Video: Paul Makonda na harakati za hila za kuulinda mfumo wa serikali tawala ya CCM ulioshindwa. Atafanikiwa au anasukuma anguko lake?

Video: Paul Makonda na harakati za hila za kuulinda mfumo wa serikali tawala ya CCM ulioshindwa. Atafanikiwa au anasukuma anguko lake?

Mkuu Tindo, hunitendei haki kuniweka mimi katika kundi hili la hawa machawa mazagazaga!.
P
Pole sana Kwa kuingizwa kundi moja na Lucas mwashambwa na MamaSamia2025 na ChoiceVariable na chiembe na Tlaatlaah na Etwege na wengine kibao.

Hata hivyo, wewe Pascal Mayalla bado ni chawa tu japo unaweza usie yule wa "mazagazaga" bali yule chawa mwenye akili timamu maana kuna wakati huwa unajiongeza ili kuficha tabia za chawa..

Back to the topic;

Una maoni gani juu ya uchambuzi huu wa Ansbert Ngurumo?

Is Paul Makonda engineering his own downfall subsequently to your CCM?

Umeuona udanganyifu na hila za CCM katika eneo moja tu la treni ya SGR?

Hivi inawezekana vipi viongozi wa serikali waandamizi kuanzia Rais hadi mawaziri kuwa waongo wa kutoa ahadi zaidi 10 katika jambo moja tu kuhusu kuanza kwa huduma za usafiri wa treni ya SGR kati ya DSM na Morogoro tu na bado hakuna hata moja iliyotimizwa?

Hivi kwa mtazamo wako, serikali ya viongozi wa namna hii inakuwa na uhalali gani kuendelea kuwepo? Tuendelee kuiamini? Ina uadilifu wowote?

Hili ni eneo moja tu. Njoo kwenye umeme. For more than 35yrs ni uongo na ulaghai mtindo mmoja..!

Ni ngumu sana kupiga hatua za kimaendeleo chini ya mfumo wa utawala unaolea na kubeba viongozi wajinga, wazembe na wasiowajibika kwa kiwango hiki!!
 
Pole sana Kwa kuingizwa kundi moja na Lucas mwashambwa na MamaSamia2025 na ChoiceVariable na chiembe na Tlaatlaah na Etwege na wengine kibao. Wewe Pascal Mayalla si chawa mazagazaga ila ni chawa tu lakini kidogo mwenye akili timamu maana kuna wakati huwa unajiongeza ili kuficha tabia za chawa..

Back to the topic;

Una maoni gani juu ya uchambuzi huu wa Ansbert Ngurumo?

Is Paul Makonda engineering his own downfall subsequently to your CCM?

Umeuona udanganyifu na hila za CCM katika eneo moja tu la treni ya SGR?

Hivi inawezekana vipi viongozi wa serikali waandamizi kuanzia Rais hadi mawaziri kuwa waongo wa kutoa ahadi zaidi 10 katika jambo moja tu kuhusu kuanza kwa huduma za usafiri wa treni ya SGR kati ya DSM na Morogoro tu na bado hakuna hata moja iliyotimizwa?

Hivi kwa mtazamo wako, serikali ya viongozi wa namna hii inakuwa na uhalali gani kuendelea kuwepo? Tuendelee kuiamini? Ina uadilifu wowote?

Hili ni eneo moja tu. Njoo kwenye umeme. For more than 35yrs ni uongo na ulaghai mtindo mmoja..!

Ni ngumu sana kupiga hatua za kimaendeleo chini ya mfumo wa utawala unaolea na kubeba viongozi wajinga, wazembe na wasiowajibika kwa kiwango hiki!!
unataja taja majina tu kwa mistari isiyo na vina....

tafuta njia mdadala kutatua changamoto zako binafsi 🐒

malalamiko yako na gubu dhidi ya serikali yanashughulikiwa japo si muhimu kwa wakati huu 🐒
 
unataja taja majina tu kwa mistari isiyo na vina....

tafuta njia mdadala kutatua changamoto zako binafsi 🐒

malalamiko yako na gubu dhidi ya serikali yanashughulikiwa japo si muhimu kwa wakati huu 🐒
Wewe ni chawa wa mama au nimekosea?

Kama nimekosea kuwekwa kundi hilo, niwie radhi. Lakini kama u chawa, then jina lako linastahili kutjwa bila vina Wala heshima yoyote maana chawa ni wadudu hatari waenezao magonjwa..

Unasema nitatue changamoto binafsi?

Ok. Changamoto zetu wananchi kutaka upatikanaji thabiti na endelevu wa huduma ya umeme, maji, maisha bora kwa kila mwanachi na huduma zingine muhimu za kijamii toka serikalini..

Wajibu wangu ni kulipa kodi. Huo naufanya kikamilifu. Huwa mnazipelekwa wapi nyie chawa??
 
Kote alikopita amepata muitikio mkubwa na watu wamerejesha Imani Yao Kwa chama na Serikali.

Sijasikia Wala kuona mahala amesema ccm oyee au Samia oyee watu wakatukana au kuacha Kuitika.

Chadema hofu na kiwewe Cha nini?
Kwa kuwa chama kimeamua kuwadanganya Watanzania. Basi huko kote watu wanaidanganya CCM kuwa wanaiunga mkono...

Endelea kujifariji
 
Wewe ni chawa wa mama au nimekosea?

Kama nimekosea kuwekwa kundi hilo, niwie radhi. Lakini kama u chawa, then jina lako linastahili kutjwa bila vina Wala heshima yoyote maana chawa ni wadudu hatari waenezao magonjwa..

Unasema nitatue changamoto binafsi?

Ok. Changamoto zetu wananchi kutaka upatikanaji thabiti na endelevu wa huduma ya umeme, maji, maisha bora kwa kila mwanachi na huduma zingine muhimu za kijamii toka serikalini..

Wajibu wangu ni kulipa kodi. Huo naufanya kikamilifu. Huwa mnazipelekwa wapi nyie chawa??
No umekosea,

mi ni Nyumbu mkuu wa puppet niko ufipa apa 🐒
 
puppet hana hamu tena na siasa za Tz🤣

there is no escape Root this time around, Makonda pekeyake amekaba left, right and center 🤣

bado secretary general hajaanza 🤣 aiseeee
Really?

Even the devil is always hangs right, left, rear and front side..

But you know what?

The devil 👿👿👿👿 is always a liar!!
 
View attachment 2891582
This video is Courtesy of SK Media Online TV.

=====================================================
KWA UFUPI;

1. Paul Makonda ni Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi ndani ya CCM. Yupo barabarani anatembea nchi mzima hata sasa kwa kinachoitwa "ziara ya kuimarisha uhai wa chama..."

2. Ukifuatilia hotuba zake ktk mikutano yake, utaona kwa uwazi kabisa nyuma ya pazia sura ya Mtendaji mkuu wa serikali (Rais Samia Suluhu Hassan) na sio sura ya kiongozi wa idara ndogo tu ndani ya Chama Cha Mapinduzi - CCM yaani Idara ya Itikadi na Uenezi.

Mtu anaweza jiuliza, huyu mtu anafanya hivi kwa makusudi, kwa bahati ya kutojua au ana baraka za boss wake M/kiti CCM taifa na Rais wa JMT?

Ni Kwa sababu maagizo yake ni maigizo tu. Hakuna Mtendaji makini wa serikali atayatilia maanani na kuyatekeleza. Ni kwa sababu hayatoki kwa mtu sahihi kwa mtiririko wa utendaji wa kiserikali..

Mtu anajiuliza Yuko wapi Rais mwenyewe? Yuko wapi VP, Dr Phillip Mpango? Yuko wapi PM, Mwl Kassimu Majaliwa? Wako wapi mawaziri wa kisekta ili kushughulika na matatizo na changamoto za nchi? Je, ya Paul Makonda ni kiashiria cha nchi na taifa kukosa uongozi makini na thabiti? Bila shaka hili la mwisho laweza kuwa jibu..!!

3. Kwa hili kila mtu anajiuiza kuikoni huko CCM kwa maigizo haya? Mifumo sahihi haitendi kazi tena au ndio kuchoka kwenyewe huku? Na kwanini Rais Samia Suluhu Hassan, VP Dr Phillip Mpango na PM Mwl Kassimu Majaliwa wanamtanguliza huyu mtu kupiga kelele ambazo kiuhalisia hazitakuwa na matokeo yoyote kwa wananchi?

4. Fuatilia uchambuzi wa jambo hili toka Kwa mwandishi wa habari mkongwe na nguli Ansbert Ngurumo ktk video ili ujue uongo, hadaa, hila na maigizo ya serikali ya CCM kupitia watu wake wa ajabu ajabu..
Watanzania
Kwa sababu kila hali inaonekana hawa watawala wameshikilia utashi na uhai wa Taifa kupitia vyombo vya dola. Basi mkono umeshashuka na kuanza kupatiliza wote kwa kipimo walichowapimia wanyonge hawa...

Sauti dhaifu yenye ukali
 
Wewe ni chawa wa mama au nimekosea?

Kama nimekosea kuwekwa kundi hilo, niwie radhi. Lakini kama u chawa, then jina lako linastahili kutjwa bila vina Wala heshima yoyote maana chawa ni wadudu hatari waenezao magonjwa..

Unasema nitatue changamoto binafsi?

Ok. Changamoto zetu wananchi kutaka upatikanaji thabiti na endelevu wa huduma ya umeme, maji, maisha bora kwa kila mwanachi na huduma zingine muhimu za kijamii toka serikalini..

Wajibu wangu ni kulipa kodi. Huo naufanya kikamilifu. Huwa mnazipelekwa wapi nyie chawa??
apo kwenye kodi ni muhimu zaidi umenifurahisha 🤓ili jioni nipate posho zangu nikale na wanangu....


changamoto binafsi nasisitiza sana tafuta namna ya kuzitatua, muhimu zaidi utoke kuishi nyumbani kwa wazazi, umekua mtu mzima sasa....

hiyo ya wananchi tunang'ang'ana nayo bila wasi,
na baada ya muda mambo itakaa sawa..

Muhimu sana mendelee kulipa kodi ili tupate fedha za kudeal na hizo challenges umerepot 🐒
 
Mkuu Tindo, hunitendei haki kuniweka mimi katika kundi hili la hawa machawa mazagazaga!.
P
Mkuu
hata mimi naona haustahili kabisaa kuchanganywa na hao waheshimiwa walioamua kujifanya vijana wazalendo.

Lakini pia, sehemu kubwa ya tafakuri zako zimeweka mikingamo kung'amua kama kweli nawe hauungi mkono haya yanayojiri. pongeza pongeza zisizostahili nyingi sana ambapo hakuna kinachofanyika ni dalili ya kuona labda unaona mambo yapo kiroho safi.

Kwenye kupongeza ifanyike kwa usahihi wake na kwenye kukosoa ionekane kweli ukosoaji unaoenda kujenga.

Tindo mchukulie kwa heshima lejendi wetu bana
 
Really?

Even the devil is always hangs right, left, rear and front side..

But you know what?

The devil 👿👿👿👿 is always a liar!!
surprised again ? 🤣

relax commander,

huu ni mwanzo tu mambo bado ....

wakati muafaka itafahamika are you a politician, puppet or Apostle 🤣

itabainika tu una hoja, malalamiko au mahubiri 🐒
 
Pole sana Kwa kuingizwa kundi moja na Lucas mwashambwa na MamaSamia2025 na ChoiceVariable na chiembe na Tlaatlaah na Etwege na wengine kibao.

Hata hivyo, wewe Pascal Mayalla bado ni chawa tu japo unaweza usie yule wa "mazagazaga" bali yule chawa mwenye akili timamu maana kuna wakati huwa unajiongeza ili kuficha tabia za chawa..

Back to the topic;

Una maoni gani juu ya uchambuzi huu wa Ansbert Ngurumo?

Is Paul Makonda engineering his own downfall subsequently to your CCM?

Umeuona udanganyifu na hila za CCM katika eneo moja tu la treni ya SGR?

Hivi inawezekana vipi viongozi wa serikali waandamizi kuanzia Rais hadi mawaziri kuwa waongo wa kutoa ahadi zaidi 10 katika jambo moja tu kuhusu kuanza kwa huduma za usafiri wa treni ya SGR kati ya DSM na Morogoro tu na bado hakuna hata moja iliyotimizwa?

Hivi kwa mtazamo wako, serikali ya viongozi wa namna hii inakuwa na uhalali gani kuendelea kuwepo? Tuendelee kuiamini? Ina uadilifu wowote?

Hili ni eneo moja tu. Njoo kwenye umeme. For more than 35yrs ni uongo na ulaghai mtindo mmoja..!

Ni ngumu sana kupiga hatua za kimaendeleo chini ya mfumo wa utawala unaolea na kubeba viongozi wajinga, wazembe na wasiowajibika kwa kiwango hiki!!
#NaHapaIpoMitano ya Samia
 
Mkuu Tindo, hunitendei haki kuniweka mimi katika kundi hili la hawa machawa mazagazaga!.
P
Nimecheka sana! Eti machawa mazagazaga! Pascal wewe unayo heshima yako, lakini kuna wakati mahaba ya chama kipya yanakufanya uandike jambo linaloshindwa kukutofautisha na hao machawa.
Simamia kweli na haki uone kama kuna mtu anaweza kukuweka kundi moja na hao machawa mazagazaga wasio haya.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Pole sana Kwa kuingizwa kundi moja na Lucas mwashambwa na MamaSamia2025 na ChoiceVariable na chiembe na Tlaatlaah na Etwege na wengine kibao.

Hata hivyo, wewe Pascal Mayalla bado ni chawa tu japo unaweza usie yule wa "mazagazaga" bali yule chawa mwenye akili timamu maana kuna wakati huwa unajiongeza ili kuficha tabia za chawa..

Back to the topic;

Una maoni gani juu ya uchambuzi huu wa Ansbert Ngurumo?

Is Paul Makonda engineering his own downfall subsequently to your CCM?

Umeuona udanganyifu na hila za CCM katika eneo moja tu la treni ya SGR?

Hivi inawezekana vipi viongozi wa serikali waandamizi kuanzia Rais hadi mawaziri kuwa waongo wa kutoa ahadi zaidi 10 katika jambo moja tu kuhusu kuanza kwa huduma za usafiri wa treni ya SGR kati ya DSM na Morogoro tu na bado hakuna hata moja iliyotimizwa?

Hivi kwa mtazamo wako, serikali ya viongozi wa namna hii inakuwa na uhalali gani kuendelea kuwepo? Tuendelee kuiamini? Ina uadilifu wowote?

Hili ni eneo moja tu. Njoo kwenye umeme. For more than 35yrs ni uongo na ulaghai mtindo mmoja..!

Ni ngumu sana kupiga hatua za kimaendeleo chini ya mfumo wa utawala unaolea na kubeba viongozi wajinga, wazembe na wasiowajibika kwa kiwango hiki!!
Jomba una uwezo wa kupata milo mitatu kwa siku? Inaonekana umeandika ukiwa na njaa kali sana iliyohamia kwenye ubongo wako.
 
Mkuu Tindo, hunitendei haki kuniweka mimi katika kundi hili la hawa machawa mazagazaga!.
P
Mkuu Pascal, kati ya watu makini niliokuwa nikipenda kusoma makala zao, mmojawapo ulikuwa wewe. Sijuhi ni nini kilikufanya ukengeuke na kujikuta kwenye kundi la watu kama Lucas Mwashambwa wasio kuwa na uwezo wa kujadili hoja ktk uhalisia wake?
 
Back
Top Bottom