Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
- Thread starter
- #281
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jana sisi waalimu wilaya flani tumeambiwa tuchague CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jana sisi waalimu wilaya flani tumeambiwa tuchague CCM
Ni haki kujitetea.Hatuwezi kuwa na Taifa la watu ambao wanaovunja sheria kwa sababu tu kuna kujitetea.Je mimi ruksa kukuua wewe apo kwa sababu tu nitapewa nafasi ya kujitetea?
No!no!wewe unamaanisha kuwa kwa sababu kujitetea ipo haina shida huyo OCD kuvunja sheriaNi haki kujitetea.
Maana unaweza fanya kitu kwa kutokutarajia.
Na vitisho juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Babylon dogsKatika hali ya kushangaza OCD wa Hai ameonekana akimwambia Mbowe hadharani kuwa hawezi kushinda uchaguzi katika jimbo la Hai.
Ikumbukwe kuwa Jeshi la polisi ni miongoni mwa taasisi ambazo zinapaswa kutokuegemea upande wowote katika uchaguzi huu.
Video hii hapa:
View attachment 1593384
Ila ikitokea hakuna namna.No!no!wewe unamaanisha kuwa kwa sababu kujitetea ipo haina shida huyo OCD kuvunja sheria
Kutenda kosa bila ya kukusudia haitakufanya uwe mtenda kosa mwema wala haitakufanya uwe hujatenda kosa.Usitumia kutenda kosa bila kukusudia kama excuseIla ikitokea hakuna namna.
Ilhali si kwa makusudi, exactly hakuna shida.
Sawa,Kutenda kosa bila ya kukusudia haitakufanya uwe mtenda kosa mwema wala haitakufanya uwe hujatenda kosa
Unaruhusiwa kujitetea na kujitetea ni haki yako ila kuruhusiwa kujitetea isiwe sababu ya kutenda makosaSawa,
Ila naruhusiwa kujitetea.
Pale inapobidi hakuna namna.Unaruhusiwa kujitetea na kujitetea ni haki yako ila kuruhusiwa kujitetea isiwe sababu ya kutenda makosa
Pale inapobidi kutenda makosa?Pale inapobidi hakuna namna.
"inapobidi" haiwezi kutumika kama excuse au sababu ya kutenda makosa.Kutenda kosa haipaswi kuwa na sababu za kusingiziaUkitenda kosa ndio.
Ujitetee.
Mbowe kaongea kisiasa...lazima ajipe matumaini ya kushinda, polisi kaongea kama nani??...anampa nani matumaini ya kushinda au yeye ni mgombea pia? Alipaswa asmjibu mbowe kisiasa, hapo kaharibu na ukizingatia cheo chake kajibu kwa pupa!Ila Mbowe yeye anaweza kumwambia Afisa kuwa atashinda hata wakimbeba mgombea wa ccm au? Mbowe ameyataka mwenyewe basi ayaoge!
Afukuzwe cheo huyo askari.
Hana maadili ya KAZI
Huyo OCD, ikumbukwe kwanza kuwa yeye SI MALAIKA, SI MGENI HAPA NCHINI, SI AMSTERDAM na SI "KISIWA", anajua yote yanayoendelea katika siasa na hasa kipindi hiki cha uchaguzi.Katika hali ya kushangaza OCD wa Hai ameonekana akimwambia Mbowe hadharani kuwa hawezi kushinda uchaguzi katika jimbo la Hai..