Video: Pamoja na lawama kwa bodaboda, kwanini Junction ya mwendokasi Kisutu haijawekwa taa za kuongoza magari mpaka leo licha ya kuwepo ajali nyingi?

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Ajali nyingi sana zimeshatokea eneo hili. Mamlaka hazichukui hatua yoyote. Sehemu yenye junction na yenye pilikapilika kama hii tena inaingiliana na mwendokasi inakosaje taa za kuongozea? Hicho kioo kikubwa kando ya junction mnadhani kinatosha kwa madereva na watumiaji wa barabara hiyo kuona upande mwingine wa barabara? Inasikitisha sana.


Your browser is not able to display this video.
 
Bodaboda kajilipua tatizo la Boda ni kutochukua tahadhali kwenye junction hata kama yupo major road hawaangalii safety first
 
Kila mahali ambapo Barabara ya Mwendokasi inakutana na Barabara ya kawaida kuna mataa. Labda ndugu mtoa mada ni kipofu
 
Hata kama Kuna taa ni ujuha sana kupita junction bila tahadhari, mi hata sehemu pakiwa na taa na green light imewaka siwezi kupita junction kwa style Hio... Hasa hasa ukiwa na chombo kidogo kama pikipiki
 
Nani kakuambia bodaboda anafatidhaga taa
Boda taa nyekundu anapita
Boda hawasiki,hawaambkliki

Ova
 
Bodaboda zote Ondoa barabarani,ni hazards mbaya mno,Bodaboda hadi kwenye freeways ni makosa
 
Nawaza angewamwaga abiria wote hao kwa bus,au akaingia kwenye jengo pembeni ingekuwaje.
 
Kila mahali ambapo Barabara ya Mwendokasi inakutana na Barabara ya kawaida kuna mataa. Labda ndugu mtoa mada ni kipofu
Junction ya morogoro road/ jamhuri hamna, junction ya morogoro road/ India Street, junction ya morogoro road/ indira gandhi- zote hapo hamna mataa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…