KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Alafu OCD ana lafudhi ya bwana yule kwahiyo anatetea chama cha kabila lake[emoji1787][emoji1787]
Acha kutuchana ukweliOCD atapewa Lawama bure tu.
Mbowe ndio kamchokoza "......Hata mmbebe vipi huyo mgombea hawezi kunishinda"
Mlitaka asijibu aonekane " kaufyata" kama mnavyopublish.
Akaamua kijimwagaa...Sasa atafanyaje!
Huyo OCD angekuwa Semakafu, angetumbuliwa! Lakini kwa vile yeye ni mbereko ya ushindi wa CCM Jimbo la Hai badala ya kutumbuliwa atateuliwa kuwa RPC.Mengi yanasemwa kuhusu kiongozi huyo na clip inatembea mitandaoni.
Nina uhakika aliyoyatamka OCD siyo msimamo wa JESHI LA POLISI na huenda ulimi wake uliteleza kama ilivyo sifa ya sisi wanadamu ie kutokukamilika,mkamilifu ni ALLAH peke yake.
Sijui taratibu za kijeshi kuhusu hilo,lakini tufanye subra huenda tamko rasmi likatolewa...nina amini hivyo ili wananchi wa eneo bunge la HAI wasiache kwenda kupiga kura kwa vile OCD kesha mtaja mshindi.
Nipo tayari kusahihishwa
So what? Vibaraka mna shida
Kwani Magufuli anagombea ubunge wa Hai? Mafisiem mnakwama wapi?Kosa lake ni kusema Ukweli, na ukweli siku zote huwa haupendwi!
Mbowe kaambiwa ukweli kuwa hata ajipasue pasue hawezi kumshinda Magufuli [emoji23][emoji23]
Katika hali ya kushangaza OCD wa Hai ameonekana akimwambia Mbowe hadharani kuwa hawezi kushinda uchaguzi katika jimbo la Hai.
Ikumbukwe kuwa Jeshi la polisi ni miongoni mwa taasisi ambazo zinapaswa kutokuegemea upande wowote katika uchaguzi huu.
Video hii hapa:
View attachment 1593384
Ila alisema habebeki.Mbowe hajavunja sheria. Mbowe kasema mpinzani wake wa CCM hawezi kushinda. Ana haki ya kusema kuwa mpinzani wake hawezi kushinda.
Hahahaaaa humshindiiiKatika hali ya kushangaza OCD wa Hai ameonekana akimwambia Mbowe hadharani kuwa hawezi kushinda uchaguzi katika jimbo la Hai.
Ikumbukwe kuwa Jeshi la polisi ni miongoni mwa taasisi ambazo zinapaswa kutokuegemea upande wowote katika uchaguzi huu.
Video hii hapa:
View attachment 1593384
Siro oooooooh IGP Siro oooooh IGP Sirooooooh zungumza ujikoshe kabla ya kuipeleka nchi DarfurHuko Machame mbege inanyweka wakati wote na watu wote!
Hii hoja ya mtu kukumbuka aliekufa sijawahi ielewa.Lakini Mkuu huyu Kamanda amkumbuke yele wa Arusha aliyekuwa akitembea na ilani (Chana R.I.P) Nini kilimpata kabla ya mauti kumfika.
Kuvunja sheria kwa sababu ya kuwa na jazba haitakufanya uwe hujatenda kosaIla alisema habebeki.
Hii si kauli nzuri. Ndio maana akaamua kumlipua.
Hapo ilikuwa ni jazba tu.
Sawa,Kuvunja sheria kwa sababu ya kuwa na jazba haitakufanya uwe hujatenda kosa
Jana sisi waalimu wilaya flani tumeambiwa tuchague CCMKatika hali ya kushangaza OCD wa Hai ameonekana akimwambia Mbowe hadharani kuwa hawezi kushinda uchaguzi katika jimbo la Hai...
Hatuwezi kuwa na Taifa la watu ambao wanaovunja sheria kwa sababu tu kuna kujitetea.Je mimi ruksa kukuua wewe apo kwa sababu tu nitapewa nafasi ya kujitetea?Sawa,
Lakini hio ndio hali halisi.
Atajua mwenyewe namna ya kujitetea.