Mkuu,Wakuu,
Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.
Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.
Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?
If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?
Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?
Na alivyotabasamu sasa, kama humjui unaweza kusema...au basiWakuu,
Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.
Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.
Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?
If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?
Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?
Mkuu,
Hujaona picha za zamani za Nyerere na Kawawa wakiwa wamevaa hivyo?
Kazingua sana huyu mzee.
Vijana wapumbavu huandika vitu visivyo na msingi mtandaoni
Rainbow 😂😅Wakuu,
Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.
Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.
Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?
If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?
Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?
au labda na Yeye pia Soda yake ilishaisha Gesi kitambo?Wakuu,
Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.
Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.
Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?
If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?
Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?
Kwani shati la kitenge linakuwa si shati kwa sababu ni la kitenge?Waliweka kitenge begani mkuu?
Au waliweka lubega au kaniki?
Duh!Ukisikia kupumbazwa ndiko huku..hizo nguo zinazowekwa picha ya mtu zinatamkiwa jambo kwa anayepokea na kutumia..zingine zinawekewa hata majini, sasa muda wa kafara ukifika baada ya kupata wanachoomba wasaidiwe nyinyi mnaovaa ndio mtatoa..sielewi wamama wa kikristo akili wamepeleka wapi..jambo hili liko wazi kabisa! Mimi siwezi ruhusu mke, Mama au binti kuingia kwenye huu ujinga wa kizembe kabisa..
Mwaka wa vituko.Wakuu,
Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.
Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.
Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?
If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?
Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?
Ayo mapopoma unahangaika nayo bure.Mkuu,
Hujaona picha za zamani za Nyerere na Kawawa wakiwa wamevaa hivyo?
Mbona ni vazi asili la wachaga?Wakuu,
Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.
Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.
Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?
If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?
Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?
au labda na Yeye pia Soda yake ilishaisha Gesi kitambo?
Mbona ni vazi asili la wachaga?
View attachment 3267802
Mangi meli,
Huyu MANGI Marialle kama Sijakosea.
View attachment 3267808
Mangi ama viongozi wengi wa KI Africa zamani walikua wakivaa Nguo then kunakuwa na kitambaa juu wanaweka begani.
Mwaka wa vituko.
Ingala mzee |Samwel Sitta alikataa kujidhalilisha.
Alisema katika kinyang'anyiro cha Uspika, "sharti lililowekwa limenishinda, ati Spika ajaye lazima awe mwanamke. Hilo limenishinda"
Prof Mkenda sijui hapo yeye angekubaliana au?
Tofauti ni nini? Kitambaa na kitembe si kitu hicho hicho?Sijaona kitenge hapo mkuu.
Kama ulivyosema hapo, hivyo ni VITAMBAA sio vitenge
TayariWakuu,
Nimekutana na video ya Waziri wa Elimu Profesa Mkenda kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake.
Akiwa kwenye maadhimisho hayo, Waziri Mkenda alikuwa amekunja kile kitenge na kukiweka begani (kama fashion) the way ambayo tunaona wamama wanawekaga vitenge vyao.
Hii ni fashion ya kichaga kwa mwanaume kuweka kitenge begani au?
If not, Profesa Mkenda kwanini hakushonesha shati au koti la Kitenge?
Kuweka kitenge begani kwa mwanaume maana yake nini? Anataka atutumie ujumbe gani?