Video queen, Tunda atupia majibu yake ya VVU/UKIMWI mtandaoni!

Video queen, Tunda atupia majibu yake ya VVU/UKIMWI mtandaoni!

Jaman asikwambie mtu majibu ya ukimwi hayazoeleki hata kama hufanyi matusi mi kwa mara ya kwanza nilienda kupima vvu nilikuwa field ikatokea tu chance nikaingia kupima coz ilikuwa ni hapohapo hospital tulikuwa 27 ila tuliokuwa tayar kupima tulikuwa 5 basi tukapimwa tukawa tuko poa siku ingine nikarudi tu mwenyew kibahat mbaya maana niliona sina kazi nikasema ngoja nirud nikachek afya nilipokuwa nangoja majibu yaan akil haikuwq yangu doctor ananipigisha story hata simuelew
Mkuu kupima ukimwi kuna taka moyo, marafiki zangu wote wamepima baada ya kutaka kuoa sababu hakuna jinsi.
Kipengele cha ukitaka kuoa lazma mpime afya zenu sijui kwann hakiondolewi[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23]
 
Sasa majibu ya vipimo vya HIV kwa kuonyesha watu maana yake nini?mbona hajapima Maralia au typhod na akawaonyesha watu.dah kizazi hki bhana
 
Mbona kama hawafanani kabisa, huyo bint Mara nyingi huwa wanaonekana viwanja na tunda ni chapombe harafu anavuta mabange ni hatari tupu naona wanatumbua pesa za wazazi wao!
mzee kumbe tafsida haujui[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kwamba mdogo wa baby madaha kwamba ni msagaji
 
Jaman asikwambie mtu majibu ya ukimwi hayazoeleki hata kama hufanyi matusi mi kwa mara ya kwanza nilienda kupima vvu nilikuwa field ikatokea tu chance nikaingia kupima coz ilikuwa ni hapohapo hospital tulikuwa 27 ila tuliokuwa tayar kupima tulikuwa 5 basi tukapimwa tukawa tuko poa siku ingine nikarudi tu mwenyew kibahat mbaya maana niliona sina kazi nikasema ngoja nirud nikachek afya nilipokuwa nangoja majibu yaan akil haikuwq yangu doctor ananipigisha story hata simuelew
Basi ulikuwa ushafanya matusi ndio maana...

Mbona mara ya kwanza hukuogopa..
 
Back
Top Bottom