Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina

Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina

Sikiliza mzee, We masaki unajua worth yake kwa nyumba ya kuishi mkuu? Sikatai wapo wabongo wanaoweza kuishi ila pia sio wengi lakini tukiacha hilo thamani ya pesa yetu ipo chini sana kiasi mtu unaweza ukaweza kulipia rent hiyo 2000$ per month ila ukaona kama unatumia hela yako vibaya kwa kuwa tunajijua hali zetu.

Wamiliki wa nyumba za kule hawakulambi miguu maana ni sehemu inayojiuza kwa thamani kubwa najua hata wewe ungekuwa mmiliki wa nyumba kule ingekuwia urahisi kuipangisha kwa gharama kubwa alafu wewe ukaishi sehemu nyingine.

Mkuu nimekuelewa.

So your point is kwamba kwa kuwa Wabongo hawana hela basi kwa kuwa Wachina wanazo wanaweza wakanunua Masaki, Mikocheni na Oysterbay yote, right?

Yaani maana yangu ni kwamba, kama CCP leo wakiamua kuweka USD 10 Billion, wabongo wote waondoke wakae China tu (kwa sababu wachina can manage na wabongo can't manage) hiyo kwako ni sawa?

Sijajua kama umeelewa swali langu mkuu? Nimejaribu kui-apply your logic to its full extent.
 
Acha mji uchangamke zaidi hiyo ndio future plan ku take over those eria
Ila Kumbuka wasahili wakijaa mno maahali maendeleo yanakuwa duni hivyo waache tu cha msingi upige kazi Ila kama ndio kukesha bar wkend Huko mbeleni wa bongo wataisoma number

Seriously man?

Yaani Nyerere angeona hii post angelia sana
 
Hoja imejikita kwenye Wachina, hayo mambo ya Wahindi umeleta wewe. Jikite kwenye mada.

Na it seems hujui kabisa historia ya nchi hii na namna walivyokuwa mstari wa mbele kwenye masuala ya uhuru na ukombozi.

Wahindi walikuwepo hapa Afrika Mashariki kabla hata Nyerere hajazaliwa. Ni Watanzania kuliko hata wewe

Jielimishe historia ya nchi yako uepuke aibu ndogondogo kama hizi
Mimi ningekua na uwezo ningewafukuza wachina wote kwasababu Wachina wezi sana, Serikali ya awamu ya tano ilijitahidi kuwazibiti na kuwafungulia kesi za uhujumu uchumi, ldkini Serikali ya awamu ya sita inawakumbatia na kuwapa Madini yetu wachimbe kwa Shilingi laki tano tu kwakigezo cha uwekezaji.
 
Mkuu nimekuelewa.

So your point is kwamba kwa kuwa Wabongo hawana hela basi kwa kuwa Wachina wanazo wanaweza wakanunua Masaki, Mikocheni na Oysterbay yote, right?

Yaani maana yangu ni kwamba, kama CCP leo wakiamua kuweka USD 10 Billion, wabongo wote waondoke wakae China tu (kwa sababu wachina can manage na wabongo can't manage) hiyo kwako ni sawa?

Sijajua kama umeelewa swali langu mkuu? Nimejaribu kui-apply your logic to its full extent.
Kwa mujibu wa sheria yetu ya mwaka 1997 juu ya suala la kuuza eneo/ardhi hairuhusu kumuuzia mgeni ardhi bali inaruhusu kuwapa eneo kwaajili ya uwekezaji…

Ikiwa wanaingiza mapato kwa taifa sio mbaya ila ni mbaya kama hawatunafaishi.

Kama raia tunapaswa kubana uongozi kwa kujua mapato na matumizi kama yanaenda inavyopaswa ndo maana tunapaswa kuwa na viongozi wenye weledi na wazalendo.

Mgeni anakaribishwa lakini anapaswa kupukuchuliwa vilivyo ili achague kama anakaa au anabaki na si kumfukuza kwa kuwa wapo wengi.

Issue ni kwamba nchi yetu ina makandokando mengi sana ndo sababu hata ongezeko lao linatia wasiwasi ni kama kuna sehemu kuna pengo linalofanya pawe kama shamba la bibi ambapo shida hapo sio wao maana wao wanaangali palipo na fursa mkiwapa mwanya hawauchezei.
 
Hakuna mtu mwenye husuda kwa nchi ambayo kuna watu Bilioni 1 lakini wanatawaliwa kimabavu na a very small group of people known as CPP.

Kama ni ubaguzi hakuna watu ni wabaguzi kama Wachina ambao mgeni HUWEZI kumiliki ardhi kwenye nchi yao.

Na hata ukinunua apartment utapangiwa matumizi. Kuna sheria kandamizi sana kwenye nchi yao.

Ukitaka tuongelee ubaguzi itabidi uanze kuzungumzia ubaguzi wa hao wachina kwanza
Umezunguka kumbe chuki zako za kijinga zimekujaa
 
Sasa unapanic nini mkuu em relax. 😂😂
Sikukulipia nauli kuja kwenye uzi huu. Umekuja mwenyewe.

That being said: Wewe ndo umeleta hayo mambo ya China Town. Ukiangalia kwenye main post hamna neno China town

Nili-frame hoja yangu kwa context ya kibongo.

Wewe ndo umeleta mambo ya China town afu tena unaanza kuniuliza wewe wewe maswali kuhusu hiyo China town ilianza lini.

Mkuu kama uzi umekushinda unaweza kupumzika 😂
Nani kapanic ujue unaandika ujinga halafu unajichekesha chekesha kama mwehu
 
Mimi ningekua na uwezo ningewafukuza wachina wote kwasababu Wachina wezi sana, Serikali ya awamu ya tano ilijitahidi kuwazibiti na kuwafungulia kesi za uhujumu uchumi, ldkini Serikali ya awamu ya sita inawakumbatia na kuwapa Madini yetu wachimbe kwa Shilingi laki tano tu kwakigezo cha uwekezaji.
Halafu na nyie mkifukwazwa kwao so stupid
 
Back
Top Bottom