M23 Hapo ni nyumbani kwao, Mkuu wa waasi Corneille Nangaa aliyekuwa mkuu wa Tume ya uchaguzi ya Congo hapo ni nyumbani kwake.Hata wamarekani walishangiliwa Sana walipoingia Baghdad ila kilichofuata baadae Kila mtu anakumbuka.
Kuna jamaa ametoa mfano mzuri sana, unadhani Wamasai wa Tanzania wakifukuzwa je Wamasai wa Kenya hawatawasaidia? Same kwa Wameru, Wajaluo, Wakurya, Wantamwanga, Wamakonde, Wadigo hiyo ni baadhi ya mifano.Ukabila unaopaliliwa na Mr. Slim
Kwanini Rwanda isiwe sehemu ya Congo?Hii sababu siikubali? Kwani hao wazungu mbona wanapora madini yetu hapa kwa mikataba mibovu. Imagine dhahabu yetu wanachukua 84% ya faida bila kufadhili kikundi cha kigaidi sasa unadhani wangepewa mkataba wa madini huku bado watoe fedha za silaa hauoni faida inakuwa ndogo kuliko nchi ikiwa na amani??
Hii hoja tunapenda kuitumia kujitia moyo tu ila DRC bila vita bado wangeporwa tu madini kupitia mikataba mibovu kama tu Tanzania tulivyopigwa kwenye gesi, dhahabu na Tanzanite.
Narudia tena, suluhu ni kuunganisha Rwanda na maeneo yenye majority HEMA kuanzia kule Ituri mpaka Bukavu. Itapunguza tension na kuwapa watu self determination kujitawala.
Matako Yako, ushawah fika Kigoma ukakuta imejaa wanyarwandaNgara yote kigoma yote wale sio wenzetu,murugwanza,rulenge,mukididiri,kumejaa wanyarwanda tu
Tena hapo wako kibaoooPale ngara na sehemu Fulani hivi karibu na mizani,Kuna kabila wanajiita waangaza,wale nao ni warwanda tu,naona ipo day Mr slim atademand eneo linalokaliwa na watu wake!!!
Wewe siyo kuwa si mwandishi mzuri pia hata akili nzuri huna. Ok. Imagine hakuna mipaka. Then tungetambulika vipi? Au tungegawana nchi vipi? Sababu ni uongo kudhani africa isingekuwa na mipaka. Nenda kaangalia Sudan ambayo ilikuwa nchi moja sasa ikoje?somalia?Wakoloni waliharibu sana Africa kwa kuigawa huku wakijua tuna ukabila
Haya sasa hata kama Kagame atakataa katakata kuwa yeye hahusiki lakini ni dhahiri anahusika kwa sababu wanaopigana ni ndugu zake wanaoishi Congo kwa miaka mingi na wakiwa kama Wakongo ila ni wanyaruanda asili
Mpaka hapo tuseme tu Watusi wanataka kujitanua kuwa na Himaya yao kubwa sana hapo
Hakuna cha ajabu hao wananchi kusherehekea M23 kushika maeneo kwa sababu amani hakuna kabisa na furaha yao ni kuona amani inapatikana ili waishi kwa raha
Hapo M23 wanacheza kete nzuri kwa hao wananchi na kuonyesha kuwa hawakuja kuuwa mtu bali kuwakomboa
Na hapo mmeshuhudia wale Mamluki wa Romania 3000 waliokuja kupigana upande wa Serikali huku wakilipwa $4000 mpaka 5000 kwa mwezi, waliachiwa bila kuguswa na M23
Hizo ni mbinu za kijeshi kuonyesha wao ni wema sana na hata wakishika nchi watu watakaa kwa amani
Mimi sio mwandishi mzuri ila nimeeleweka labda
Hapana naona wewe ndio hujaelewa na siwezi kukuita mpumbavu wala mjinga bali una hoja piaWewe siyo kuwa si mwandishi mzuri pia hata akili nzuri huna. Ok. Imagine hakuna mipaka. Then tungetambulika vipi? Au tungegawana nchi vipi? Sababu ni uongo kudhani africa isingekuwa na mipaka. Nenda kaangalia Sudan ambayo ilikuwa nchi moja sasa ikoje?somalia?
Congo kuna makabila 438, taja kabila lipi linakandamiza kabila lingine.Kuna jamaa ametoa mfano mzuri sana, unadhani Wamasai wa Tanzania wakifukuzwa je Wamasai wa Kenya hawatawasaidia? Same kwa Wameru, Wajaluo, Wakurya, Wantamwanga, Wamakonde, Wadigo hiyo ni baadhi ya mifano.
Jamaa hao Watutsi wa Congo wasipokuwa marginalized PK atachochea nini sasa hapo?
Walitakiwa kupewa hadi wapi? 😁Hapana naona wewe ndio hujaelewa na siwezi kukuita mpumbavu wala mjinga bali una hoja pia
Ukiwa unachangia hoja jaribu kufafanua jambo bila kutukana ndio utaeleweka
Ila ukiisha tukana au kukejeli basi hilo neno litakuwa kubwa kuliko maudhui yako yote
Hata twende
Nchi kubwa kama DRC ina makabila mengi ila Warundi na wanyarwanda wakapewa sehemu ndogo sana
Huoni kuwa kulikuwa na kitu hapo kwa kugawa hivyo?
Umeona ukubwa wa Russia au US sasa hapo huoni Africa walifanya wanavyotaka wao?
Mimi umenidharau hapo ila angalia historia ya kugawa maeneo ilikuwa ni kwa ajili ya nini? Maana kuna nchi nyingi za wazungu walikuja kutawala Africa na ndio sababu kubwa ya kutugawa au huelewi hilo
Uwe na mchana mwema
Wajeda hawa Bongo Flavor au wajeda gani? Huu uozo uliongizwa jeshini kwa vimemo si lile jeshi la enzi za Mchonga tulipoogopwa na kuheshimiwa ukanda wote huu.Hiyo angeifanya haraka ili anyooshwe tuchukue kile kijiji kinachoitwa nchi ili Congo patulie, wanamkuza sana na kijiji chake, najua wajeda wanamtamani sana wamfyeke nae ni mjanja hagusi hata sentimita moja ya tz
Rubbish, you just promoting tribalism. Hao watu wapo even before The Berlin Conference ya 1884-1885 na Waafrika tukairithi mipaka hiyohiyo ambayo haikuzingati makabila, wao walichoreana tu mipaka as it suited them.Congo kuna makabila 438, taja kabila lipi linakandamiza kabila lingine.
Hayo ni maneno tu ya propaganda.
Hao unaosema wanaonewa ndiyo wavunjifu wakuu wa haki.
Congo ni nchi ya pygmies kiasili kama ilivyo Tanzania. Bantu (ambao ni warefu, wenye nguvu na wakulima) wamewaondoa na wanaendelea kuwaondoa pygmies na kuwamaliza katika misitu ya mvua ya Congo.
Bantus ambao ni wakulima nao wanaondolewa katika maeneo yao na Nilotics ambao ni wafugaji. Wanaingilia ardhi yao na kuiharibu kwa kutumia mifugo yao.
Hii ipo sehemu nyingi Africa. Plateau Region ya Nigeria sasa inaingiliwa na Fulanis, ia wakulima wa Ghana, wakulima ifakara, Rufiji, Chalinze etc. sehemu nyingi tu jamii za wafugaji wa kiafrika zinawaonea wakulima na kunakuwa na mauaji.
The same principle ndiyo ipo Rwanda.
Congo inapaswa igawanywe ili itawalike, mule zingetoka nchi hata 3 kabisa. Sasa ukiongeza Rwanda si ndio itaongeza complexity ya kuitawalaKwanini Rwanda isiwe sehemu ya Congo?
Complexity kivipi wakati kila mtu atakuwa raia, si wanautaka uraia?Congo inapaswa igawanywe ili itawalike, mule zingetoka nchi hata 3 kabisa. Sasa ukiongeza Rwanda si ndio itaongeza complexity ya kuitawala
shida ya rwanda sio wale raia yeye anachotaka ni madini..mbona Wamaasai wa Tanganyika wanateswa kwa kufukuzwa ktk maeneo yao lakini Wamaasai wa Kenya hawaanzishi vita?