UTAKUJA UJE
Member
- Aug 4, 2020
- 34
- 78
HUYO OCD NADHANI HATA VYETI ALIFOJI,AFURUSHWE MARA MOJA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni tukio la aibu OCD unaapa mtu hatashinda wakat wew si msemaji wa wapiga kura. Unaonyesha mwelekeo, sas huo ni ushaidi wa kutosha kwa Amsterdam atakaotumia.Katika hali ya kushangaza OCD wa Hai ameonekana akimwambia Mbowe hadharani kuwa hawezi kushinda uchaguzi katika jimbo la Hai.
Ikumbukwe kuwa Jeshi la polisi ni miongoni mwa taasisi ambazo zinapaswa kutokuegemea upande wowote katika uchaguzi huu.
Video hii hapa:
View attachment 1593384
Hakuna,"inapobidi" haiwezi kutumika kama excuse au sababu ya kutenda makosa.Kutenda kosa haipaswi kuwa na sababu za kusingizia
Nakosea sana ila sipaswi kusingizia kuwa nimekosea kwa sababu "imebidi"Hakuna,
Kwani wewe hukosei?
Sawa, huo ni mtazamo wako.Nakosea sana ila sipaswi kusingizia kuwa nimekosea kwa sababu "imebidi"
Hakuna anaepinga wala kukataa kuwa kujitetea siyo sahihi.Mimi ninachopinga ni kutumia mgongo wa kujitetea kama kisingizio cha kufanya uhalifuSawa, huo ni mtazamo wako.
Lakini, Kwa sababu kisheria inakubalika, na ni haki kujitetea sio shida. Maana binadamu si malaika.
Haya bhana,Hakuna anaepinga wala kukataa kuwa kujitetea siyo sahihi.Mimi ninachopinga ni kutumia mgongo wa kujitetea kama kisingizio cha kufanya uhalifu
Hakuna atakaloweza kufanya labda kama kura wanapiga familia yake pekee.Kwani kasema uongo?
Ushindi wa nani? Huyo Lisu mwenyewe wamemtimua huko, video wanazotuletea za nyomi tu hizi zingine za kuzomewa hawaturushiiKwanini Mbowe alikuwa anamwambia huyo Afisa maswala ya ushindi wake? Hivyo Afisa amemjibu sahihi kabisa! Aliyataka mwenyewe!
Mkuu mbona wananchi wamesema sana, Chadema wanajua hilo Jimbo si lao tenaHuyo OCD ni msemaji wa wananchi?
Yule mgombea wa CCM habebeki,ni mzigo!Mkuu mbona wananchi wamesema sana, Chadema wanajua hilo Jimbo si lao tena
Kumekucha !!Katika hali ya kushangaza OCD wa Hai ameonekana akimwambia Mbowe hadharani kuwa hawezi kushinda uchaguzi katika jimbo la Hai.
Ikumbukwe kuwa Jeshi la polisi ni miongoni mwa taasisi ambazo zinapaswa kutokuegemea upande wowote katika uchaguzi huu.
Video hii hapa:
View attachment 1593384
kweli Aiseeeee !!Mkuu mbona wananchi wamesema sana, Chadema wanajua hilo Jimbo si lao tena
Sasa ni vema ukaenda kucheki hali ya OCD kwa sasaHongera OCD nyie askari ninao waita askeri sio wanasiasa wanawapelekesha kama nn
Yule OCD ni mpumbavu sana atafutwe apangwe lindo la kaburi la Mungu wake pale kqnda ya ziwaSasa ni vema ukaenda kucheki hali ya OCD kwa sasa
Hatari mno !!Yule OCD ni mpumbavu sana atafutwe apangwe lindo la kaburi la Mungu wake pale kqnda ya ziwa