Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina

Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina

Wakuu,

Kama umepita mitaa ya Mikocheni hivi karibuni utagundua kuna wachina wengi sana.

Pale Ursino Street, wana hospitali kabisa ya wachina, supermarket na restaurant kubwa sana special kwa ajili yao.

Kuna hoteli moja pale Mikocheni ilikuwa inaitwa Regency Park wameichukua wameifanya kuwa ya kwao na pale makao makuu ya zamani ya Bolt there is a whole hotel ambayo bado haijaisha wameichukua. Hata pake Palm Village kuna a restaurant ya kichina.

Huko Masaki , mbele ya Warehouse kuelekea International School of Tanganyika kuna restaurants na sehemu kama 4 kwa ajili ya Wachina tu. Homecity 2 zote ya Mikocheni na Mlimani City ni za kwao


Yaani kuna mtaa wa pale juu karibu na Morocco Square kote kumejaa Wachina tu

Pale kwenye nyumba za TBS, wamechukua nyumba nyingi wameweka garage na indoor small industries.

Ndani ya miaka 5 Masaki na Mikocheni inaenda kuwa ni mji wa kichina. Hata wapiga kura wanaenda kuwa wachina
There is Chinatown in every major city around the globe.
Bora wajae tu kama wanawekeza na wanalipa kodi, it's about time Wahindi wapate competitors.
 
Sio mbaya so long as hatuwaachii commanding heights za economy na sisi kuwa vijakazi; sehemu nyingi kuna sehemu za wachina (their culture) since they have rich culture..., Huko USA kuna China Town nyingi tu, pale uk Birmingham kuna Chiniese Quarter...

Mimi mdau wa dunia napenda sana hii nikifeel like having a change of scenery naweza kwenda Dar hapo nakujichanganya na kujiona kama nipo Beijing; so long as sibaguliwi na ninapewa services kama mdau yoyote....

Badala ya kuogopa hao wachina naweza kukuogopa wewe au watu kama wewe ambao ni xenophobic...
 
Sio mbaya so long as hatuwaachii commanding heights za economy na sisi kuwa vijakazi; sehemu nyingi kuna sehemu za wachina (their culture) since they have rich culture..., Huko USA kuna China Town nyingi tu, pale uk Birmingham kuna Chiniese Quarter...

Mimi mdau wa dunia napenda sana hii nikifeel like having a change of scenery naweza kwenda Dar hapo nakujichanganya na kujiona kama nipo Beijing; so long as sibaguliwi na ninapewa services kama mdau yoyote....

Badala ya kuogopa hao wachina naweza kukuogopa wewe au watu kama wewe ambao ni xenophobic...
Hawataki mabadiliko utakuta mtu ana miliki potential area na halifanyi lolote wapishe wenye kisu wakikate tu

Ova
 
We dont need foreign investors wanao-invest kwenye CAR WASH, MIGAHAWA na ZAHANATI au investors wanaonunua nyumba na kuanza kupangisha.

Investor anatakiwa kuinvest kwenye maproject makubwa.

Wachina hao hao ndo wanamiliki Boomplay, Startimes na Tekno, lini umeona wabongo wanalalamika.

Unapata wapi nguvu ya kumuita mtu anayewekeza kwenye CAR WASH na mgahawa kuwa INVESTOR?

Mkuu usiawachukie wageni ikiwa wameona fursa acha wafanye kwani nyie waswahili hamna restaurant China na Carwash? Au na nyie waswahili mliopo china mfukuzwe
 
Umesema kweli kabisa! Hata vibao barabarani vya kuelekeza hizo hoteli na hospitali zao vimeandikwa kwa Kichina. Bora wangekuwa wanaweka na maandishi ya Kiswahili pia katika vibao hivyo.
Huko kwenye maeneo yenye madini nako wamekuwa wengi wakiwa kama wachimbaji wadogo. Binafsi naona kama kuna hatari huko mbele, labda ni hisia tu....
Hatari gani unayo ihisi?
 
Hii si sawa kabisa. Ukifuatilia chinese mafia wanavyo launder money ndio utajua hawa wanaokuja huku kujaa watakuja kuleta uhuni kama wanaoupeleka mexico.

Garage zote za kichina boss wake mmoja huoni ni.cartel hiyo.

Wabaguzi. Wanalipa mishahara midogo. Hawakati nssf wala kodi wanabana kulipa.

Mchina ni yule aliyejenga tazara enzi.za. mwalimu.
 
Hii si sawa kabisa. Ukifuatilia chinese mafia wanavyo launder money ndio utajua hawa wanaokuja huku kujaa watakuja kuleta uhuni kama wanaoupeleka mexico.

Garage zote za kichina boss wake mmoja huoni ni.cartel hiyo.

Wabaguzi. Wanalipa mishahara midogo. Hawakati nssf wala kodi wanabana kulipa.

Mchina ni yule aliyejenga tazara enzi.za. mwalimu.
Unawajua AVIC ni wachina na taasisi yao huko unaijua inahusu nini

Ova
 
Hii si sawa kabisa. Ukifuatilia chinese mafia wanavyo launder money ndio utajua hawa wanaokuja huku kujaa watakuja kuleta uhuni kama wanaoupeleka mexico.

Garage zote za kichina boss wake mmoja huoni ni.cartel hiyo.

Wabaguzi. Wanalipa mishahara midogo. Hawakati nssf wala kodi wanabana kulipa.

Mchina ni yule aliyejenga tazara enzi.za. mwalimu.
Nyie mbona mmeshindwa kuiendeleza obay ,masaki mikocheni
Nyumba obay watu wanaishi wanafuga ngombe 😄
Wapisheni wenye kisu hizo potential area

Ova
 
Hujui impact yake ndo maana unashangilia mambo ya ajabu.
Najua kabisa na hasa kwa nchi kama yetu ambayo serikali haijui maana ya kuwa-protect raia wake. Tanzania mchina anaweza kuwa na haki polisi kuliko mzawa wakati sehemu kama China ni tofauti. Tatizo ni kuwa raia wetu wamelala na hwataki kuamka.
 
Back
Top Bottom