Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 2,933
- 8,112
Asee!!! Pole yao, wangefika mbali sana hawa watu, nilikua nawakubali sana japo hata sura zao sikuzijua.Wana miaka mitatu toka waachane ilituhuzunisha sana hii kapo maarufu ya jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee!!! Pole yao, wangefika mbali sana hawa watu, nilikua nawakubali sana japo hata sura zao sikuzijua.Wana miaka mitatu toka waachane ilituhuzunisha sana hii kapo maarufu ya jf
HUYO MBONA KATUMIA BUSARA ZA MAMA SAMIA .USIJE KUKUTANA NA WALE PORINI WATAKUKANYAGA NA KISHA KUCHUKUA MAGOGO KUKUFUNIKIA WAKIONA GOGO LIMEANGUKA WANATOA WANAANZA KURUDIA UPYA KUKUKANYAGA YANI WAKIJA WATU KUKUTOA WANAJUA UMEKANYAGWA NA LILE LA KUKANDIA BARABARANimeogopa sana, tembo ana akili anajua hadi kuvunja uti wa mgongo!
Halafu kuna mwingine alikuwa juu kule, naona tembo alikuwa anachapwa ili akae katika position nzuri ya kutwikwa mzigo na aliyeko juu.
Kuna huyo mjinga aliyekuja kukabiliana na tembo naye sijui kama alipona.
Daah tembo ni mpole ila akikasilika mbona hafai tena
Bichwa nasikia ulikuaga genius wewe classnini mme wangu 😂😂😂
Jamaa kawa chapati.Amepona?
In an unfortunate incident in Kerala, a mahout (elephant tra ..
Hehe kakandwaMmmh kweli mnyama ni mnyama, hata ukimzoea vipi kunasiku anaweza akubadilikie. Huyo mwamba hapo wakimkagua vizuri unakutana na 💩
Duuh,unamaanisha tembo au ndama wa ng'ombe?Uzito wa tembo ni kama wa bajaji kwani ukikanyagwa na bajaji unakufa?