Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina

Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina

We dont need foreign investors wanao-invest kwenye CAR WASH, MIGAHAWA na ZAHANATI au investors wanaonunua nyumba na kuanza kupangisha.

Investor anatakiwa kuinvest kwenye maproject makubwa.

Wachina hao hao ndo wanamiliki Boomplay, Startimes na Tekno, lini umeona wabongo wanalalamika.

Unapata wapi nguvu ya kumuita mtu anayewekeza kwenye CAR WASH na mgahawa kuwa INVESTOR?
Ww umejuaje je kama ni raia wa Tz kama ww? Wasipewe haki yao kwa sababu ya asili yao?
Hoja yako ingekuwa na maana iwapo hao watu wangekuwa nchini kinyume cha sheria.
 
Comment za watu kama ww, ndio zinafanya hii nchi ionekane haina maono, vijana wa hovyo, kumbe ni vijana wachache sana
Mkuu kwani kuna tatizo gani iwapo watakuwa hapa nchini kwa mujibu wa sheria?
 
Msiwe na akili za ubaguzi au husda
Hapo inatakiwa ujiongeze na kufungua duka la vyakula vya kichina
Nakupa hii akili kwa kuwa sipo huko, ila ningekuwepo ningefungua Duka lao na ningeuza mpaka vyura, na nyoka kwa vibali
Wanapenda Popo pia
Vyakula vyao ukitaka kujua utapata wapi usisite kuuliza

Waswahili tatizo huwa hamuoni fursa
 
Wakuu,

Kama umepita mitaa ya Mikocheni hivi karibuni utagundua kuna wachina wengi sana.

Pale Ursino Street, wana hospitali kabisa ya wachina, supermarket na restaurant kubwa sana special kwa ajili yao.

Kuna hoteli moja pale Mikocheni ilikuwa inaitwa Regency Park wameichukua wameifanya kuwa ya kwao na pale makao makuu ya zamani ya Bolt there is a whole hotel ambayo bado haijaisha wameichukua. Hata pake Palm Village kuna a restaurant ya kichina.

Huko Masaki , mbele ya Warehouse kuelekea International School of Tanganyika kuna restaurants na sehemu kama 4 kwa ajili ya Wachina tu. Homecity 2 zote ya Mikocheni na Mlimani City ni za kwao


Yaani kuna mtaa wa pale juu karibu na Morocco Square kote kumejaa Wachina tu

Pale kwenye nyumba za TBS, wamechukua nyumba nyingi wameweka garage na indoor small industries.

Ndani ya miaka 5 Masaki na Mikocheni inaenda kuwa ni mji wa kichina. Hata wapiga kura wanaenda kuwa wachina
Shida iko wapi kama wapo kihalali na wanazingatia sheria za nchi!? Punguza chuki na upambanie maisha yako.
 
Kwamba hutaki wawepo!? Ama kuna kingine cha zaidi umekiona? Kama wapo kwa taratibu na sheria, na wanawekeza kwa taratibu na sheria tatizo liko wapi..!? Vinginevyo una wivu kwa sababu dada zako ni warahisi kwa masela wa kichina na wewe huna ubavu wa kula dada wa mchina🙂🤣
 
Serikali yao inawa boost sana
Ila mimi naona sawa kabisa
Unajuwa kila mtu na mnyonge wake...kama sahv kinondoni inavyoshambuliwa na watu kwa kuwahamisha wao nao wawatafute wanyonge wao huko mbande,mbagala chamazi 😄

Ova
Hahahaha,ni mwendo wa kuhamishana tu
 
Wakiwa wengi maana yake uhalifu pia huwa mwingi
Na wana biashara kubwa za kutakatisha fedha, Unga, umalaya, na hata body parts wamo
Hakuna biashara wasizofanya
Hapo Usalama wawe makini sana na hawa watu hawana kitu kinaitwa haramu kwao

London wana China Town ila wazungu kiboko
Wameajiri mashushushu wa kichina na hata Polisi wenye Uniform raia na wazawa wa 🇬🇧 ila asili ya kichina wapo wengi tu
Hii ina saidia kama kukitokea vurugu za aina yoyote wanawatuma watu wao maana wanajua culture zao

Acheni kulala kama una duka ongeza bidhaa zao hapo
Vijana fanyeni kazi
 
Wachina Wana plan ya mbali sana. Wachache sana watakuelewa. By the time USA wamekuja kugundua it was already too late.

Wenyewe saa hii ni mwendo wa kulazimishia kuchanganya damu. Tutakuwa na vianko na vijukuu vya kutoka Lijiang, chongqing vya kutosha. Lengo lake bado sijalielewa. Sijui ndiyo wanavituma vipelelezi kwa njia hiyo
 
Wako wengi sana huko na it raises a lot of questions.

Wale jamaa soon tutaanza kuwaona wanagombea udiwani na Uenyekiti wa vitongoji
Sio tatizo kama watakubali kuwa Watanzania ni jambo zuri sana
 
Hata wenyewe ni waoga ndo maana CCP imewatawala kimabavu
Ingekuwa imetawala kimabavu muda tu wangekuwa wameiondosha na wala isingekuwa na miaka zaidi ya 100 itakakuwa huwafahamu wachina na historia yao.

Katika kitu wachina hawana kabisa basi ni uoga CCP ni wadogo sana kwenye historia ya China
 
Wakuu,

Kama umepita mitaa ya Mikocheni hivi karibuni utagundua kuna wachina wengi sana.

Pale Ursino Street, wana hospitali kabisa ya wachina, supermarket na restaurant kubwa sana special kwa ajili yao.

Kuna hoteli moja pale Mikocheni ilikuwa inaitwa Regency Park wameichukua wameifanya kuwa ya kwao na pale makao makuu ya zamani ya Bolt there is a whole hotel ambayo bado haijaisha wameichukua. Hata pake Palm Village kuna a restaurant ya kichina.

Huko Masaki , mbele ya Warehouse kuelekea International School of Tanganyika kuna restaurants na sehemu kama 4 kwa ajili ya Wachina tu. Homecity 2 zote ya Mikocheni na Mlimani City ni za kwao


Yaani kuna mtaa wa pale juu karibu na Morocco Square kote kumejaa Wachina tu

Pale kwenye nyumba za TBS, wamechukua nyumba nyingi wameweka garage na indoor small industries.

Ndani ya miaka 5 Masaki na Mikocheni inaenda kuwa ni mji wa kichina. Hata wapiga kura wanaenda kuwa wachina
Haya ndiyo maendeleo sasa. Hizo ndyo high class settlement zinazoendana na nchi ambayo imekua kiuchumi.

Hamia Kiburugwa au Buza ndiyo saizi yako
 
Back
Top Bottom