Video: Taleban wacheka walipoulizwa na mwandishi wa habari kama wapo tayari kuunda serikali ya kidemokrasia ambayo wanawake watagombea/kupiga kura

Behaviourist

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2016
Posts
39,926
Reaction score
95,626
Katika hii video hapa chini magaidi wa Taleban wanaonekana wakicheka na kumwamuru mwandishi wa habari aache kurecodi pale walipoulizwa kama wapo tayari kuruhusu demokrasia ambayo wanawake wataruhusiwa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika serikali yao na kupiga kura katika kuchagua viongozi mbalimbali.Mwishoni mwa video kuna mmoja kasema "it made me laugh!"😁😁😁
..…................…............
Taliban teππorists laugh when journalist asks if they would be willing to accept democratic govt which will include female politicians.

They started laughing and ask to stop filming.
Your browser is not able to display this video.


Source:
 
Wewe ndiyo terrorist.. na Aliyekuja kutoka Kanda za magharibi na kuvamia nchi huru ya Afghanistan ndiyo maGAIDI wakubwa...
Wacha wachekelee ushindi wao..watajijua wenyewe....
 
Wanacheka kwa dharau[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…