Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Bodaboda kajilipua tatizo la Boda ni kutochukua tahadhali kwenye junction hata kama yupo major road hawaangalii safety firstAjali nyingi sana zimeshatokea eneo hili. Mamlaka hazichukui hatua yoyote.Sehemu yenye junction na yenye pilikapilika kama hii tena inaingiliana na mwendokasi inakosaje taa za kuongozea? Hicho kioo kikubwa kando ya junction mnadhani kinatosha kwa madereva na watumiaji wa barabara hiyo kuona upande mwingine wa barabara? Inasikitisha sana.
View attachment 2949972
Amepoteza fahamu au ameondoka kabisa?Dah, sasa pikipiki hata kupunguza mwendo kidogo.. Na hapa si ndio yule aliyegongwa na kupoteza fahamu!
Kuna jamaa aligongwa hiyo junction mwaka jana ndio anamuongelea huyo.Amepoteza fahamu au ameondoka kabisa?
Ahaaa, kumbe sikuelewa vizuri sentensiKuna jamaa aligongwa hiyo junction mwaka jana ndio anamuongelea huyo.
Kila mahali ambapo Barabara ya Mwendokasi inakutana na Barabara ya kawaida kuna mataa. Labda ndugu mtoa mada ni kipofuAjali nyingi sana zimeshatokea eneo hili. Mamlaka hazichukui hatua yoyote. Sehemu yenye junction na yenye pilikapilika kama hii tena inaingiliana na mwendokasi inakosaje taa za kuongozea? Hicho kioo kikubwa kando ya junction mnadhani kinatosha kwa madereva na watumiaji wa barabara hiyo kuona upande mwingine wa barabara? Inasikitisha sana.
Hakuna
View attachment 2949972
Nawaza angewamwaga abiria wote hao kwa bus,au akaingia kwenye jengo pembeni ingekuwaje.Ajali nyingi sana zimeshatokea eneo hili. Mamlaka hazichukui hatua yoyote. Sehemu yenye junction na yenye pilikapilika kama hii tena inaingiliana na mwendokasi inakosaje taa za kuongozea? Hicho kioo kikubwa kando ya junction mnadhani kinatosha kwa madereva na watumiaji wa barabara hiyo kuona upande mwingine wa barabara? Inasikitisha sana.
View attachment 2949972
Junction ya morogoro road/ jamhuri hamna, junction ya morogoro road/ India Street, junction ya morogoro road/ indira gandhi- zote hapo hamna mataa.Kila mahali ambapo Barabara ya Mwendokasi inakutana na Barabara ya kawaida kuna mataa. Labda ndugu mtoa mada ni kipofu
Sasa kama boda hawaambiliki hawasikii serikali iangaike nao wa nn!Hakuna serikali makini wanasubiri ajali nyingine ya kutisha itokee waanza kuchanganyikiwa
🤣🤣🤣wanadai alipona etiAmepoteza fahamu au ameondoka kabisa?
Boda umuwekee taa atakatisha kama nyumbuJunction ya morogoro road/ jamhuri hamna, junction ya morogoro road/ India Street, junction ya morogoro road/ indira gandhi- zote hapo hamna mataa.
Serikali isiyohangaika na wananchi wake sio serikali making periodtSasa kama boda hawaambiliki hawasikii serikali iangaike nao wa nn!
Ova