ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,765
- 3,277
Ningekuwa IGP ningechapa virungu wote haowameshaanza kuiga vitabia vya ukaidi vya bongo wachunguzwee hawa unaweza kuta wana kadi za chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningekuwa IGP ningechapa virungu wote haowameshaanza kuiga vitabia vya ukaidi vya bongo wachunguzwee hawa unaweza kuta wana kadi za chadema
Wewe punguani kabisa hivi unajua hata iyo sababu ya huo mgomo au na ww ndio ushashiba magimbi unaropoka tu.wee ndio huna akili kabisa kwani kakosea wapi
Kusema ule ukweli Magufuri angekuwepo huu mradi ungekuwa upo mbali sana
Ungesikia akimwamba mkandarasi "kufika mwakani nataka nije kuzindua SGR" kwa sauti ya mamlaka sio kama huyu mama yenu bembeleza bembeleza