Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
pambanaKafanyaje sasa mboni hakuna muendelezo hapo? Hujaniunga Bando unajua tusisumbuane hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pambanaKafanyaje sasa mboni hakuna muendelezo hapo? Hujaniunga Bando unajua tusisumbuane hapa
Na Nini Mzee mboni tunasumbuana?pambana
Na wanyama hawatakiwi kufungiwa, wanatakiwa wawe huruEwe mwana wa adamu usiwe mwepesi kumdhuru mnyama pasipo na misingi. Tahadhari kwa hilo.
Lakini nguruwe afungwe 😊Na wanyama hawatakiwi kufungiwa, wanatakiwa wawe huru
we akili ya kawaida unaona kuna kupona hapo?Alipona kweli huyo.
Tembo wa serengeti ni magiant haswaa kuliko hawa wa India.Haya, huyo ni tembo wa kihindi😄 nasubiri comment flani hivi "angekua tembo wa serengeti angemtafuna na kummeza huyo mhindi" 😄
NajisiLakini nguruwe afungwe 😊
Kwani walimwagana hawa Wapendwa.Habibu hanga alikuwa anakutesa kama huyu tembo nawewe ungemkanyaga nifa.
Amepona?Amepona?
Hapo hawezi poa.na akipona anapararaiziNimecheka sana hapo kanjibahi sijui kapona
Najisi ya nkyooNajisi
Ndio, alipewa mizizi mikavu toka kwa nzuzu mkavu akapona.Amepona?