Baadhi ya Wafanyakazi hao katika Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), leo Agosti 17, 2023 wameendeleza mgomo wao wakishinikiza malipo yao kutoka kwa Mkandarasi Kampuni ya Yapi Merkezi.
Sehemu ya hotuba yao inaeleza “Sisi ni Wafanyakazi tuliopo katika Mrati Awamu ya Pili (Lot 2), Kambi ya Kilosa, tunaendelea na mgomo ambao umekuwepo kwa siku 14, sababu ni kuwa tunahitaji malipo yetu ya mishahara ya miezi saba, mara ya mwisho tulilipwa Februari 2023.
“Tunapaza sauti zetu ili kuusisitiza uongozi wa kampuni kutulipa lakini hatujapata mwitikio, hivyo, tunamuomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu na uongozi wa TRC kusikiliza sauti na kilio chetu kwani tunapata wakati mgumu sisi na familia zetu.”
mambo ya kiwaki, tunayoa kazi kwa wakandarasi makanjanja na hatuwasimamii watekeleze kazi.. migimi hii badae mradi unakosa viwango, hadi hili linahitaji dp world?
Baadhi ya Wafanyakazi hao katika Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), leo Agosti 17, 2023 wameendeleza mgomo wao wakishinikiza malipo yao kutoka kwa Mkandarasi Kampuni ya Yapi Merkezi.
Sehemu ya hotuba yao inaeleza “Sisi ni Wafanyakazi tuliopo katika Mrati Awamu ya Pili (Lot 2), Kambi ya Kilosa, tunaendelea na mgomo ambao umekuwepo kwa siku 14, sababu ni kuwa tunahitaji malipo yetu ya mishahara ya miezi saba, mara ya mwisho tulilipwa Februari 2023.
“Tunapaza sauti zetu ili kuusisitiza uongozi wa kampuni kutulipa lakini hatujapata mwitikio, hivyo, tunamuomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu na uongozi wa TRC kusikiliza sauti na kilio chetu kwani tunapata wakati mgumu sisi na familia zetu.”
Maneno gani yasiyo na busara kiasi hicho. SGR ni ya kwetu Watanzania.........ni vizuri tukajali utu wa mtu. Miezi saba mingi sana ndugu yangu.
Wanaomba msaada kwa Raisi Samia..kwa roho nzuri tu baada ya kuona kilio chao hakisikilizwi.
Baadhi ya Wafanyakazi hao katika Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), leo Agosti 17, 2023 wameendeleza mgomo wao wakishinikiza malipo yao kutoka kwa Mkandarasi Kampuni ya Yapi Merkezi.
Sehemu ya hotuba yao inaeleza “Sisi ni Wafanyakazi tuliopo katika Mrati Awamu ya Pili (Lot 2), Kambi ya Kilosa, tunaendelea na mgomo ambao umekuwepo kwa siku 14, sababu ni kuwa tunahitaji malipo yetu ya mishahara ya miezi saba, mara ya mwisho tulilipwa Februari 2023.
“Tunapaza sauti zetu ili kuusisitiza uongozi wa kampuni kutulipa lakini hatujapata mwitikio, hivyo, tunamuomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu na uongozi wa TRC kusikiliza sauti na kilio chetu kwani tunapata wakati mgumu sisi na familia zetu.”
Acha wateseke maana walikuwa wanawafunga matumbo mabinti na akinadada ili wakifanya nao mapenzi kuzuia mimba, walikuwa wanampunga wanatamba kitaani na bado wakome kabisa
Baadhi ya Wafanyakazi hao katika Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), leo Agosti 17, 2023 wameendeleza mgomo wao wakishinikiza malipo yao kutoka kwa Mkandarasi Kampuni ya Yapi Merkezi.
Sehemu ya hotuba yao inaeleza “Sisi ni Wafanyakazi tuliopo katika Mrati Awamu ya Pili (Lot 2), Kambi ya Kilosa, tunaendelea na mgomo ambao umekuwepo kwa siku 14, sababu ni kuwa tunahitaji malipo yetu ya mishahara ya miezi saba, mara ya mwisho tulilipwa Februari 2023.
“Tunapaza sauti zetu ili kuusisitiza uongozi wa kampuni kutulipa lakini hatujapata mwitikio, hivyo, tunamuomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu na uongozi wa TRC kusikiliza sauti na kilio chetu kwani tunapata wakati mgumu sisi na familia zetu.”