Video: Pamoja na lawama kwa bodaboda, kwanini Junction ya mwendokasi Kisutu haijawekwa taa za kuongoza magari mpaka leo licha ya kuwepo ajali nyingi?

Video: Pamoja na lawama kwa bodaboda, kwanini Junction ya mwendokasi Kisutu haijawekwa taa za kuongoza magari mpaka leo licha ya kuwepo ajali nyingi?

KUna nchi kukiwa na foleni hata pikipiki ni marufuku kupenya penya baina ya magari, sasa sisi huku hata junction kubwa na mataa kibao kabisa na muda mwingine junction hapo hata trafiki wapo ila boda wanaangalia kulia na kushoto na kuhepa, serious regulations zinahitajika kuendana na mazingira yetu, kuhusu mentality ya hawa boda wenyewe wabobezi wa haya mambo waje na plan
 
Back
Top Bottom