Video: Polisi wavunja ofisi ya CHADEMA mkoani Kigoma

Video: Polisi wavunja ofisi ya CHADEMA mkoani Kigoma

Hapa ni Eneo la Mwanga Urusi Kigoma mjini. Asubuhi hii Polisi waliamua kuanza kazi kwa kuvunja JIWE la msingi la CHADEMA! Uadui huu hauna tija! Tanzania ni nchi inayotambua mfumo wa vyama vingi! Vyombo vya Dola ni vya wananchi siyo ya chama tawala CCM.

View attachment 1882661
Sasa hapo umeonyesha nini?
Mbona haieleweki
 
Tatizo lenu ni kumfananisha magufuli na mambo ya kipumbavu , sasa mtajua kuwa ccm bila ya magu ni upumbaavu ,si mlikuwa na furaha kufa kwa magufuli [emoji2]
Sasa mtajua yule aliye kataza ccm isibomoe hotel ya sugu kesha kufa ...
Nyani walifurahia kusikia magufuli kafa wakajua watakuwa wanakula mahindi ya shamba lake sasa mahindi aliyo ya acha magufuli yamekwisha manyani mnaanza kutapatapa na kulia na kusaga meno
Manyani wengine wanatapstapa kwa kuweka tozo
Manyani wengine wana teseka jela kwa ugaidi
Huyo magufuli ndo kaleta na kakomaza hizi Siasa za Chuki na za kipumbavu, Yeye ndo karatibu kaharibu Demokrasia ya Nchi hii
 
Hawa Police imefikia hatua CHOCHOTE watakachoambiwa na CCM wanafanya...
....hata wakiambiwa wanye mavi yao kisha wayajaze kwenye ndoo na kwenda kuyamwaga ndani ya nyumba za wanaodhaniwa "kuipinga" serikali, hakika polisi watafanya hivyo....!!!
 
Hapa ni Eneo la Mwanga Urusi Kigoma mjini. Asubuhi hii Polisi waliamua kuanza kazi kwa kuvunja JIWE la msingi la CHADEMA! Uadui huu hauna tija! Tanzania ni nchi inayotambua mfumo wa vyama vingi! Vyombo vya Dola ni vya wananchi siyo ya chama tawala CCM.

View attachment 1882661
Jamii Forum inapoteza mvuto maana kucha kutwa habari za Chadema, isijekuwa JF ipo kwa ajili ya hawa Wakaskazini Chadema
 
Tatizo lenu ni kumfananisha magufuli na mambo ya kipumbavu , sasa mtajua kuwa ccm bila ya magu ni upumbaavu ,si mlikuwa na furaha kufa kwa magufuli [emoji2]
Sasa mtajua yule aliye kataza ccm isibomoe hotel ya sugu kesha kufa ...
Nyani walifurahia kusikia magufuli kafa wakajua watakuwa wanakula mahindi ya shamba lake sasa mahindi aliyo ya acha magufuli yamekwisha manyani mnaanza kutapatapa na kulia na kusaga meno
Manyani wengine wanatapstapa kwa kuweka tozo
Manyani wengine wana teseka jela kwa ugaidi
Nimemmiss Jiwe kama Jiwe aka Uncle

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] dah. Hilo nalo neno brother.
Wangekuwa na hoja wangezitumia ila sasa hivi hawana ndiyo maana wanatumia mawe na kesi za kubambikia.

Msidhani CCM wanaogopa hoja ya katiba mpya hapana ukweli ni kwamba ccm wanaogopa sasa hivi kuruhusu watu wengine kufanya siasa kwa sababu sasa hivi ccm hawana tena hoja za kupeleka kwa wananchi.

Bajeti ya mwaka huu imeiweka ccm kwenye wakati mgumu kuliko kipindi chochote.
 
Ma RPC wamegeuka kua wana CCM. nchi hiii inashangaza sana tunakoelekea kubaya Zaidi.
Ni aibu sana kwa police kujihusisha na siasa badala ya jukumu lao la kulinda raia na mali zao.
wanajenga chuki ambayo itakuja kuzaa uhasama mkubwa sana.
 
Muogope Mungu unaita binadamu wenzako manyani. Wewe ukiitwa hivyo utafurahi. Hata Kama ni siasa tupunguze chuki. Hakuna aijuaye kesho. Anayecheka Leo kesho anaweza kuwa ndio muombolezaji.
Unashangaa neno manyani kwa kulitaja jina la Mungu[emoji10][emoji10]
Je ujawai kusikia jina kafiri ? kwenye uislamu
Je uliwahi kusoma ili andiko kuwa watu watasema bora tungezaliwa wanyama ?
 
Mafiningo tuwe wazalendo na wenye hekima. Hii ni chi yetu sote, hatuna nchi nyingine zaidi ya hii Tanganyika/Tanzania. Kama umewahi kuishi nje za nchi utakubaliana na mimi ila kama maisha yako yote yamekuwa bongo unaweza usinielewe. Soma historia ya mataifa yote yaliyoendelea, utagundua wasaliti kama akina Mbowe, Lisu waliuawa kwa kunyongwa. Ila sasa wao baada ya kustaarabika na watu wao kuwa incorruptible sasa wana enjoy uzalendo. Mzungu anaweza kuwa na maslahi binafsi ila linapofika suala la kitaifa usahau kumrubuni. Nchi zetu hizi wanasiasa wanageuza siasa kama uanaharakati. Wakumbuke Dr Slaa alivyojenga chama, alikuwa na hoja, kila apoleta hoja zake zilikuwa na mashiko, pamoja na kuchukiwa na serikali lakini alikuwa na heshima linapofika jambo la kitaifa. Huyu huyu Mbowe na Lisu walivyo wasaliti, sidhani kama ukiwapa nchi wanaweza kuwa wazalendo. Yaani ukitaka kuona huyo malaika mnayemtetea ni kimeo wewe angalia tu katiba ya chama aliigeuza ili atawale milele, sasa je angepewa nchi si ndiyo angebadili katiba ili awe Mfalme?

Kikubwa tuendeshe siasa zenye maslahi mapana ya nchi. Usione tulikuwa kimya, tuliwaacha mteme nyongo zote ili tupate ushahidi wa nani mnafiki, nani si mzalendo then tujuie ni nani anafaa kuwa mtumishi wa watanzania kwa vizazi vijavyo, lakini wengi wenu mmeharibu mafaili yenu, yamechafuka yananuka vibaya mno. Msidhani matusi yenu ya kumtukana Dkt JPM hayajarekodiwa, yapo yoote kabisa, na sasa mtaanza kulipia mmoja baada ya mwingine ili mjue hii ni nchi inaendeshwa kwa misingi ya uzalendo na sheria. Na mkitaka kujua JPM alipendwa subirini 2025 muone legacy yake itakavyotumika kuipa CCM ushindi.
Maneno yako ni mazuri na sahihi kabia tatizo unao washauri ni MANYANI NI NGUMU KUKUELEWA
 
Mungu siku zote husimama upande wa watu wanaoonewa. Atatufuta machozi siku moja
 
Manina ma polisi...***** huu ndio unyangau Mola ashushe laana tuwe na jeshi la polisi walemavu na machoko yasio na nguvu potelea pwete
 
Back
Top Bottom