Video: Polisi Uganda ampiga risasi Mhindi dukani

Hatutaki kuwa wanyonge tena mbele ya Slave master wetu. Haitusaidii na haitawahi kutusaidia.
Kama ni kuuawa kwa mtu mweusi ni kila siku tunafanyiwa. Mbaya zaidi mpaka watoto wetu wanapandikiziwa vifo hawajazaliwa bado. Yote yanafanywa na hao kenge.
Wafe tu!
 
Huyo kanjibahi hana ndugu jamaa marafiki wa kurevenge
Kama wataona ni sahihi kwao kutunisha misuli nasi ugenini walipo na wafanye.

Ni kwamba, TUMESHACHOKA KUFANYWA WATUMWA NYUMBANI KWETU.
 
Tena alirudi mara ya pili kuhakikisha anamuua kabisa....

Ndio ubaya wa kutofanya recruitment nzuri ya taasisi nyeti. Huyo jamaa anadaiwa alikuwa na ugonjwa wa akili. Kuna wakati alizuiwa kushika silaha. Ameshawahi kupata matibabu kwa magonjwa ya akili.
 
Itakuwa alimjibu kunya alafu mbele ya wafanyakazi wake

Hakuna mwenye uhakika na hilo, hata hivyo askari lazima uwe na ustahimilivu sio hasira mlipuko wkt uko na chombo cha moto.
Ametumia nguvu kupitiliza kwa unarmed citizen, awajibishwe
 
Wengi wao walihamia Canada na UK na wana maisha mazuri tu,

Vipi Uganda baada ya kuwatumia nini kilibadilika?

Wahindi ndio wanakimbiza USA hasa kwenye issue za komputer na science,huko NASA wamejaa kibao,
leo hii waziri mkuu wa UK ni muhindi.
Timua wote yao , wahindi walizikuta hizo nchi zipo juu tyr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…