BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Video iko wapi sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua Mod wamechoka na Pumba zako.SIjui kwanini kwanini bandiko langu halionekani, what's going on Mod
Litafute utaliona
Itakua Mod wamechoka na Pumba zako.
Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia hapa? Mzuka upi wakati Mods wanafuta pumba zako?Ndio nimepata mzuka sasa, lazima niwaelimishe maustadh wote humu muache kushikiliwa akili za kumuabudu Putin na kuacha kumuabudu muddy.
Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia hapa? Mzuka upi wakati Mods wanafuta pumba zako?
Hizo pumba peleka Nyumbani kwako.
Kumbe tatizo lako ni Islamophobia tu!
Watu kama hawa akili zao zipo makalioni wanaishia kuhangaika bila mafanikioKumbe tatizo lako ni Islamophobia tu!
Unahitaji kuhurumiwa tu,unahangaika kwa jambo ambalo huliwezi.
Mkuu hapa dawa ni kumuua huyu nwehu putin tuPutin na warussian wote ni wapumbavu..na mwisho wa siku watavuna upumbavu wao na ushetani wanaufanya Ukraine.
Mkuu kila nikiona post na comment yako kuna mambo mawili yananiijia kichwani. Kuna uwezekano mkubwa ukawa na shida kichwani au makalioni. Hizi sio akili za mwanamme wa kawaida. Sijawahi kukukashifu wala kuwasupport wanaokukashifu ila naona kama unastahili matusi na kashfa zote unazopewa hapa jukwaani. Una akili za kishamba sanaNdio nimepata mzuka sasa, lazima niwaelimishe maustadh wote humu muache kushikiliwa akili za kumuabudu Putin na kuacha kumuabudu muddy.
Mkuu kila nikiona post na comment yako kuna mambo mawili yananiijia kichwani. Kuna uwezekano mkubwa ukawa na shida kichwani au makalioni. Hizi sio akili za mwanamme wa kawaida. Sijawahi kukukashifu wala kuwasupport wanaokukashifu ila naona kama unastahili matusi na kashfa zote unazopewa hapa jukwaani. Una akili za kishamba sana
Sina shida na upande ulioamua kuegemea katika huu mgogoro ila kwanini unakuwa mwepesi kuwapachika watu dini? Kuna uhusiano gani kati ya mgogoro unao endelea na masuala ya dini za watu?Safi sana endelea kufuatilia posts zangu, sitawaangusha chini nyie mashabiki zangu naendelea kuleta habari moto moto namna Urusi anapokea za uso kutoka kwa kataifa kadogo jirani yake.
Sina shida na upande ulioamua kuegemea katika huu mgogoro ila kwanini unakuwa mwepesi kuwapachika watu dini? Kuna uhusiano gani kati ya mgogoro unao endelea na masuala ya dini za watu?
Uzuri inaweza Hata kuamua kushuka kichwani mwa anaeiletea masihara😂Miji minne imekwenda kwa mwendokasi,hatujameza hata mate drone nazo zinazozurura zitakavyo.
Mpaka tuzipige kwa risasi Ina maana hatuna mifumo ya ulinzi.
Ushamba unakusumbua. Una safari ndefu badoAah wapi! Nyie wote dini hiyo mumeshikiliwa akili, hakuna hata mmoja anatumia akili zake mwenyewe, nimeshuhudia kuanzia maofisni, mitaani, mitandaoni hadi huku ni kama mumepagawa vile.
Ushamba unakusumbua. Una safari ndefu bado
muda wa kujenga vyoo msitusumbue mabeberu [emoji23][emoji23]WaTz ujuaji mwingi sana, wakati nchi za West zinaweka mpaka vikwazo na Ukraine wanalalamika kuhusu hizi drones....wewe unatoka usingizi unaropoka tu kwenye simu...??Mapenzi yakizidi ni kama upofu..na wewe mapenzi kwa Ukraine yamekupofusha kabisa...nahisi unatamani ungezaliwa Ukraine wewe....Watwangane wengine Ulaya huko...wateseke wengine Afrika huku..duuh
Wewe huna akili kabisaaa yaani miji imechakaa USA kalalamikia Iran bila kusahau EU wamekaa vikao wanadraft sanctions against Iran kwa ku supply drones kwa Russia na sasa zinaleta madhara huko Ukraine sasa wewe unazomoka ukiwa NAMTUMBO vijijini na kudai kuwa sasa hivi hizo drone zimetunguliwa kwa manati! Usichojua ni kwamba russia walipiga mifumo ya ulinzi wa anga across ukraine kwa kutumia long range cruise misiles na baadae waka deploy iranian drones for finishing ndugu endelea kuotaHizo wameshazijulia hamna kitu humo; mrusi akaombe teknolojia nyingine "mpya" kwa madikteta wengine - NK, then Nicaragua, Venezuela, kisha amalizie Belarus. Hope atakuwa ameshinda vita.
Zilitumwa nyingi kama panya washambuliavyo mashamba msimu mbaya ila dawa imepatikana; hata kwa manati zinashushwa.