Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Tatizo lenu ni kumfananisha magufuli na mambo ya kipumbavu , sasa mtajua kuwa ccm bila ya magu ni upumbaavu ,si mlikuwa na furaha kufa kwa magufuli [emoji2]Hapa ni Eneo la Mwanga Urusi Kigoma mjini. Asubuhi hii Polisi waliamua kuanza kazi kwa kuvunja JIWE la msingi la CHADEMA! Uadui huu hauna tija! Tanzania ni nchi inayotambua mfumo wa vyama vingi! Vyombo vya Dola ni vya wananchi siyo ya chama tawala CCM.
View attachment 1882661
Sasa mtajua yule aliye kataza ccm isibomoe hotel ya sugu kesha kufa ...
Nyani walifurahia kusikia magufuli kafa wakajua watakuwa wanakula mahindi ya shamba lake sasa mahindi aliyo ya acha magufuli yamekwisha manyani mnaanza kutapatapa na kulia na kusaga meno
Manyani wengine wanatapstapa kwa kuweka tozo
Manyani wengine wana teseka jela kwa ugaidi