Lipumba anaoa lini? Je kwemye Fomu za kugombea urais kipengele cha kuwa na familia hakipo?
..Lipumba ana mke na watoto.
..mke wake anafanya kazi UN Tanzania na kazi yake haimruhusu kushiriki siasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipumba anaoa lini? Je kwemye Fomu za kugombea urais kipengele cha kuwa na familia hakipo?
Nimeahidi humu, wakipata Wabunge 15, NAHAMIA CHADEMA!Si mpaka wapate
Umesahau 2015 Mbeya na Mwanza airport?Endelea kuota mchana siku ukistuka ushapitishwa stand
Demokrasiaaaaa
Demokrasiaaaaa
Wewe unaangalia tumbo la Nani Kama sio lako?Hakuna demokrasia hapo kila mtu ana angalia tumbo lake.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Wewe unaangalia tumbo la Nani Kama sio lako?
Jiandae kubadili ID. UtaumbukaNimeahidi humu, wakipata Wabunge 15, NAHAMIA CHADEMA!
Nakushuru sana. Hii kwangu ni complimentary kwamba hamuwezi kupata zaidi hao Wabunge. Ahsante sana!!!Cdm hatuwataki wanyarwanda, bakia huko huko kwenu kichakani
TUKUTANE OKTOBA 28!Jiandae kubadili ID. Utaumbuka
Ahahahahahaha! Mimi ni Mhaya, AKARA N' AKARENGE!Wewe ni mushuuti tu
Takataka kama wewe huna hadhi ya kuhamia Chadema. Baki huko kwa wachawi wenzako CCM au hamia tadea kwa Shibuda.Mkipata Wabunge zaidi ya KUMI NA TANO (15) nahamia Chadema. Mark my words!!!!