Video: Rais Samia alivyomkalisha kwenye Kiti chake Mtoto mwenye Ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania

Video: Rais Samia alivyomkalisha kwenye Kiti chake Mtoto mwenye Ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Mtoto Georgina Magesa mwenye miaka 8 leo amekutana na Rais Samia na kukumbatiana naye ikiwa ni Ndoto yake kuongea na Rais pamoja na kutaka kuja kuwa Rais hapo baadaye. Tukio hilo limefanyika kwenye uzinduzi wa Mnara wa Matangazo wa Azam Media Limited leo Mei 18, 2023.

 
D
Mtoto Georgina Magesa mwenye miaka 8 leo amekutana na Rais Samia na kukumbatiana naye ikiwa ni Ndoto yake kuongea na Rais pamoja na kutaka kuja kuwa Rais hapo baadaye. Tukio hilo limefanyika kwenye uzinduzi wa Mnara wa Matangazo wa Azam Media Limited leo Mei 18, 2023.

Duh hakika imependeza sana mama kumkalisha kiti cha rais binti mdogo mwenye ndoto ya kua rais
 
Nayo habari me nikajua yuko k/koo anawapoza wafanyabiashara kumbe yeye kaenda kujitangaza.. Anapenda media kama msanii wa Bongo flavor
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nayo habari me nikajua yuko k/koo anawapoza wafanyabiashara kumbe yeye kaenda kujitangaza.. Anapenda media kama msanii wa Bongo flavor
Kwani waziri mkuu aliyelishughulikia jana tu limemshinda?!!! Maduka hayajafunguliwa leo?!!!!

Mkiweka hasira na chuki zenu dhidi yake (mama Samia) zinazokupatieni, si kingine bali ongezeko la stress tu pembeni mtakuja kugundua kuwa hapo issue wala sio Raisi Samia, bali huyo mtoto mdogo mpendwa. Ujasiri wake, ndoto zake na yajayo baada ya tukio hili kwake. Kiufupi hilo tukio ni kuuuuuubwa mno kwa mtoto na, kama amejaaliwa uelewa na Muumba, basi hilo litamfanya awe jasiri zaidi, fighter zaidi na focused zaidi.

Nyie endeleeni kujikusanyia mirundo ya chuki hiyo.........kalaghabao!
 
AKAZANE KUSOMA.
Nani kakudanganya Urais ni kusoma sana...ingekuwa ndio hivyo Sa100 na JK kwa mfano wangekuwaje marais ktk nchi yenye wasomi weengi wakubwa kama hii hasa kwa miaka ya karibuni?!.
Tena bora kidoogo urais unahitaji uwe walau na degree moja lakini ubunge na nafasi zingine zote za kisiasa ni kujua kusoma na kuandika tuu!.
 
Back
Top Bottom