Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Yuko KilosaAskari kama huyu ni wakufukuzwa kazi. IGP chukua hatua mapema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko KilosaAskari kama huyu ni wakufukuzwa kazi. IGP chukua hatua mapema
Anaendelea na kazi kama kawa na huyo Gaidi Mbowe hakushinda kweli na sasa Gaidi Mbowe linanyea debe.Yuko Kilosa
Wacha weeee !!Anaendelea na kazi kama kawa na huyo Gaidi Mbowe hakushinda kweli na sasa Gaidi Mbowe linanyea debe.
Vipi umeshaenda kumsalimia Gaidi?Wacha weeee !!
Karibu tutafika na HAKI itakujatendeka. Nakuombea uhai ili uje kushuhudia ili kujifunza na kujenga UPENDO wa kweli moyoni mwako. AMEN.Anaendelea na kazi kama kawa na huyo Gaidi Mbowe hakushinda kweli na sasa Gaidi Mbowe linanyea debe.
Good!Karibu tutafika na HAKI itakujatendeka. Nakuombea uhai ili uje kushuhudia ili kujifunza na kujenga UPENDO wa kweli moyoni mwako. AMEN.
![]()
Ipo siku utakuja kujuta. Tenda haki siku zoteVipi umeshaenda kumsalimia Gaidi?
Hawa wajinga wote technology ina ushahidi nao, ni swala la muda tu watapata haki zaoKatika hali ya kushangaza OCD wa Hai ameonekana akimwambia Mbowe hadharani kuwa hawezi kushinda uchaguzi katika jimbo la Hai.
Ikumbukwe kuwa Jeshi la polisi ni miongoni mwa taasisi ambazo zinapaswa kutokuegemea upande wowote katika uchaguzi huu.
Video hii hapa:
View attachment 1593384
Na huyo OCD hadi leo yupo kazini,...na kupandishwa cheo kabisa?[emoji38][emoji38][emoji38]
Kawa NaniNa huyo OCD hadi leo yupo kazini,...na kupandishwa cheo kabisa?
Leo Sabaya anadhalilishwa na OCD hana msaada wowote kwakeKawa Nani
Kam vile namuona anavyo muambia mbowe " wee uwezi kuwa mbuge usijisumbuee na ondoka haraka dah mbowe aliaibishwa Sana na askar yule
Hivi yule wa Kinondoni ni nani vile? Labda tumwite mkuu Erythrocyte, anaweza kuwa na kumbukumbu nzuri zaidi!Kawa Nani
Kam vile namuona anavyo muambia mbowe " wee uwezi kuwa mbuge usijisumbuee na ondoka haraka dah mbowe aliaibishwa Sana na askar yule
Yupo , amehamishiwa Kilombero au kilosaNa huyo OCD hadi leo yupo kazini,...na kupandishwa cheo kabisa?
wa kinondoni nani sasa , RPC Kingai au Mkurugenzi aliyemwagwa Kagurumjuli ?Hivi yule wa Kinondoni ni nani vile? Labda tumwite mkuu Erythrocyte, anaweza kuwa na kumbukumbu nzuri zaidi!