Mangi flani hivi
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 2,026
- 3,107
Ajikwezae,... Huyu mtoto Hana menejiment, Kama anayo haijui kazi yake..... Na ndo maana huyu mjinga salaam anaipangua anavyotaka.....Alikiba ni mkubwa kuliko wizkid kiumri? Au ukubwa gani?
Hahahah nakumbuka Team King of Zumunda zilimpovua sana.Ben poo alisha warahisishia mambo kua ali kiba n overrated bado hawajaelewa tu
Sent from my GT-I9060I using JamiiForums mobile app
he he he najua wewe ni Domo najua hapo moyo wako kwatuuuuuu kabisaem muache Mr popiniii yooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Baaasi jamaa huyu nimekubali kuanzia sasa ntaanza kumfatilia, anajua anatangaza nini na anataka nini na wasikilizaji wake wanataka nini.William Tuvu amekulia Tanzania ndio maana Bongo anaijuwa inside out. Habari ndiyo hiyo.
Hiv mkuu unajua backstage kweli?? Dj anakaa backstage kweli?? Dah umenisononesha sanaaIssue siyo kuwa pale. Ila ni kwanini alikuwa BACK STAGE (Nyuma ya jukwaa)? Wakati sehemu hii ni maalum kwa maDJ na Mafundi miambo tu. Je ma manager wa SAUTISOL walikuwa Backstage?
Kama kahusika Mungu amulaani kabisa!! Kwani hajamudhalarisha Ally Kiba pekee,bali pia Tanzania kwa ujumla.
Huyu jamaa naonq hata hyo video ya sallam hajaicheki....Hiv mkuu unajua backstage kweli?? Dj anakaa backstage kweli?? Dah umenisononesha sanaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ali Kiba ni mkubwa kuliko wizkid?? Au waliangalia umri
Ila mwenzake juzi juzi kaomba mashabiki wote wa muziki Tanzania kumpigia kura bila kuendekeza u-Team ili muziki wa Bongo upate heshima kimataifa...Kwa hili Kiba ni mjinga ,
1.Alishasema Diamond anahonga apewe tuzo,unakubaliana nae ?
2.Alishasema hana beef na Diamond ,mbona anamuogopa Salam ?
3.Juzi kasema Salam ameenda kumzimia mic,na hili unakubaliana nalo ?
Labda ukubwa na naniiiiiii te tehAlikiba ni mkubwa kuliko wizkid kiumri? Au ukubwa gani?
Anajifanya hajapaona wala kupasikia hapo wakati ishu iko wazi tena kasema kabisa managar wa wizkid ndo manager wa diamond west africaMbona hiko swali ata dj kamsaidia kua kipindi kibakuli ana perform salam hakuwepo backstage, na salam anasem walikua kny vyumba yy na meneja wa wizkid tena walkuta drinks zmeisha wakamuita muhudumu aje awaletee mpk pale wiz alivyomtxt meneja wake wakatoka nje.
Pia n yeye km meneja backstage ndo sehemu yake pia sio jukwaani akitoa single utamuona jukwaani. Alishushwa was hallucinating izo time
Meneja sio shows pekee mkuu, babu Tale anasimamia usambaaji wa Diamond hits nchi nzima. Labda nikuulize ni wimbo gani mpya wa Diamond uliwahi kukaa walau siku mbili haujagusa angle za Tanzania nzima? Ni mara ngapi nyimbo za diamond hupewa airtime kwenye local stations?Wanafanya nin huku ndani??? Nina mwaka sasa sijamuona diamond akiperform local shows ambazo zipo locally,... Kama unanielewa??? Babu tale anaweza Kuandaa corporate show ya diamond na office flani kubwa??? Arudi tip top,.. Anawaua njaa wale watoto,... They are of his league.
Hata mimi nafikili ni mkubwa kiumri, ila kimuziki [emoji93]boy wamuache.Ali Kiba ni mkubwa kuliko wizkid?? Au waliangalia umri
Jamani sallam hakuwa Backstage..alikuwa kwenye zile Rooms za kule ghorofani kwenye kona...Hebu isikilize hiyo video vizuri urejee na zile clip zilizorushwa na Mseto wakati wa show...Issue siyo kuwa pale. Ila ni kwanini alikuwa BACK STAGE (Nyuma ya jukwaa)? Wakati sehemu hii ni maalum kwa maDJ na Mafundi miambo tu. Je ma manager wa SAUTISOL walikuwa Backstage?
Kama kahusika Mungu amulaani kabisa!! Kwani hajamudhalarisha Ally Kiba pekee,bali pia Tanzania kwa ujumla.
hujamsikiliza vzuri sallam skIssue siyo kuwa pale. Ila ni kwanini alikuwa BACK STAGE (Nyuma ya jukwaa)? Wakati sehemu hii ni maalum kwa maDJ na Mafundi miambo tu. Je ma manager wa SAUTISOL walikuwa Backstage?
Kama kahusika Mungu amulaani kabisa!! Kwani hajamudhalarisha Ally Kiba pekee,bali pia Tanzania kwa ujumla.
yani moyo wa baridiiiiiiiiii... kama nmekunywa barafu..he he he najua wewe ni Domo najua hapo moyo wako kwatuuuuuu kabisa
Wakati mnamtukana mbona hamkutaka kukaa chini kuyajenga? Au ndio yale kunya anye bata...Mimi namkubali sana Ali ila hapa umekosea mkuu. Kumtuhumu moja kwa moja jamaa umekosea. Sisi wote watanzania tukae tuyazungumze yaishe tuendelee kupiga hatua zaidi.