- Thread starter
- #41
Tofauti ni nini? Kitambaa na kitembe si kitu hicho hicho?
Hapana mkuu ni tofauti.
Vitenge mostly wanavaa wanawake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofauti ni nini? Kitambaa na kitembe si kitu hicho hicho?
Ukishakuwa ccm akili zote zinahama
Kitenge ni aina tu ya kitambaa chenye maua maua mengi it has nothing to do with mwanamke au mwanaume kuna nguo nyingi tu za Vitenge za wanaumeHapana mkuu ni tofauti.
Vitenge mostly wanavaa wanawake
Nimekuja kushangaa upuuziToka bwana.
Kama uzi wangu wa hovyo umekuja kufata nini?
Kitenge ni aina tu ya kitambaa chenye maua maua mengi it has nothing to do with mwanamke au mwanaume kuna nguo nyingi tu za Vitenge za wanaumeView attachment 3267824
View attachment 3267825
Nimekuja kushangaa upuuzi
Machief wote wa Zamani ni wa mama? Mpaka Nyerere alikua anavaa hivyo ni mmama naye? Hebu Acheni utani kwenye Maisha ya watu, Africa Nzima karibia makabila yote kuanzia South Africa mpaka North Africa kwa berbers utakuta hayo mavazi ya kuweka kitambaa kwenye begaMkuu umesoma main body yangu kweli?
Nimesema kwenye body kuwa at least angeshona mashati ya vitenge tungemuelewa.
Lakini kitendo cha kufunga kitenge, na kukiweka begani hayo ni mambo ya kinamama.
Yaani its either angeshona shati la kitenge au angeweka kitambaa au kaniki pale begani.
Lakini kitendo cha kuweka kitenge begani anakuwa anatupa maana ya tofauti
MmhNimecheka kijinga sana ,nchi hii hapana aisee, hivi siku tz ikawa na rais ambae ni bubu ,so tutegemee watu kuanza onesha ishara kama yeye sio
..acha kumtweza Profesa, alishavuka hiyo level hayuko kwenye siasa sbb ya kula km wewe.Lunapokuja swala la ugali kwenye siasa, ni lazima akili zikutoke kidogo.
Mzee wanguNa alivyotabasamu sasa, kama humjui unaweza kusema...au basi
Wamfunge kilemba pia tuelewe moja kuwa nako yukoNimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.
Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.
Uchawa tuWakuu,
Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.
Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.
Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?
If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?
Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?
Wakuu,
Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.
Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.
Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?
If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?
Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?
Alivaa uhusika vilivyo. Alisahau kuongezea lipstick tu.maadhimisho ya siku ya wanawake.