeze na kufungua duka la vyakula vya kichina
Nakupa hii akili kwa kuwa sipo huko, ila ningekuwepo ningefungua Duka lao na ningeuza mpaka vyura, na nyoka kwa vibali
Wanapenda Popo pia
Vyakula vyao ukitaka kujua utapata wapi usisite kuuliza

Waswahili tatizo huwa hamuoni fursa

Hakuna mtu mwenye husuda kwa nchi ambayo kuna watu Bilioni 1 lakini wanatawaliwa kimabavu na a very small group of people known as CPP.

Kama ni ubaguzi hakuna watu ni wabaguzi kama Wachina ambao mgeni HUWEZI kumiliki ardhi kwenye nchi yao.

Na hata ukinunua apartment utapangiwa matumizi. Kuna sheria kandamizi sana kwenye nchi yao.

Ukitaka tuongelee ubaguzi itabidi uanze kuzungumzia ubaguzi wa hao wachina kwanza
 
So you want me to start thinking for people ambao for their private reasons wameamua kutokuwepo masaki?

Seriously mkuu?

Em some nilichokiandika kwenye post ya kwanza unachojaribu kuuliza
Sikiliza mzee, We masaki unajua worth yake kwa nyumba ya kuishi mkuu? Sikatai wapo wabongo wanaoweza kuishi ila pia sio wengi lakini tukiacha hilo thamani ya pesa yetu ipo chini sana kiasi mtu unaweza ukaweza kulipia rent hiyo 2000$ per month ila ukaona kama unatumia hela yako vibaya kwa kuwa tunajijua hali zetu.

Wamiliki wa nyumba za kule hawakulambi miguu maana ni sehemu inayojiuza kwa thamani kubwa najua hata wewe ungekuwa mmiliki wa nyumba kule ingekuwia urahisi kuipangisha kwa gharama kubwa alafu wewe ukaishi sehemu nyingine.
 
Kwani huku sheria inasemaje kuhusu ardhi na mgeni ? Unaweza ukawa mwekezaji partnership na raia after all hata raia ardhi sio mali yako unapewa lease

Na unadhani hio ni for the merit ? Kwahio sababu wao wanatabia za hivyo huenda kutokana na kwamba nchi yao imejaa na sisi tufanye hivyo ? Mimi nikiwa nina apartments zangu akaja mchina mwenye residence permit nikimpangisha who cares au ni kwamba siku akiondoka ataondoka nayo kwenye begi lake ?

Kwahio na hao hata kama wanafanya ujenzi hio ardhi sio yao, Tanzania hakuna anayemiliki ardhi unapewa lease..

Kwamba mchina car wash yake haitakatishi ? na kama yake ni bora kuliko ya Mmakonde kwahio niende kwa Mmakonde au nitembelee na gari chafu wakati carwash ya mchina ipo ?

Yaani umetoka nje ya mada kabisa.

Ungekuwa ni mtihani wa history essay ningekata na mstari mwekundu then kwa herufi kubwa ningeandika neno OP yaani Out Of Point.

Swali: Unadhani zile car wash zipo kwa ajili ya waswahili au Wachina?
 
Back
Top Bottom