Bususwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 468
- 1,116
Ni ufaransa huko sasa! Hapa tanzania ujueHapa Bordeaux na Ufaransa kwa ujumla, walimu wa secondary wanaitwa profesa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ufaransa huko sasa! Hapa tanzania ujueHapa Bordeaux na Ufaransa kwa ujumla, walimu wa secondary wanaitwa profesa.
Wamekusaidia nini sasa kwenye maisha yako?? Kwenu wapo wangapi??
Mngekuwa wengi ungeshinda kupiga kelele hapa JF?? Unajua maisha ya watu zaidi ya wao wanavyojijuwa, ulishawahi ona wapi au sikia wapi Obama anapiga intro kwamba I Prof Baraka Obama??Kwetu wapo kibao ndo maana najua. Wewe ujinga wako umekusaidia nini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JF uko hapa toka 2012, kwa hesabu za haraka tu uko kwenye ghorofa ya nne au tano kabisa huko! Lakini utoto mwingi! Andaa maisha ya uzee wako,sio kujua zaidi maisha ya watu!Kwetu wapo kibao ndo maana najua. Wewe ujinga wako umekusaidia nini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JF uko hapa toka 2012, kwa hesabu za haraka tu uko kwenye ghorofa ya nne au tano kabisa huko! Lakini utoto mwingi! Andaa maisha ya uzee wako,sio kujua zaidi maisha ya watu!
Kanifundisha huyo mama.Tulia ni Dr wa kusomea kabisa. Kafanya kazi UD kama Professor kabla ya kwenda bungeni. Kawa mbunge wa kuteuliwa, mbunge wa kugombea na sasa ni Spika. Mme wake ni Director wa taasisi fulani. Nini cha ajabu hapo kumiliko hiyo nyumba? Mnataka mtu afanye kazi afu aishi kwenye nyumba ya nyasi?
Mngekuwa wengi ungeshinda kupiga kelele hapa JF?? Unajua maisha ya watu zaidi ya wao wanavyojijuwa, ulishawahi ona wapi au sikia wapi Obama anapiga intro kwamba I Prof Baraka Obama??
Kadanganye wajinga wenzako wa huko Nanjilinji! Uwe na maisha kama kina Riz 1, wewe mbwa???
Wewe umenizidi ujuaji na umasikini tu na viingereza vingi! Wakati hakuna kitu! Mtu uwe busy na mambo yako utapata wapi muda wakicheka cheka?? Njoo ulale kwangu basi siku ya leo!Jipe moyo tupo sawa if it makes you sleep at night. Wewe umenizidi ujinga na umaskini tu [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Afisa wa teethHiyo ni nyumba ya serikali kwa ajili ya spika, nilishawahi kuingia mwaka 2011 wakati imekamilika kujengwa lakini spika alikuwa hajahamia, nikaja kuingia tena wakati anakaa spika Anna. Mara zote hizo niliingia kama mtalii tuu.
Wewe umenizidi ujuaji na umasikini tu na viingereza vingi! Wakati hakuna kitu! Mtu uwe busy na mambo yako utapata wapi muda wakicheka cheka?? Njoo ulale kwangu basi siku ya leo!
Na kwa taarifa yako hiyo sio nyuma ya Tulia, ni makazi ya Spika awapo madarakani
Mtu mzalendo kweli kweli
Asingeweza kukaa nyumba kama hiyo
Anyway hongera zake kwa kukaa kwenye mjumba mkali
Ova