Video: Suala la Congo, Watutsi (Banyamulenge) na M23 lachukua sura mpya. Inachanganya sana

Video: Suala la Congo, Watutsi (Banyamulenge) na M23 lachukua sura mpya. Inachanganya sana

Nimemuelewa sana huyu mwamba, issue ni ukabila tu ndio unatumaliza waafrika. Hata Lumumba alipingwa mapema sana kisa ukabila!!

Sema huko mbele eneo la watutsi waishio Kivu watengewe vijiji vyao na vijiunge na Rwanda or rather a unified Rwanda, Burundi and Kivu.

Otherwise itakua kama tu Kurds kule Syria, Turkey na Iran
 
Video kwa wale wasio na mihemko na wanaoelewa Kiingereza tu.

View attachment 3220390
Msikilize kwa makini huyu jamaa na utaelewa kuwa hawa M23 ni Wanyarwanda wenyeji wa DCR kwa makarne. Pia wanaitwa Banyamulenge. Ni raia wa DRC na wala si kutoka Rwanda.
Sawa na Wamasai wa TZ na Kenya. Kama Wamasai wa Kenya wakiteswa na kuuawa unafikiri wenzao wa TZ watakaa kimya? Ndivyo Wanyarwanda wa DRC na Rwanda hawawezi kutengwa
 
Msikilize kwa makini huyu jamaa na utaelewa kuwa hawa M23 ni Wanyarwanda wenyeji wa DCR kwa makarne. Pia wanaitwa Banyamulenge. Ni raia wa DRC na wala si kutoka Rwanda.
Sawa na Wamasai wa TZ na Kenya. Kama Wamasai wa Kenya wakiteswa na kuuawa unafikiri wenzao wa TZ watakaa kimya? Ndivyo Wanyarwanda wa DRC na Rwanda hawawezi kutengwa

..mbona Wamaasai wa Tanganyika wanateswa kwa kufukuzwa ktk maeneo yao lakini Wamaasai wa Kenya hawaanzishi vita?
 
Nimemuelewa sana huyu mwamba, issue ni ukabila tu ndio unatumaliza waafrika. Hata Lumumba alipingwa mapema sana kisa ukabila!!

Sema huko mbele eneo la watutsi waishio Kivu watengewe vijiji vyao na vijiunge na Rwanda or rather a unified Rwanda, Burundi and Kivu.

Otherwise itakua kama tu Kurds kule Syria, Turkey na Iran
Mwl. Nyerere hakuelewana na Mobutu kwa sababu ya Banyamulenge. Wakoloni walipogawa mipaka ya makoloni yao, hawakufikiria issue ya makabila.
 
Nimemuelewa sana huyu mwamba, issue ni ukabila tu ndio unatumaliza waafrika. Hata Lumumba alipingwa mapema sana kisa ukabila!!

Sema huko mbele eneo la watutsi waishio Kivu watengewe vijiji vyao na vijiunge na Rwanda or rather a unified Rwanda, Burundi and Kivu.

Otherwise itakua kama tu Kurds kule Syria, Turkey na Iran
Hiyo sio suluhu ni sawa na kusema wajaluo wa Kenya wamegwe wawe sehemu ya Rorya au wa Masai wa Tz wamegwe eneo lote Arusha liwe Kenya. Ukabila haukomei kumega eneo. Maana wanaweza kuishi watu kwa uhuru na amani mahali walipo. Hicho kinachoguswa si mgogoro wenyewe, mgogoro ni kuruhusu kufarakanishwa na wakoloni wa kisasa ili waibe mali za Congo na kwa ujinga wanakubali tangu viongozi wa vikundi na serkali.
 
Hiyo sio suluhu ni sawa na kusema wajaluo wa Kenya wamegwe wawe sehemu ya Rorya au wa Masai wa Tz wamegwe eneo lote Arusha liwe Kenya. Ukabila haukomei kumega eneo. Maana wanaweza kuishi watu kwa uhuru na amani mahali walipo. Hicho kinachoguswa si mgogoro wenyewe, mgogoro ni kuruhusu kufarakanishwa na wakoloni wa kisasa ili waibe mali za Congo na kwa ujinga wanakubali tangu viongozi wa vikundi na serkali.
Hii sababu siikubali? Kwani hao wazungu mbona wanapora madini yetu hapa kwa mikataba mibovu. Imagine dhahabu yetu wanachukua 84% ya faida bila kufadhili kikundi cha kigaidi sasa unadhani wangepewa mkataba wa madini huku bado watoe fedha za silaa hauoni faida inakuwa ndogo kuliko nchi ikiwa na amani??

Hii hoja tunapenda kuitumia kujitia moyo tu ila DRC bila vita bado wangeporwa tu madini kupitia mikataba mibovu kama tu Tanzania tulivyopigwa kwenye gesi, dhahabu na Tanzanite.

Narudia tena, suluhu ni kuunganisha Rwanda na maeneo yenye majority HEMA kuanzia kule Ituri mpaka Bukavu. Itapunguza tension na kuwapa watu self determination kujitawala.
 
..mbona Wamaasai wa Tanganyika wanateswa kwa kufukuzwa ktk maeneo yao lakini Wamaasai wa Kenya hawaanzishi vita?
Liangalieni hili lishetani; limejaa chuki, wivu, roho mbaya, ghirba na uzushi. Mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, ni mpango wa Mungu hivyo nyie mashetani hata mjitahidi kwa nguvu kubwa kiasi gani kuchochea hamtomuweza. Mnakutana na kigingi Cha Mungu dakika hiyohiyo.
 
Pale ngara na sehemu Fulani hivi karibu na mizani,Kuna kabila wanajiita waangaza,wale nao ni warwanda tu,naona ipo day Mr slim atademand eneo linalokaliwa na watu wake!!!
Hiyo angeifanya haraka ili anyooshwe tuchukue kile kijiji kinachoitwa nchi ili Congo patulie, wanamkuza sana na kijiji chake, najua wajeda wanamtamani sana wamfyeke nae ni mjanja hagusi hata sentimita moja ya tz
 
Nimemuelewa sana huyu mwamba, issue ni ukabila tu ndio unatumaliza waafrika. Hata Lumumba alipingwa mapema sana kisa ukabila!!

Sema huko mbele eneo la watutsi waishio Kivu watengewe vijiji vyao na vijiunge na Rwanda or rather a unified Rwanda, Burundi and Kivu.

Otherwise itakua kama tu Kurds kule Syria, Turkey na Iran
Tatizo bado hata wakitengewa vijiji shida sio hiyo.Shida ya hao walowezi wao wanataka kujimilikisha UTAJIRI ULIOPO KIVU.

Ingekuwa issue ni ardhi tu wala hao WALOWEZI wasingekuwa wanapigana hivyo.Na serikali ya DRC haiwezi kukubali kuwaachia hilo jimbo maana ni sawa na kujielekezea BOMBA LA BUNDUKI alafu ukampa ADUI TRIGGER SIDE ni swala la muda atakuwaisha kwenye mavumbi.

Ni sawa na TZ huko kaskazini(ARUSHA MOSHI) watake kujitenga alafu KENYA IWAPE SAPPORT,Serikali itapigana kufa na kupona maana potential ya kaskazini hata mtoto aliyezaliwa leo anaijui huo ndo uchumi wa nchi kwa maana ya UTALII.

So incase kwa wale mambumbumbu wanaosema pray sijui for Congo na wengi ambao hawaelewi.Hapo hiyo ngoma itapiganwa mpaka mshindi apatikane hiyo ndo suluhu tu KWENYE MALI HUWA KIFO NDO KINACHOAMUA AMANI.DIPLOMASIA NI KWA VITU VISIVYO NA MASLAHI.

📌📌📌MBUGI IENDELEE!!!;
 
Oh,I have got a concept now.these artificial boundaries have caused troubles a lot.colonialism is indeed a case
 
Oh,I have got a concept now.these artificial boundaries have caused troubles a lot.colonialism is indeed a case
Tangu dunia iumbe kila mbabe anajiwekea mipaka hata hao watu wa zamani before colonialism ilikuwa ni VITA daily na mwenye nguvu anatawala🤝
 
Back
Top Bottom