Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Nyama ya nguruwe sio najisi, ni nyama tamu Sana kuliko wanyama wote wakufugwa nyumbani.Najisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyama ya nguruwe sio najisi, ni nyama tamu Sana kuliko wanyama wote wakufugwa nyumbani.Najisi
Tukizama kwa makini tutaona ya kwamba Dini zote zimeharamisha nguruwe. Mfano tazama katika Biblia (Agano la Kale), Kitabu cha Walawi: "Na nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hachuei; kwenu huyo ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama zao wala msiguse mizoga yao" (11: 7 - 8). Na katika Kitabu cha Isaya: "Allaah asema hivi: 'Wapo watu waaojitakasa na kutawadha wapate kuingia katika bustani za ibada za sanamu; wanafanya maandamano na kahini akiwa kati yao. Watu hao hula nguruwe, panya na vyakula vingine haramu'" (66: 17).Nyama ya nguruwe sio najisi, ni nyama tamu Sana kuliko wanyama wote wakufugwa nyumbani.
Tukizama kwa makini tutaona ya kwamba Dini zote zimeharamisha nguruwe. Mfano tazama katika Biblia (Agano la Kale), Kitabu cha Walawi: "Na nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hachuei; kwenu huyo ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama zao wala msiguse mizoga yao" (11: 7 - 8). Na katika Kitabu cha Isaya: "Allaah asema hivi: 'Wapo watu waaojitakasa na kutawadha wapate kuingia katika bustani za ibada za sanamu; wanafanya maandamano na kahini akiwa kati yao. Watu hao hula nguruwe, panya na vyakula vingine haramu'" (66: 17).Najisi ya nkyoo
Acha kunihubiria, nguruwe kula sio haramu ni halali kabisa achana na mambo ya agano la kale. 😃Tukizama kwa makini tutaona ya kwamba Dini zote zimeharamisha nguruwe. Mfano tazama katika Biblia (Agano la Kale), Kitabu cha Walawi: "Na nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hachuei; kwenu huyo ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama zao wala msiguse mizoga yao" (11: 7 - 8). Na katika Kitabu cha Isaya: "Allaah asema hivi: 'Wapo watu waaojitakasa na kutawadha wapate kuingia katika bustani za ibada za sanamu; wanafanya maandamano na kahini akiwa kati yao. Watu hao hula nguruwe, panya na vyakula vingine haramu'" (66: 17).
Na katika agano jipya, Yesu anasema: "Msidhani kuwa nimekuja kutangua sheria na mafundisho ya manabii. Sikuja kutangua bali kukamilisha" (Mathayo 5: 17).
Na Qur-aan ipo wazi kabisa kuwa nyama ya nguruwe haifai kuliwa. Allaah Anasema:
إِنَّمَا حَرَّمَ عَلَيْكُمُ الْمَيْتَةَ وَالدَّمَ وَلَحْمَ الْخِنزِيرِ وَمَا أُهِلَّ بِهِ لِغَيْرِ اللَّـهِ ۖ
Hakika Allaah Amekuharamishieni mzoga na damu na nyama ya nguruwe na kilichotajiwa katika kuchinjwa kwa ajili ya asiyekuwa Allaah [Al-Baqarah: 173]
Nguruwe pamoja na kuwa anakula vinyesi na vitu vichafu pia ina matatizo mengi ambayo watafiti wamegundua kuwa nguruwe hata akilishwa lishe safi, bado:
(i) Ni wanyama wachafu katika mambo mengine na nyama ya wanyama wachafu ikiliwa inamuathiri mlaji.
(ii) Nyama ya nguruwe ina mafuta mengi zaidi kuliko nyenzo za kujenga misuli.
(iii) Ina uwezakano wa kupata magonjwa kuliko aina nyengine yoyote ya nyama.
N.k
😂😂😂😂😂 Oyaa wee bichwaUkimkagua vizuri huyo muhindi aliyesagwa na tembo utakuta kuna MAVI kwenye kichupi chake.
Sio kwa Guu lile 😁😁
Guu la BIA lenye kilo mia sita na nusu 😁😁😁 ni mijambo tu..
Cc: Extrovert Mzee wa kupambania Poor Brain
nini mme wangu 😂😂😂😂😂😂😂😂 Oyaa wee bichwa
AmekufaSijui km kapona mgongo huo aisee nimeishia njiani
Mbwa pia anaweza kukugeuzia kibaoDaah ila kuwatesa wanyama sio jambo zuri.
Lakini pia overconfidence ni mbaya, wataalamu wanasema hao wanyama wa porini ni wa kukaa nao kimachale any time anakinukisha tu, hawafugiki hao.
Ukijifanya unamjua sana atakuliza, hawana hisia kama za paka na mbwa wa majumbani.
Wana miaka mitatu toka waachane ilituhuzunisha sana hii kapo maarufu ya jfKwani walimwagana hawa Wapendwa.
Niliuza smartphone ndio nimenunua nyingine juzi juzi