Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Maeneo hayo Mchicha anakuvua tu km unataka kumpa, pale Palm village wamejaaRegency Hotel wameichukua
Safi sana maana Ray ilishaanza
Mshindwa
My fair plaza wameichukua safi sana
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maeneo hayo Mchicha anakuvua tu km unataka kumpa, pale Palm village wamejaaRegency Hotel wameichukua
Safi sana maana Ray ilishaanza
Mshindwa
My fair plaza wameichukua safi sana
Ova
Ni kweli kabisa MkuuWatu hawaelewi hili jambo.
Yaani serikali ya china ikiweka USD 1 Billion hamna mbongo ataweza kukaa huko Mikocheni
Wewe ni mbaguzi nyinyi ndio wale hata huko vijijini kwenu mgeni akiamia mnaanza kumjadili.
Kama nawaona ccm wanavyochekelea wapiga kuwa wao wapya.Ndani ya miaka 5 Masaki na Mikocheni inaenda kuwa ni mji wa kichina. Hata wapiga kura wanaenda kuwa wachina
Pisi kali zao zije kuuza mbususu tuzichakate.
we ni kama kengeToka bwana, mi ndo nimekuomba statistics unaanza kubadilisha kibao kuwa mimi ndo nikupe statistics.
Kama wewe hata hizo statistics huna ulikuwa unabisha nini?
Toka bwana, mi ndo nimekuomba statistics unaanza kubadilisha kibao kuwa mimi ndo nikupe statistics.
Kama wewe hata hizo statistics huna ulikuwa unabisha nini?
unaandika kwa uchungu ukionesha ni namna gani unaroho chafuKama mgeni akija kijijini kwetu akaanza kununua mashamba, maduka yote ya kijiji akaanza kuyamiliki, akaanzisha car wash na hospitali Yes nitaanza KUMJADILI na kama huo kwako ni ubaguzi basi utakuwa una matatizo ya akili.
Yaani hujui how ambitious the Chinese governemnt is ndo maana unaandika unachokiandika
Comment za watu kama ww, ndio zinafanya hii nchi ionekane haina maono, vijana wa hovyo, kumbe ni vijana wachache sanaSasa wewe inakuuma nini? kama vp na wewe nenda china ukatawale mitaa ya Guangzhou. Huu ndio kiashiria cha ubaguzi wenyewe sasa.
we ni kama kenge
unaandika kwa uchungu ukionesha ni namna gani unaroho chafu
Too bad watz wako busy , wakuwa distracted na umbea, udaku ,siasa na simba na yanga. Na hivi vitu vinatumika kuwapumbaza wakati kuna mambo serious yanaendelea kama hayaWakuu,
Kama umepita mitaa ya Mikocheni hivi karibuni utagundua kuna wachina wengi sana.
Pale Ursino Street, wana hospitali kabisa ya wachina, supermarket na restaurant kubwa sana special kwa ajili yao.
Kuna hoteli moja pale Mikocheni ilikuwa inaitwa Regency Park wameichukua wameifanya kuwa ya kwao na pale makao makuu ya zamani ya Bolt there is a whole hotel ambayo bado haijaisha wameichukua. Hata pake Palm Village kuna a restaurant ya kichina.
Huko Masaki , mbele ya Warehouse kuelekea International School of Tanganyika kuna restaurants na sehemu kama 4 kwa ajili ya Wachina tu. Homecity 2 zote ya Mikocheni na Mlimani City ni za kwao
Yaani kuna mtaa wa pale juu karibu na Morocco Square kote kumejaa Wachina tu
Pale kwenye nyumba za TBS, wamechukua nyumba nyingi wameweka garage na indoor small industries.
Ndani ya miaka 5 Masaki na Mikocheni inaenda kuwa ni mji wa kichina. Hata wapiga kura wanaenda kuwa wachina
Tena inatakiwa wavurumishe ngozi nyeusi yote kutoka sehemu zote nzuri za jiji, wawahamishie pembezoni huko kama Gezaulole kama wazaramo walivyovurumishwa. Hatuna maana sisi, tumebaki kushangilia Simba na Yanga tu.Mi naona sawa...tena tufanye kuzaa nao kupata kizazi kipya..hiki kilichopo kina uoga mnoo...
2.ni fursa kwenu majirani mjifunze kichina
Mimi nadhani hoja siyo kukaa Tanzania, hoja ni je wanafanya nini?Sasa wewe inakuuma nini? kama vp na wewe nenda china ukatawale mitaa ya Guangzhou. Huu ndio kiashiria cha ubaguzi wenyewe sasa.
Popoete wanapoishiw achina huw awanatengeneza china town yao.Wakuu,
Kama umepita mitaa ya Mikocheni hivi karibuni utagundua kuna wachina wengi sana.
Pale Ursino Street, wana hospitali kabisa ya wachina, supermarket na restaurant kubwa sana special kwa ajili yao.
Kuna hoteli moja pale Mikocheni ilikuwa inaitwa Regency Park wameichukua wameifanya kuwa ya kwao na pale makao makuu ya zamani ya Bolt there is a whole hotel ambayo bado haijaisha wameichukua. Hata pake Palm Village kuna a restaurant ya kichina.
Huko Masaki , mbele ya Warehouse kuelekea International School of Tanganyika kuna restaurants na sehemu kama 4 kwa ajili ya Wachina tu. Homecity 2 zote ya Mikocheni na Mlimani City ni za kwao
Yaani kuna mtaa wa pale juu karibu na Morocco Square kote kumejaa Wachina tu
Pale kwenye nyumba za TBS, wamechukua nyumba nyingi wameweka garage na indoor small industries.
Ndani ya miaka 5 Masaki na Mikocheni inaenda kuwa ni mji wa kichina. Hata wapiga kura wanaenda kuwa wachina
Hao wachina wameona fursa na wanafata taratibu zote ambazo zipo kisheria .
Ni vizuri na sisi black utakaziamsha Bongo zetu ili tukae katika competition mode and not hate .
Maana riziki ni Kama Nyama ya tembo hauwezi kuila peke yako ukaimaliza we need more investors
Serikali yao inawa boost sanaMaeneo hayo Mchicha anakuvua tu km unataka kumpa, pale Palm village wamejaa
Mchina sahv ameingia kwa kasi kwenye real estate na eneo likiwa potential hauliIzi ana malizaWe dont need foreign investors wanao-invest kwenye CAR WASH, MIGAHAWA na ZAHANATI au investors wanaonunua nyumba na kuanza kupangisha.
Investor anatakiwa kuinvest kwenye maproject makubwa.
Wachina hao hao ndo wanamiliki Boomplay, Startimes na Tekno, lini umeona wabongo wanalalamika.
Unapata wapi nguvu ya kumuita mtu anayewekeza kwenye CAR WASH na mgahawa kuwa INVESTOR?