Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina

Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina

Wakuu,

Kama umepita mitaa ya Mikocheni hivi karibuni utagundua kuna wachina wengi sana.

Pale Ursino Street, wana hospitali kabisa ya wachina, supermarket na restaurant kubwa sana special kwa ajili yao.

Kuna hoteli moja pale Mikocheni ilikuwa inaitwa Regency Park wameichukua wameifanya kuwa ya kwao na pale makao makuu ya zamani ya Bolt there is a whole hotel ambayo bado haijaisha wameichukua. Hata pake Palm Village kuna a restaurant ya kichina.

Huko Masaki , mbele ya Warehouse kuelekea International School of Tanganyika kuna restaurants na sehemu kama 4 kwa ajili ya Wachina tu. Homecity 2 zote ya Mikocheni na Mlimani City ni za kwao


Yaani kuna mtaa wa pale juu karibu na Morocco Square kote kumejaa Wachina tu

Pale kwenye nyumba za TBS, wamechukua nyumba nyingi wameweka garage na indoor small industries.

Ndani ya miaka 5 Masaki na Mikocheni inaenda kuwa ni mji wa kichina. Hata wapiga kura wanaenda kuwa wachina
Hawa wachina wanatuharibia nchi
 
Wakuu,

Kama umepita mitaa ya Mikocheni hivi karibuni utagundua kuna wachina wengi sana.

Pale Ursino Street, wana hospitali kabisa ya wachina, supermarket na restaurant kubwa sana special kwa ajili yao.

Kuna hoteli moja pale Mikocheni ilikuwa inaitwa Regency Park wameichukua wameifanya kuwa ya kwao na pale makao makuu ya zamani ya Bolt there is a whole hotel ambayo bado haijaisha wameichukua. Hata pake Palm Village kuna a restaurant ya kichina.

Huko Masaki , mbele ya Warehouse kuelekea International School of Tanganyika kuna restaurants na sehemu kama 4 kwa ajili ya Wachina tu. Homecity 2 zote ya Mikocheni na Mlimani City ni za kwao


Yaani kuna mtaa wa pale juu karibu na Morocco Square kote kumejaa Wachina tu

Pale kwenye nyumba za TBS, wamechukua nyumba nyingi wameweka garage na indoor small industries.

Ndani ya miaka 5 Masaki na Mikocheni inaenda kuwa ni mji wa kichina. Hata wapiga kura wanaenda kuwa wachina
Sio mbaya kukiwa na China Town
 
Sio mbaya so long as hatuwaachii commanding heights za economy na sisi kuwa vijakazi; sehemu nyingi kuna sehemu za wachina (their culture) since they have rich culture..., Huko USA kuna China Town nyingi tu, pale uk Birmingham kuna Chiniese Quarter...

Mimi mdau wa dunia napenda sana hii nikifeel like having a change of scenery naweza kwenda Dar hapo nakujichanganya na kujiona kama nipo Beijing; so long as sibaguliwi na ninapewa services kama mdau yoyote....

Badala ya kuogopa hao wachina naweza kukuogopa wewe au watu kama wewe ambao ni xenophobic...


China mtu ukiwa ni mgeni yani sio mchina huruhusiwi kumiliki ardhi. Wana sheria hiyo na iko kwenye Katiba yao.

Hata kumiliki apartment mpaka kupata hicho kibali ni shida sana na hata ukikipata inatakiwa iwe ni kwa ajili ya kuishi wewe tu.

Sasa kama that is the case kwanini wachina wanakuja Tanzania na serikalo yenu inawaacha wanaanzisha hadi car wash?
 
Sio kweli, Tembea duniani huko uone, karibia miji mikubwa yote duniani kuna "china towns", sio jambo jipya.

Unaweza pita hapa ukajionea.
👇🏽

China towns ni chanzo cha matatizo makubwa sana na ndio maana ziko discouraged siku za hivi karibuni.

Ukifuatilia huko ndani ya China Towns kuna illegal businesses nyingi, kuna gangs na kuna biashara nyingi za kikahaba zinaendelea huko. Fanya a simple google seaech utagundua.

Marekani walitengenezaga kabisa sheria ili kuweza kuzi-control hizo China towns huko Los Angeles. Sijui iliishia wapi

Msipende kushabiki vitu msivyovijua
 
China towns ni chanzo cha matatizo makubwa sana na ndio maana ziko discouraged siku za hivi karibuni.

Ukifuatilia huko ndani ya China Towns kuna illegal businesses nyingi, kuna gangs na kuna biashara nyingi za kikahaba zinaendelea huko. Fanya a simple google seaech utagundua.

Marekani walitengenezaga kabisa sheria ili kuweza kuzi-control hizo China towns huko Los Angeles. Sijui iliishia wapi

Msipende kushabiki vitu msivyovijua
Nimekupinga ulivyosema kuwa mambo haya yapo TZ tu, usipotoshe watu.
 
China mtu ukiwa ni mgeni yani sio mchina huruhusiwi kumiliki ardhi. Wana sheria hiyo na iko kwenye Katiba yao.

Hata kumiliki apartment mpaka kupata hicho kibali ni shida sana na hata ukikipata inatakiwa iwe ni kwa ajili ya kuishi wewe tu.

Sasa kama that is the case kwanini wachina wanakuja Tanzania na serikalo yenu inawaacha wanaanzisha hadi car wash?
Unaifahamu sheria ya ardhi kwa wachina wote ?
 
Nyie mbona mmeshindwa kuiendeleza obay ,masaki mikocheni
Nyumba obay watu wanaishi wanafuga ngombe 😄
Wapisheni wenye kisu hizo potential area

Ova

Kwa utajiri uliokuwa nao China, Xi Jinping akiweka USD Bilioni 10 which is 0.000001% ya GDP ya China maana yake ni kwamba Wachina wanaweza wakanunua Oysterbay na Masaki yote in a span of 5 - 10 years.

Sasa kama huoni kwamba hilo ni tatizo sina kukwambia.

Na nikuulize, kwanini kuwe na Chinatowns hao wachina wana uspecial gani mpaka wawe na ka mji kao wenyewe?
 
China towns ni chanzo cha matatizo makubwa sana na ndio maana ziko discouraged siku za hivi karibuni.

Ukifuatilia huko ndani ya China Towns kuna illegal businesses nyingi, kuna gangs na kuna biashara nyingi za kikahaba zinaendelea huko. Fanya a simple google seaech utagundua.

Marekani walitengenezaga kabisa sheria ili kuweza kuzi-control hizo China towns huko Los Angeles. Sijui iliishia wapi

Msipende kushabiki vitu msivyovijua
Tanzania haina wachina wengi kushinda Singapore, nchi za Asia hata baadhi mataifa ya ulaya na marekani
 
Back
Top Bottom