Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asimulie nini video si umeiona hapo, tembo kachoka kuchapwa chapwa miguuniEndelea kusimulia sasa, au hapo ndio Mwisho?
Ukisikia mtu kakandwa
Habibu hanga alikuwa anakutesa kama huyu tembo nawewe ungemkanyaga nifa.Nimeogopa sana, tembo ana akili anajua hadi kuvunja uti wa mgongo!
Halafu kuna mwingine alikuwa juu kule, naona tembo alikuwa anachapwa ili akae katika position nzuri ya kutwikwa mzigo na aliyeko juu.
Kuna huyo mjinga aliyekuja kukabiliana na tembo naye sijui kama alipona.
Dah,inasikitisha aiseeNimeogopa sana, tembo ana akili anajua hadi kuvunja uti wa mgongo!
Halafu kuna mwingine alikuwa juu kule, naona tembo alikuwa anachapwa ili akae katika position nzuri ya kutwikwa mzigo na aliyeko juu.
Kuna huyo mjinga aliyekuja kukabiliana na tembo naye sijui kama alipona.
kuwa seriousUzito wa tembo ni kama wa bajaji kwani ukikanyagwa na bajaji unakufa?
Kwa hio kafanyaje? Hujaniunga Bando unajuaAsimulie nini video si umeiona hapo, tembo kachoka kuchapwa chapwa miguuni
Ni mibangesativa
Mbona na wewe unaniuliza na hujaniunga bando.Kwa hio kafanyaje? Hujaniunga Bando unajua
Kafanyaje sasa mboni hakuna muendelezo hapo? Hujaniunga Bando unajua tusisumbuane hapaMbona na wewe unaniuliza na hujaniunga bando.
Nimekuuliza aelezee nini? nikatoa na maelezo ya tembo kachoka kupigwa.
Sijaona sababu ya wewe kupanic