VIDEO: Tarehe 08 Desemba 2020 Hayati Rais Magufuli akitoa amri kwa CDF kuwaajiri vijana wa JKT wanaojenga Ikulu ya Chamwino

VIDEO: Tarehe 08 Desemba 2020 Hayati Rais Magufuli akitoa amri kwa CDF kuwaajiri vijana wa JKT wanaojenga Ikulu ya Chamwino

Magufuli aliviingilia sana kiutendaji vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama.
Ficha ujinga kiongozi, aliviingilia vipi wakati yeye ndio amiri jeshi mkuu wa majeshiyote, yani kusema atawaajiri ndio kuingilia??.

Hao wangeajiriwa sema wamejiharibia wenyewe kwa kukosa nidhamu hata kama angekuwa hai wasingepata ajira.

Kwakitendo cha kuandamana wangekuwa wamemkosea nidhamu amiri jeshi mkuu ambae pia ni rais.
 
Umesahau kwamba huyu Jiwe aliwahi kuahidi shs milioni hamsini kila kijiji na hakutekeleza?
 
Ficha ujinga kiongozi, aliviingilia vipi wakati yeye ndio amiri jeshi mkuu wa majeshiyote, yani kusema atawaajiri ndio kuingilia??.

Hao wangeajiriwa sema wamejiharibia wenyewe kwa kukosa nidhamu hata kama angekuwa hai wasingepata ajira.

Kwakitendo cha kuandamana wangekuwa wamemkosea nidhamu amiri jeshi mkuu ambae pia ni rais.
Mkuu sidhani kama umepitia jeshi au unajua administration ya jeshi.
Kabla ya kuingia jeshi kuna utaratibu wake, huwezi kuajiri watu en masse.

Hata Amiri Jeshi mkuu hana free ride ya kutenda atakalo, na ndio maana hao vijana hawakuajiriwa kwa amri.
Tatizo hilo limevikumba vyombo vingine vya ulinzi na usalama, na wameajiriwa wanasiasa na wapiga debe wa kiongozi badala ya kuwekwa uzalendo na utaifa mbele.
 
Kugoma kwa mwanajeshi ni sawa na Uasi,

You can imagine kuwa na askari wasiokuwa na nidhamu.

CDF yupo sawa.
 
Back
Top Bottom