DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
Endeleeni KUPINGA USHOGA [emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2610412
Halafu linganisha na nyumba ya mlalahoi.
Kweli wakubwa wanajimegea tu keki ya taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endeleeni KUPINGA USHOGA [emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2610412
Halafu linganisha na nyumba ya mlalahoi.
Kweli wakubwa wanajimegea tu keki ya taifa
Ni kweliIf You Are Born Poor It’s Not Your Mistake, But If You Die Poor It’s Your Mistake.
Kuwa mtoto wa maskini hakumfanyie awe maskini, pambana na hali yako acha makasiriko.
Wanataka kila mtu aishi kimasikini ili wafarijike kua wanaopigika kumbe ni wengi.Tulia ni Dr wa kusomea kabisa. Kafanya kazi UD kama Professor kabla ya kwenda bungeni. Kawa mbunge wa kuteuliwa, mbunge wa kugombea na sasa ni Spika. Mme wake ni Director wa taasisi fulani. Nini cha ajabu hapo kumiliko hiyo nyumba? Mnataka mtu afanye kazi afu aishi kwenye nyumba ya nyasi?
imegharimu bilion ngapi bwashehAnna Makinda ndio alikuwa wa kwanza kuizindua. Hiyo ni nyumba kwa ajili ya spika wa bunge imejengwa na serikali sio ya Tulia
Nyumba ipo area gani dddmAnna Makinda ndio alikuwa wa kwanza kuizindua. Hiyo ni nyumba kwa ajili ya spika wa bunge imejengwa na serikali sio ya Tulia
Kafanya kazi kama professor?
Kazi gani hiyo ya kufanya kama professor?
Ila hao ma pro wa vyuo vya umma salary zao ni ndogo sana.
Kafanya kazi kama professor kwa kutumia title ya Dr? au ndo story za vijiwe vya kahawa.
Hapo kuwa kafanya kazi kama Professor umemanisha nini mkuu?.
WaTz tunajua kuchotwa, habari hii ni kwa manufaa ya nani kitaifa?
Nilikuwa nikiishi mitaa hiyo ilipo nyumba ikawa rahisi kwangu kuingia kushangaa mjengo na ukizingatia ni nyumba ya serikali sio binafsi kwa hiyo walikuwa hawakatazi kuingia kabla spika hajahamia tulikuwa tunatalii nyumba nzima na kupiga picha.Hongera mkuu kwa kutalii kwenye nyumba ya Spika kila akibadili unatalii tuu wazee wa vitengo bhana...
Hakuna dogo hapo! Gerald Hando ni kibabu kile!Huyo dogo mwenye tai nyekundu ni mkuda proo
Nani alikwambia kwamba ni nyumba yake binafsi?
Pumba kabisa, kwa hiyo akiwa UD alikua Prof lakini baada yakuwa Nominated Member of Parliament, Naibu Spika, then Spika ndiyo akawa Dkt tena?? Maajabu hayaTulia ni Dr wa kusomea kabisa. Kafanya kazi UD kama Professor kabla ya kwenda bungeni. Kawa mbunge wa kuteuliwa, mbunge wa kugombea na sasa ni Spika. Mme wake ni Director wa taasisi fulani. Nini cha ajabu hapo kumiliko hiyo nyumba? Mnataka mtu afanye kazi afu aishi kwenye nyumba ya nyasi?
Ona hii mbuzi nayo. A professor is simply an instructor, hata mwalimu wa vidudu ni professor. The word Professor is derived from the French word le professeur lenye maana mwalimu/teacher.Pumba kabisa, kwa hiyo akiwa UD alikua Prof lakini baada yakuwa Nominated Member of Parliament, Naibu Spika, then Spika ndiyo akawa Dkt tena?? Maajabu haya
Ndo serikali ya Tanzania hiyo, kumbe wanajua kabisa maisha mazuri ndo maana kwa speaker ni pazuri hadi bwawa la kuogelea .Ila walipa kodi sasa maisha yao wengi ni Mungu saidia.
Kwa nafasi yake super