Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naikumbuka sana siku anajiandaa kwenda Rwanda kuwa mshauri wa mambo ya uchumi baada ya kuwasaliti ukawa.Ni ahadi alizopewa za kuachiwa baadhi ya majimbo, ni mpenda ruzuku ndio maana unamuona mdomo wake uko wazi muda wote kama fisi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa vijana wengi hapo wanatoka Buguruni kwa Mnyamani , Temeke mikoroshini na Tandale kwa Tumbo , ikumbukwe kwamba Abdul Kambaya ni mfanyabiashara wa soko la Tandale anayejishughulisha na Njegere na viazi mviringo kutoka Tanangozi Iringa
😆😆😆Naikumbuka sana siku anajiandaa kwenda Rwanda kuwa mshauri wa mambo ya uchumi baada ya kuwasaliti ukawa. View attachment 1536054
Chadema itapata wangapi?Hata Mbunge mmoja hapati.
Umati si idadi ya kuraMalipo yake ndiyo hayo sasa kama umati huo waliyo jitokeza kumpokea
Sasa tatizo lipo wapi?Hawa vijana wengi hapo wanatoka Buguruni kwa Mnyamani , Temeke mikoroshini na Tandale kwa Tumbo , ikumbukwe kwamba Abdul Kambaya ni mfanyabiashara wa soko la Tandale anayejishughulisha na Njegere na viazi mviringo kutoka Tanangozi Iringa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni ahadi alizopewa za kuachiwa baadhi ya majimbo, ni mpenda ruzuku ndio maana unamuona mdomo wake uko wazi muda wote kama fisi
Hakuna tatizo, nilikuwa naeleza walikotokea waliomlaki LipumbaSasa tatizo lipo wapi?
Mkipata Wabunge zaidi ya KUMI NA TANO (15) nahamia Chadema. Mark my words!!!!
Si mpaka wapateChadema itapata wangapi?