Video: Nimeshangazwa na Profesa Mkenda kuweka kitenge kwenye bega kwa style ya kike. Au hizi ndio fashion za kichaga?

Video: Nimeshangazwa na Profesa Mkenda kuweka kitenge kwenye bega kwa style ya kike. Au hizi ndio fashion za kichaga?

Ukishakuwa ccm akili zote zinahama
 
Hapana mkuu ni tofauti.

Vitenge mostly wanavaa wanawake
Kitenge ni aina tu ya kitambaa chenye maua maua mengi it has nothing to do with mwanamke au mwanaume kuna nguo nyingi tu za Vitenge za wanaume
images (18).jpeg

images (17).jpeg
 
Kitenge ni aina tu ya kitambaa chenye maua maua mengi it has nothing to do with mwanamke au mwanaume kuna nguo nyingi tu za Vitenge za wanaumeView attachment 3267824
View attachment 3267825

Mkuu umesoma main body yangu kweli?

Nimesema kwenye body kuwa at least angeshona mashati ya vitenge tungemuelewa.

Lakini kitendo cha kufunga kitenge, na kukiweka begani hayo ni mambo ya kinamama.

Yaani its either angeshona shati la kitenge au angeweka kitambaa au kaniki pale begani.

Lakini kitendo cha kuweka kitenge begani anakuwa anatupa maana ya tofauti
 
Mkuu umesoma main body yangu kweli?

Nimesema kwenye body kuwa at least angeshona mashati ya vitenge tungemuelewa.

Lakini kitendo cha kufunga kitenge, na kukiweka begani hayo ni mambo ya kinamama.

Yaani its either angeshona shati la kitenge au angeweka kitambaa au kaniki pale begani.

Lakini kitendo cha kuweka kitenge begani anakuwa anatupa maana ya tofauti
Machief wote wa Zamani ni wa mama? Mpaka Nyerere alikua anavaa hivyo ni mmama naye? Hebu Acheni utani kwenye Maisha ya watu, Africa Nzima karibia makabila yote kuanzia South Africa mpaka North Africa kwa berbers utakuta hayo mavazi ya kuweka kitambaa kwenye bega

Ghadafi
images (19).jpeg


Sesotho SOUTH Africa
images (20).jpeg


John msuya Upareni
12-1-1024x854.jpg
 
Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.

Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.
Wamfunge kilemba pia tuelewe moja kuwa nako yuko
 
Wakuu,

Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.

Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.

Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?

If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?

Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?

Uchawa tu
 
Wakuu,

Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.

Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.

Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?

If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?

Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?


Huo ndiyo UCHAWA wenyewe. CHAWA NI SAWA NA MCHAWI tu....!!
 
Back
Top Bottom