Hata kama, sio kwa afya ya huyo kiongozi. Huo ni ushahidi kuwa hiyo jumuiya haiko serious. Watu miaka zaidi ya 20 walikuwa wawe na sarafu ya pamoja lakini ni porojo tu. Unapoona viongozi wa aina hiyo wanakuwa viongozi, ujue kabisa hiyo jumuiya ni ya kufujia pesa za wananchi kisheria.Ni rotational based leadership mkuu ambayo nchi inapewa sasa kama nchi ina kiongozi kama huyo imekula kwenu hamwezi kuiruka
kwamba iweje?Asante kwa kunikumbusha. Sasa hii ni aibu kwa jumuiya nzima, kama huyu ndio kiongozi wa jumuiya ni kitu gani watajadiliana humo? Namna ya kupata viongozi inapaswa kuangaliwa upya.
Huyu si ndio alijikojolea kule USA? Mtu mgonjwa unakomaa ,stupidViongozi wa Mataifa ya Afrika wana shida gani jamani? Kwanini uendelee kung'ang'ania Madarakani wakati una hali mbaya kiafya? Kazi yenyewe ya stress sana bado ukomalie kubaki hapo badala ya kulea Wajukuu.
Hapo anaonekana pamoja na kuwa na Karatasi ya Hotuba bado anashindwa kutaja majina ya Marais wa Nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Anasumbuliwa na ugonjwa gani?actually hapo anaafadhali.
Kinachompa ujasiri ni kwamba maradhi alonayo ana yafahamu. Ikiwa nafuu anajua ikiwa mbaya anajua.
Fear of unknown inamdrive crazy akiachia hiyo kiti
Mkuu, mwenyekiti ni alama tu, mambo mengi yanafanywa na Katibu wa EAC na baadhi ya watendaji, mara nyingine mawaziri wa EAC.Asante kwa kunikumbusha. Sasa hii ni aibu kwa jumuiya nzima, kama huyu ndio kiongozi wa jumuiya ni kitu gani watajadiliana humo? Namna ya kupata viongozi inapaswa kuangaliwa upya.
Tangulia huko peponi unionyeshe njia na nitakuja kuleta hayo mawazo hukoHayo mawazo yako peleka peponi siyo hapa duniani hiyo ni walking corpse
Invalid example.. poor youMfano mwenyekiti wa Chadema huu ni mwaka wa 40 madarakani ila chawa wake wanampambania tu abakie madarakani.
Nadhan hiyo post ni rotational...pia unaweza Kuta Sudan brings more to the community kuliko hizo speeches tamu tamu kama za kina lizarius chakwera wa Malawi...
Waliompa huo uongozi wa Jumuiya ndio wananishangaza zaidi.
Huyu Rais amejikojolea hadharani wameona, ameenda Urusi akashindwa hata kuongea wameona. Bado wamempa uongozi wa jumuiya? Afrika ni kama ina laana.
Wachache wananufaika na uwepo wake, hata kama wanaona wazi kuwa mwenyekiti wao hana tena mbinu, maarifa wala uwezo wa kuongoza chama.Mfano mwenyekiti wa Chadema huu ni mwaka wa 40 madarakani ila chawa wake wanampambania tu abakie madarakani.
Nadhan hiyo post ni rotational...pia unaweza Kuta Sudan brings more to the community kuliko hizo speeches tamu tamu kama za kina lizarius chakwera wa Malawi...
Alafu waafrika na speeches na debates ni vitu vya kuwaiga wakoloni... sidhani kama machifu wa zamani kama kina mangungo walikua hodari sana wa kutoa hotuba za kusisimua.
Kama yeye unamuona ana shida , Je Hawa waliompa uenyekiti wa EAC unafikiri watakuwa na hali gani!??Viongozi wa Mataifa ya Afrika wana shida gani jamani? Kwanini uendelee kung'ang'ania Madarakani wakati una hali mbaya kiafya? Kazi yenyewe ya stress sana bado ukomalie kubaki hapo badala ya kulea Wajukuu.
Hapo anaonekana pamoja na kuwa na Karatasi ya Hotuba bado anashindwa kutaja majina ya Marais wa Nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Mapenzi hupofusha,Utoto mwingine bana, cdm yenyewe haina miaka 40, Sasa sijui unakwamwa wapi!
Kanuni zinasema hivyo mkuu.
Waliompa huo uongozi wa Jumuiya ndio wananishangaza zaidi.
Huyu Rais amejikojolea hadharani wameona, ameenda Urusi akashindwa hata kuongea wameona. Bado wamempa uongozi wa jumuiya? Afrika ni kama ina laana.
πππ East Africa Community inazidi kunoga.Upuuzi mtupu sasa kama rais yupo hivi vp wananchi huko wana hali gani?
Mbona Mu7 Mzee na Yuko timamu? Umri just Number not your health Kijana.Issue siyo ugonjwa. Ni umri umeeenda. Jinga sana hΓliΓ
Hujafa hujaumbika.Huyu anayejikojolea, kinachomuweka madsrskani, ni machawa waliomzunguka
Ndio maana Trump alisema Afrika inatakiwa inatakiwa itawaliwe tena ππππ East Africa Community inazidi kunoga.
View attachment 2826609