Video: Nimeshangazwa na Profesa Mkenda kuweka kitenge kwenye bega kwa style ya kike. Au hizi ndio fashion za kichaga?

Video: Nimeshangazwa na Profesa Mkenda kuweka kitenge kwenye bega kwa style ya kike. Au hizi ndio fashion za kichaga?

Wakuu,

Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.

Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.

Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?

If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?

Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?

Mkuu,

Hujaona picha za zamani za Nyerere na Kawawa wakiwa wamevaa hivyo?
 
Wakuu,

Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.

Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.

Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?

If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?

Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?

Na alivyotabasamu sasa, kama humjui unaweza kusema...au basi
 
Wakuu,

Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.

Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.

Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?

If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?

Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?
Rainbow 😂😅
 
Wakuu,

Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.

Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.

Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?

If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?

Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?

au labda na Yeye pia Soda yake ilishaisha Gesi kitambo?
 
Ukisikia kupumbazwa ndiko huku..hizo nguo zinazowekwa picha ya mtu zinatamkiwa jambo kwa anayepokea na kutumia..zingine zinawekewa hata majini, sasa muda wa kafara ukifika baada ya kupata wanachoomba wasaidiwe nyinyi mnaovaa ndio mtatoa..sielewi wamama wa kikristo akili wamepeleka wapi..jambo hili liko wazi kabisa! Mimi siwezi ruhusu mke, Mama au binti kuingia kwenye huu ujinga wa kizembe kabisa..
Duh!
 
Wakuu,

Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.

Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.

Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?

If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?

Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?

Mwaka wa vituko.
Ingala mzee |Samwel Sitta alikataa kujidhalilisha.
Alisema katika kinyang'anyiro cha Uspika, "sharti lililowekwa limenishinda, ati Spika ajaye lazima awe mwanamke. Hilo limenishinda"
Prof Mkenda sijui hapo yeye angekubaliana au?
 
Wakuu,

Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.

Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.

Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?

If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?

Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?

Mbona ni vazi asili la wachaga?

images (15).jpeg


Mangi meli,

Huyu MANGI Marialle kama Sijakosea.
images (16).jpeg


Mangi ama viongozi wengi wa KI Africa zamani walikua wakivaa Nguo then kunakuwa na kitambaa juu wanaweka begani.
 
Mwaka wa vituko.
Ingala mzee |Samwel Sitta alikataa kujidhalilisha.
Alisema katika kinyang'anyiro cha Uspika, "sharti lililowekwa limenishinda, ati Spika ajaye lazima awe mwanamke. Hilo limenishinda"
Prof Mkenda sijui hapo yeye angekubaliana au?

Huyu hata Uprofesa wake unaanza kunipa mashaka
 
Wakuu,

Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.

Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.

Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?

If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?

Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?

Tayari
 
Back
Top Bottom