Uchaguzi 2020 Video: Pongezi nyingi kwa aliyewaza kutumia wimbo wa Bob Marley wa "One Love" kwenye kampeni za Lissu

"Tetesi nilizoambiwa wimbo huu kwa sasa ni marufuku kupigwa katika vyombo fulani vya redio ili kutoonyesha kuunga mkono upande fulani mpaka kipindi hiki cha uchaguzi kitakapopita."

CCM ya Magufuli imekataliwa Tanganyika na Zanzibar, hawashindi Uchaguzi huu, kwa hiyo tutakua huru.
 
Bob Marley ana wimbo mwingine anasema Jah will never give power to a bald head.

2015 tulikosea.

tarehe 28/10 Jah katupa nafasi ya kurekebisha makosa.
 

Ukweli ni kuwa Lissu akishinda na akatangazwa mshindi nchi hii italipuka kwa shangwe ambayo labda hatujawahi kuiona, utakaa unajiuliza hawa watu wote walikuwa wapi kipindi cha mateso?
 
One love

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Furaha hii,maana yake Mungu yu pamoja nao
 
Song linabamba kichizi yaani
 
Nimejikuta mwana ccm akifa sitoi pole na wala msiba wake haunigusi hata nikijilazimisha moyoni bado moyo haukubali.

Unaanzaje kumwonea huruma mtu ambaye anashabikia mauaji ya wengine, watu kutekwa, kuporwa, kuteswa, kuuawa, kuchomwa visu, kupigwa shoti za umeme, kuingiziwa miti sehemu za siri, kubambikiwa kesi za hovyo na watu kuozea mahabusu ......hata kama hufanyi wewe kitendo cha kushabikia tu na kuonesha hujali kwa yanayowakuta watu wengine tena bila kosa inaonesha na wewe ni shetani tu.

Kwa sasa siendi misiba ya wanaccm, sotoi sadaka kwa makanisa ya manabii wa uongo, sitoi mchango wowote kwa watu wa namna hiyo. Nimejilazimisha lakini bado moyo unakataa.
 
Aliyetoa wazo la kutumia huo wimbo kwenye kampeni za Lissu anastahili pongezi.

Wimbo ulitoka miaka zaidi ya 40 iliyopita, kwa lugha isiyoeleweka kwa wengi. Ni wimbo mmoja tu lakini unagusa mioyo ya watu na kuamsha hisia zao kuliko zile nyimbo za wasanii 200 wanaojitafutia ugali.

One Love!
 
na aliyeleta huu uzi naye ni great thinker,
kwa hiyo ngoma hiyo inafungua mkutano na kufunga mkutano sio au
 
na aliyeleta huu uzi naye ni great thinker,
kwa hiyo ngoma hiyo inafungua mkutano na kufunga mkutano sio au
Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Delete ccm Oct 28
 
Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…