Video: Polisi Uganda ampiga risasi Mhindi dukani

Video: Polisi Uganda ampiga risasi Mhindi dukani

Hili kosa watanzania wengi tunalifanya, hasa uwe imesoma kidogo au una ka nyadhifa serikalini au unakutana na kiongozi au kijana mdogo hela zimekutembelea, unakuta wanapandishiana na walinzi, askari au mtu yoyote mwenye silaha kwa kiburi Cha fedha, elimu cheo au kujuana.

NEVER ARGUE WITH ARMED PERSON
Nakazia, Hapa dodoma maeneo ya ihumwa kuna mwanajeshi kapigwa kisu na Raiya wenye jaziba, Utumbo wa jwtz umemwagika.
 
Umpige na kitako hlf aje atume watu wake wakuue , hv wabongo mnatatizo gan mnapojadili mambo , ni km upande mmoja wa kufikiri mnauzima , simlaumu huyo afande maana si kichaa , swala la kuua ni kielelezo ana kero ambayo imamshika hapa na hana namna
Kwahio hao ambao angewatuma waje wamuue saivi hawatamtafuta wamuue?
 
afande wake alikuwa analeza nini? anaejua atafsiri !
pale kama dukani ni duka la nini?
Nionavyo mimi yule askali alikuwa anamsindikiza yule dada ambaye ni kabeba jukumu flan,
sasa muhindi kazuia huduma isitokee na katoa kejeli, jamaa kapiga na karudi kuchukua ushahidi. lazima alimkejeli Mseveni na system yake.
 
Hawa wahindi walishawahi kuua wanafunzi wa kiafrika,ni wabaguzi mno..ki ukweli si wapendi...ila kuuwawa sio suluhisho.
Vipi kuhusu wamarekani wao unawapenda? coz kila siku black wanakula shaba,
Vipi kuhusu wale wanaowakata viungo Albino wakiwa hai wao unawapenda? na wale je wanaoua vikongwe kwa imani za kishirikina wao unawapenda?

Kila jamii ina watu wazuri na wabaya.
 
Hawajifunzi, Idd Amin aliwatimua wote masaa 72 wabebe begi la nguo tu tena moja pumbavu.
Wengi wao walihamia Canada na UK na wana maisha mazuri tu,

Vipi Uganda baada ya kuwatumia nini kilibadilika?

Wahindi ndio wanakimbiza USA hasa kwenye issue za komputer na science,huko NASA wamejaa kibao,
leo hii waziri mkuu wa UK ni muhindi.
 
Naona watu humu wanafurahia kama ilivyo jadi yetu.

Hii ingekuwa imemtokea mtu mweusi huko Marekani, India au Uarabuni tungeona kila aina ya vilio na laana dhidi ya ubaguzi kutoka kila kona ya JF na Afrika kwa ujumla, vikisindikizwa na maandamano ya watu weusi katika nchi husika.

Ni kama tu ilivyo kwa wachezaji weusi wakibaguliwa kidogo ulaya tunapiga mayowe balaa, lakini kilichomkuta Dejan sasa...

Nadhani watu weusi ni race baguzi kuliko race nyinginezo zote duniani, hasa ikichagizwa na inferiority complex.
 
Naona watu humu wanafurahia kama ilivyo jadi yetu.

Hii ingekuwa imemtokea mtu mweusi huko Marekani, India au Uarabuni tungeona kila aina ya vilio na laana dhidi ya ubaguzi kutoka kila kona ya JF na Afrika kwa ujumla, vikisindikizwa na maandamano ya watu weusi katika nchi husika.

Ni kama tu ilivyo kwa wachezaji weusi wakibaguliwa kidogo ulaya tunapiga mayowe balaa, lakini kilichomkuta Dejan sasa...

Nadhani watu weusi ni race baguzi kuliko race nyinginezo zote duniani, hasa ikichagizwa na inferiority complex.

Watu weusi hupiga hayo makelele maana wameteswa sana, wana hasira za tangu enzi na enzi, na mpaka leo kunao huteswa sana kwenye nchi za Waarabu, Wahindi, Wazungu n.k.
Mtu mweusi hatakiwi popote, wengi wanaishi kwa ulazima tu maana hata wakija Afrika hawajui waje wapi.
Hawa wahindi huku Afrika hututukana sana, mimi nimewahi kuajiriwa kama mhudumu kwenye mghahawa wa Mhindi na nilikua najikuta napandwa hasira natamani nimchane visu nimuulie mbali, yaani unabaguliwa kwenye nchi yako na unaongezwa matusi hadi basi.
 
Back
Top Bottom